Sio ukabila,ni kutaka kujua tu

Sio ukabila,ni kutaka kujua tu

utalalA chin lkn shikamoo si utapata tena nyingi tu na videmu si utPata.

pesa ni matumizi maisha tulio nayo ni mafupi sana sasa kwanini ujipe shida yakutoa uhai wa mtu ili kupata pesa alafu pesa unazirundika tu ndani hizo ni akili au matope?, isitoshe hizo pesa ukifa tu nazenyewe ndio kwisha, unakua na hela alafu nguo unavaa madabwada, unalala kwenye mkeka, unashindia kande,mengine sisemi ila jua hapo bado hujapunguza kiwango cha umaskini wako kama shida ni shikamoo pita kwenye shule ya chekechea muda wa mapunziko watoto wakikuamkia "shikamooo we jibu marahaba mtoto mzuri" basi utasalimiwa hadi utakimbia. kama shida ni demu mbona maji ya chupa yapo mengi sana hata kwa mia5 yapo. usakatishe uhai wa mwenzio Bana
 
Niulize tu,hivi wahaya hawana sifa yoyote nzuri mke naona za kwao zimeandikwa mbaya u?
 
.Sukuma-hard working
.Nyamwezi-umbea na uvivu
.Haya-Pride & umal.ya
.Chaga-Ubahili
.Nyiramba-hawajatulia
.Ngoni-roho mbaya
.Warangi-wivu
.Kurya-ngumi nje nje
.Muha-ubishi
.

Wasukuma nawakubali saaanaaaa!!!
 
mimi ni mnyambo nawajua sana wahaya kwa misifa. mmoja jana kaulizwa na muuza chips..HII CHIPS NA MAYAI NICHANGANYE. mhaya kwa ulimbukeni akajibu CONFUSE . akijua ko confuzi ni kuchanganyikiwa ya chips zichanganywe na mayai

Wanyambo ndo hao hao wahaya tena wamepitilizia kwa mashauzi aisee...kulikuwa na prof wa kinyambo UDSM alikuwa balaa kwa majigambo na misifa.....
 
KUNYUMBA BOMBI II NUUMBI IIv Wangoni kwa chini ni moto chini mfano mzuri sharubu. wana roho mbaya ndio maana wamejaa polisi usalama wa taifa na tiss. ninapotaka mimi ni hapo tu. binti akiolewa na mngoni imekula kwake
 
Wakurya ubabe, hata akitaka tendo la ndoa utasikia "Arooo mama Bhoke hebu rara nikurenge"
 
Bategereza umejitofautisha na sifa ulizotoa kwa wahaya,lakini kwenye kila mfano wako umeonesha umewapitia akinamama wa makabila hayo uliyoyatolea mifano,hii inaonesha hata wewe ni walewale,malaya wapenda chini kama ulivyotoa wasifu wao.
 
Wewe kwenu wapi. wahaya wanatabia flani flani zinachefua. wachaga tamaa mbele mauti nyuma. wanyamwezi wavivu. waha wachawi. wafipa wachawi. wabena wapole na wachapa kazi. wakwere wavivu. wangoni walevi na wazinzi. wameru wagonvi. wanyaturu umalaya. wagogo wachafu. wazigua wachawi. wasukuma ndio nawakubali. wahaya misifa na umalaya. warangi wanaongea sana. WAZARAMO utajaza

Mama yako naye ni malaya kama alizaa,
 
afadhali we umesema maana anajikana wanyambo wanazidi hao anaowaita wahaya kwa roho mbaya na majivuno.
Wanyambo ndo hao hao
wahaya tena wamepitilizia kwa mashauzi aisee...kulikuwa na prof wa
kinyambo UDSM alikuwa balaa kwa majigambo na misifa.....
 
mimi ni mnyambo nawajua sana wahaya kwa misifa. mmoja jana kaulizwa na muuza chips..HII CHIPS NA MAYAI NICHANGANYE. mhaya kwa ulimbukeni akajibu CONFUSE . akijua ko confuzi ni kuchanganyikiwa ya chips zichanganywe na mayai
Mkuu una elimu gani?
 
Tunakosea sana yale matendo ni mienendo tu tabia hukaa moyoni.mtu haweza kuzaliwa mwema akakuta mienendo ya kabila lake ni ya kichawi akifanya yafanywayo na kabila lake tutasema amefuata mienendo ya kichawi ya kabila.ila tabia itabaki moyoni mwake.tutofautishe mambo mkuu
 
Wakurya ubabe, hata akitaka tendo la ndoa utasikia "Arooo mama Bhoke hebu rara nikurenge"

Wakurya wakifanya tendo la ndoa wanataka mwanamke atulie tuli kama gogo. kuna huyu mmoja alifika Dar akakutana na mzaramo. mzaramo alivyoanza kukatika mkurya alilalamika. MBONA UNAKWEPESHA KWEPESHA. TURIA NIKURENGE.
 
kuna maeneo yamebaki ni historia tu mkuu, unatakiwa kurudi tena site kukusanya data kwa madodoso mapya
 
hivi yale ya mti wenye matunda ndo unalengwa mawe kweli kumbe...maana wahaya mpaka tunajing'ata......mmmmh chei
 
Niliwasahau watu maarufu sana. WAKINGA. very hard working and very enterprising lakini kazi ya hela sio matumizi ila kuangaliwa na kuhifadhiwa kwenye godoro. mpaka sasa milango ya benki hawaijui

Umenena!
 
Wanyambo ndo hao hao wahaya tena wamepitilizia kwa mashauzi aisee...kulikuwa na prof wa kinyambo UDSM alikuwa balaa kwa majigambo na misifa.....

Umejuaje kaka? Natamani nikupe like lakin sioni kitufe cha like! Wanyambo wengi are not edicated na anayeipata hiyo chance utamkoma. Kila m2 atamjua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom