Uchaguzi 2020 Sioni sababu ya kufanya mikutano na kuwatukana wengine wakati wa kutafuta wadhamini

Hilo halina tofauti na la Jana la ccm kuanza kampeni kabla ya wakati kwa kuwanunua wasanii ili wasifie ccm,hapo pia NEC wachukue hatua ccm imeanza kampeni kabla ya muda
NEC ni wafanyakazi wa ccm ni sehemu ya ukoo familia ya ccm, NEC ni ccm hakuna chombo hakipendwi Tanzania kama NEC , hakuna Mtanzania huru mwenye Akili timamu anawaamini NEC hata siku moja
 

Attachments

  • 1806075_Screenshot_2018-07-30-18-49-18.jpg
    1806075_Screenshot_2018-07-30-18-49-18.jpg
    53.8 KB · Views: 1
  • 1806075_Screenshot_2018-07-30-18-49-18.jpg
    1806075_Screenshot_2018-07-30-18-49-18.jpg
    53.8 KB · Views: 1
1.Wenzio kwa muda was miaka mitano hawakuwa na Uhuru wa kuongea na watu hivyo lazima watest mitambo ili kujua wamesahauliwa au LA
2. Washika hatamu walisema tayari walishakufa siku nyingi wakafanya na matanga, hiyo mikutano ndio inawathibitishia kuwa waliua kivuri vyama vya siasa vinaishi mioyoni mwa watu
3. Wamefanya vyema na sasa mmeamka kutoka kwenue ulevi wa kusemea mioyo ya watanzania
 
Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.

Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.

Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
Uko sahihi kabisa. NEC pia inapaswa kuweka wazi hayo maadili ya mchakato wa uchaguzi mkuu ambao wagombea wamepewa. Wananchi wanapaswa kujua kipi kinakatazwa kufanywa au kusemwa na wagombea hawa. Wananchi wanapaswa kujua kipi kinapaswa kufanywa kwa wagombea wanaokiuka miongozo hiyo ya mchakato wa uchaguzi mkuu.
 
Uwe na aibu basi, mbona CCM hujawasema ambao wamefanya kampeni miaka yote mitano? Hivi binadamu tukoje sie au ndio "nyani haoni kundule"? CCM walichokifanya jana taifa hujakiona sio? Mengine tujifunze kunyamaza basi.
Ni kama wakat ule utotoni unaanza kudhani unaweza kumpiga fulani kirahisi ila ngumi zikianda ukapewa za uso unaanza kulalamika ooooh hakuna za uso.... na wakat we ukipata nafas unamtandika fulani za uso....

Ubinafsi wa kijinga wanafanya ccm ndo maana hawawezi kushindana katika mizania sawa. Na vile wameona polisi wametulia lazma mtasikia vilio vingi sana hadi wasaidiwe.
 
Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.

Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.

Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.

Hiyo ndio siasa, tatizo lenu mnataka kuleta siasa za new generation, Yan siasa za ustaarabu flan hapana

Umesahau ccm walikuwa wanasema Lowassa nyuma alikuwa ameloa?

Acha twende hivi hivi Mpaka tarehe 28
 
Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar.

Kilichotakiwa ni kupata wadhamini kwa wanachama wa chama chako na hii haiitaji kupiga makele mengi au kukosoa au kuwatukana wengine Bali chama kilitakiwa kiweke utaratibu wa kuwapata wadhamini bila mikutano mikubwa yenye kutumia hela nyingi utaratibu wa sasa kama tunavyoona kwa chadema ni kama kampeni sasa zimeanza maana mgombea kupitia chama hicho kila anakopita nikuiponda Serikali na hasa personal attacks kwa rais JPM. Kwenye kuhutubia wananchi anatoa vitisho na ahadi nyingi. kwangu Mimi sioni tofauti ya kusaka wadhamini na kampeni.

Tume ya uchaguzi ilitakiwa itoe ufafanunuzi wadhamini wanatafutwaje na ni kina nani hao .kwa utaratibu wa sasa naona ni kupoteza muda,kupoteza fedha, kuanza kampeni mapema nk.Next time NEC ije na utaratibu mwingine siyo huu wa sasa.
Rais wetu HUKUMUONA alivyokuwa anafanya kampeni miaka yote mitano na kugawa pesa mitaani ! !!??? Juzi alipokuwa anaenda kuchukua form CCM makao makuu mbona alipiga kampeni. !! TUACHE DOUBLE STANDARD hii Nchi ni yetu wote.
 
Kama ni campaign nalo hili ni kosa .ndiyo maana nilasema next time NEC ije na utaratubu mwingine .mgombea akishapitishwa na chama campaign imeanze Mara moja
NEC ipo mfukoni kwa Jiwe..Hilo unaloshauri haliwezekani abadani
 
Back
Top Bottom