Na mie kabila mama mchaga baba mzungu wa marekani?....au makabila ya kizungu na yale "hybrids" hayahusiki kwenye uchambuzi huu...na kama mwengine mama mpare baba muhaya?
Mh! Huyo Mpare+Mhaya.... Hiyo offspring itabidi ichongewe kufuli za chuma! Mhaya+Mpare haina tofauti na Mhaya +Mngoni