ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,387
- 5,233
Sote tunajua uhusiano wa karibu uliopo kati ya Namungo na ile team ya Makolo
Makolo wamepoteza mechi dhidi ya Prison kwahiyo wanategemea kesho watumie tawi lao kurejesha furaha
Mmiliki wa Namungo pia ni mwanachama wa mbumbumbu atatumia cheo na nguvu zote kuhakikisha timu yake inarejesha furaha kwa mashabiki wa Kolozidad
Yanga nawaasa tuwe makini na hiyo game, nadhani ndo mechi pekee ngumu iliyobaki kwenye mbio zetu za ubingwa, viongozi wa Yanga wekeza nguvu na maarifa kwenye hii mechi
Nina imani mbumbumbu kesho watalia tena
Tunaenda Ruangwa kufyeka vichaka vyote alimojificha Mbumbumbu
Utabiri wangu
Namungo 0 Yanga 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Makolo wamepoteza mechi dhidi ya Prison kwahiyo wanategemea kesho watumie tawi lao kurejesha furaha
Mmiliki wa Namungo pia ni mwanachama wa mbumbumbu atatumia cheo na nguvu zote kuhakikisha timu yake inarejesha furaha kwa mashabiki wa Kolozidad
Yanga nawaasa tuwe makini na hiyo game, nadhani ndo mechi pekee ngumu iliyobaki kwenye mbio zetu za ubingwa, viongozi wa Yanga wekeza nguvu na maarifa kwenye hii mechi
Nina imani mbumbumbu kesho watalia tena
Tunaenda Ruangwa kufyeka vichaka vyote alimojificha Mbumbumbu
Utabiri wangu
Namungo 0 Yanga 2
Sent using Jamii Forums mobile app