Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,904
Bado mpaka leo hii kile kitendawili cha moshi wa Ruangwa hakijateguliwa... Kinachochanganya zaidi ni namna vile ulivyoweza kuvuka zile "circle" tano za ulinzi na kuuza taharuki iliyotikisa sana!
Je hatukujifunza tuu? Au ndio ile kwamba tumeumbiwa kusahau.. Je kabla ya ule moshi huko alikotoka alisema nini na pale alitaka kusema nini?
Mwanetu mwanzo wa wiki alipiga mkwara na kujigamba kwamba hawamezi hata wakimtegea sumu vyumbani na katika tukio moja akasusia jukwaa na kukimbilia kwenye gari na kuhutubia huko!
Kwenye hii dunia hata uko fit kiasi gani.. Usitangaze, usipige mikwara usijisifu hadharani na kujifanya Mungu anakupenda sana kuliko wengine.. Ni mbaya sana hii
Kumbuka ukijua hivi wao wanajua vile ukifanya hivi wao wanafanya vile.. Hata wauaji humuomba Mungu huyohuyo unayejitapa naye! Kumbuka habagui kwakuwa Wote ni wake
Hii dharura ya leo ni warning light.. Kwamba wakikutaka watakupata wakati wowote na popote pale! Sikorski kukwambia makinika! Maana wewe si mtoto mdogo kiumri... Labda kiakili na kimtazamo!!!!
Hii warning light ya leo najua imekushock na kukustua sana...sijui ulipanga kusema nini.. Wakayama kukufunga mdomo kwa nia ya kutosha na sidhani kama utarejea hewani haraka na kwa nguvu ileile... Wamefanikiwa kuzima zile kelele na mahakama za majukwaani!
Japo walitest lakini pia pengine walitaka kubutua kabisa ila wakaona maturubai yatakuwa mengi kwa wakati mmoja!
Si kila mtu ana kifua cha kuvumilia kelele zenye kukera.. Hasa hao wenzetu wa huko kulikowahi kufuka moshi...!!!
Kilichotegemewa kiitwe mafanikio makubwa ya ziara kimetiwa doa kubwa sana! Sasa gumzo sio zile kero tena! Bali ajali na ukubwa wa msafara.. Chama kimepata Kazi mpya ya kulifuta hilo doa!
Ukijua hivi wanajua vile! Kikubwa heshima na staha!
Sent using Jamii Forums mobile app
Je hatukujifunza tuu? Au ndio ile kwamba tumeumbiwa kusahau.. Je kabla ya ule moshi huko alikotoka alisema nini na pale alitaka kusema nini?
Mwanetu mwanzo wa wiki alipiga mkwara na kujigamba kwamba hawamezi hata wakimtegea sumu vyumbani na katika tukio moja akasusia jukwaa na kukimbilia kwenye gari na kuhutubia huko!
Kwenye hii dunia hata uko fit kiasi gani.. Usitangaze, usipige mikwara usijisifu hadharani na kujifanya Mungu anakupenda sana kuliko wengine.. Ni mbaya sana hii
Kumbuka ukijua hivi wao wanajua vile ukifanya hivi wao wanafanya vile.. Hata wauaji humuomba Mungu huyohuyo unayejitapa naye! Kumbuka habagui kwakuwa Wote ni wake
Hii dharura ya leo ni warning light.. Kwamba wakikutaka watakupata wakati wowote na popote pale! Sikorski kukwambia makinika! Maana wewe si mtoto mdogo kiumri... Labda kiakili na kimtazamo!!!!
Hii warning light ya leo najua imekushock na kukustua sana...sijui ulipanga kusema nini.. Wakayama kukufunga mdomo kwa nia ya kutosha na sidhani kama utarejea hewani haraka na kwa nguvu ileile... Wamefanikiwa kuzima zile kelele na mahakama za majukwaani!
Japo walitest lakini pia pengine walitaka kubutua kabisa ila wakaona maturubai yatakuwa mengi kwa wakati mmoja!
Si kila mtu ana kifua cha kuvumilia kelele zenye kukera.. Hasa hao wenzetu wa huko kulikowahi kufuka moshi...!!!
Kilichotegemewa kiitwe mafanikio makubwa ya ziara kimetiwa doa kubwa sana! Sasa gumzo sio zile kero tena! Bali ajali na ukubwa wa msafara.. Chama kimepata Kazi mpya ya kulifuta hilo doa!
Ukijua hivi wanajua vile! Kikubwa heshima na staha!
Sent using Jamii Forums mobile app