Sio siri tukio la Moshi limenisikitisha

Sio siri tukio la Moshi limenisikitisha

gmozee

Member
Joined
Oct 4, 2019
Posts
9
Reaction score
4
Jamani Watanzania tuwe makini akili ya kuambiwa changanya na yako, shida kamwe hazitaisha tumezaliwa tumezikuta na tutakufa tutaziacha. RIP!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😎🤔😐 Boniface Mwamposa, Na Wenzake Wengine Wakina Suguye Nadhani Wajipange Serikali Ya Viwanda Ipo
 
Dini zingine jamani! M2 mzima na heshima zake linaambiwa na nabii wake tembea kwenye haya mafuta, nae anatembea kweli 😂😂 tena kwa pamoja kama wanadaba panzi 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom