Sio siri mashekhe wa uamsho wamekamatwa kwa tuhuma za kuuping Muungano wa Tanzania kuwa sio wa haki na unafaa kuangaliwa au kuvunjwa ni tuhuma zilizowapelekea kusota mahabusu au jela za Tanganyika aka Tanzania Bara(TZB).
Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.
Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.
Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?
Kuna kundi liliibuka la waTanganyika na kuja juu sana ndani ya bunge na kufikia kuwepo kwa kundi lililojulikana G58 kama sikosei na hatua zake zilifika mbali katika kutaka kuuipapatua Tanganyika ndani ya jinamizi la Muungano,bahati nzuri au mbaya Raisi wa wakati ule akalikanyaga lile kundi na kuzima harakati zao,hatukusikia kukamatwa wala kuitwa na kuvishwa kosa la ugaidi.
Je ni kwanini Mashhe waliokuwa ndani ya Taasisi iliyosajiliwa kisheria ya UAMSHO kukamatwa au kutekwa mmoja mmoja toka ilikuwa siri mpaka ikajulikana wametekwa, wakawekwa Unguja na si muda mrefu wakapelekwaTanganyika aka TZB eti wanahusika na mikakati ya kigaidi ,jambo ambalo hadi leo halijapatiwa ushahidi, tunajua ushahidi uliotolewa kiharakaharaka ulikwama mahakamani kwa kuwa uongo ulikuwa umevuka mipaka na kukosa mashiko.
Suali mbona wale kundi la wabunge wa bara hawakushitakiwa kwa kosa la ugaidi ?