Sio mwana×2 Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza.. Huko ni kuvuka Mipaka

Sio mwana×2 Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza.. Huko ni kuvuka Mipaka

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
34,059
Reaction score
79,416
Kumekuchwa!

Gwajima ameambiwa Ngoma sio Yake anaicheza, ataharihu. Lakini mwimbaji wa singeli yeye anakuambia; Sio mwana! Sio mwana! Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza! Huko ni kuvuka Mipaka.

Majibu hayo yanaonyesha wazi kuwa alichokisema Gwajima ni sahihi kabisa. Lakini ishu inakuja, pilipili usiyoila yakuwashia nini?

Gwajima anaambiwa ngoma sio yake, lakini anaicheza. Gwajima anaambiwa amesema mambo yasiyomhusu. Ameingilia mambo yasiyomhusu.

Anafanya mambo ambayo hakupaswa afanye kwani wenye Ngoma wapo.

Kwamba, Gwajima hujatekewa hata ndugu yako yeyote, hakuna ndugu yako yeyote aliyeuawa. Wanatekwa na wanauawa wa wengine. Wewe inakuhusu nini?

So many! Sio mwana!

Haya!
Sabato Njema
 
Kumekuchwa!

Gwajima ameambiwa Ngoma sio Yake anaicheza, ataharihu. Lakini mwimbaji wa singeli yeye anakuambia; Sio mwana! Sio mwana! Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza! Huko ni kuvuka Mipaka.

Majibu hayo yanaonyesha wazi kuwa alichokisema Gwajima ni sahihi kabisa. Lakini ishu inakuja, pilipili usiyoila yakuwashia nini?

Gwajima anaambiwa ngoma sio yake, lakini anaicheza. Gwajima anaambiwa amesema mambo yasiyomhusu. Ameingilia mambo yasiyomhusu.
Anafanya mambo ambayo hakupaswa afanye kwani wenye Ngoma wapo.

Kwamba, Gwajima hujatekewa hata ndugu yako yeyote, hakuna ndugu yako yeyote aliyeuawa. Wanatekwa na wanauawa wa wengine. Wewe inakuhusu nini?

So many! Sio mwana!

Haya!
Sabato Njema
Gwajima ni mwizi wa kura ni mchafu
 
Kumekuchwa!

Gwajima ameambiwa Ngoma sio Yake anaicheza, ataharihu. Lakini mwimbaji wa singeli yeye anakuambia; Sio mwana! Sio mwana! Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza! Huko ni kuvuka Mipaka.

Majibu hayo yanaonyesha wazi kuwa alichokisema Gwajima ni sahihi kabisa. Lakini ishu inakuja, pilipili usiyoila yakuwashia nini?

Gwajima anaambiwa ngoma sio yake, lakini anaicheza. Gwajima anaambiwa amesema mambo yasiyomhusu. Ameingilia mambo yasiyomhusu.

Anafanya mambo ambayo hakupaswa afanye kwani wenye Ngoma wapo.

Kwamba, Gwajima hujatekewa hata ndugu yako yeyote, hakuna ndugu yako yeyote aliyeuawa. Wanatekwa na wanauawa wa wengine. Wewe inakuhusu nini?

So many! Sio mwana!

Haya!
Sabato Njema
Gwajima alianza na kufufua wafu kanisani kwake akakwama, akataka kuwapeleka wananchi wapiga kura wa kawe china na marekani akakwama, akataka kuwaletea wapiga kura wavuvi wa kawe boti za kisasa za uvuvi akakwama, akataka kujenga reli ya kisasa kawe akakwama,

ukiangalia yote haya,
kabisa hata hayakua majukumu ya nafasi yake. Na ndio maana anakosea kila ngoma anayojaribu kucheza kwasabb sio yake 🐒
 
Gwajima alianza na kufufua wafu kanisani kwake akakwama, akataka kuwapeleka wananchi wapiga kura wa kawe china na marekani akakwama, akataka kuwaletea wapiga kura wavuvi wa kawe boti za kisasa za uvuvi akakwama, akataka kujenga reli ya kisasa kawe akakwama,

ukiangalia yote haya,
kabisa hata hayakua majukumu ya nafasi yake. Na ndio maana anakosea kila ngoma anayojaribu kucheza kwasabb sio yake 🐒

Gwajima!
Sijakuona Leo kwenye Mkutano
 
Rais kasahau angemsikiliza na Roma Wanaomkosoa ndio wanampenda wanaomsifia wengi maadui. Ili wapate teuzi ndo wanamlamba miguu. Wakimpamba hawamsaidii Amiri Jeshi Mkuu

Kwa CCM ni ukosefu wa adabu kumkosoa Mwenyekiti au Mkubwa wako.
Hiyo KAZI waachie wasio CCM
Ndio kauli ya Ngoma sio yako unaicheza
 
Kumekuchwa!

Gwajima ameambiwa Ngoma sio Yake anaicheza, ataharihu. Lakini mwimbaji wa singeli yeye anakuambia; Sio mwana! Sio mwana! Ngoma sio yako unaicheza! Unaicheza! Huko ni kuvuka Mipaka.

Majibu hayo yanaonyesha wazi kuwa alichokisema Gwajima ni sahihi kabisa. Lakini ishu inakuja, pilipili usiyoila yakuwashia nini?

Gwajima anaambiwa ngoma sio yake, lakini anaicheza. Gwajima anaambiwa amesema mambo yasiyomhusu. Ameingilia mambo yasiyomhusu.

Anafanya mambo ambayo hakupaswa afanye kwani wenye Ngoma wapo.

Kwamba, Gwajima hujatekewa hata ndugu yako yeyote, hakuna ndugu yako yeyote aliyeuawa. Wanatekwa na wanauawa wa wengine. Wewe inakuhusu nini?

So many! Sio mwana!

Haya!
Sabato Njema
Mimi sipendi ngoma za kiswahili. Napenda za singeli tu.
 
Tutendeane wema na tuishi kwa upendo.
Matukio ya kutekana, kuuana, kudhulumiana, kutesana, kubambiakiana kesi na mengine yafananayo na hayo ni ushetani na adhabu yake ni moto wa milele siku ya kiyama

Tatizo sio kila mtu anaamini hizo hadithi za Moto.
Kama kuna watu wa kawaida hawaamini uwepo wa Mungu. Jua wapo wakuu wa usalama na viongozi wasioamini mambo hayo.
 
  • Thanks
Reactions: K11

Similar Discussions

Back
Top Bottom