Sio Mungu tu tuliyemkataa

Sio Mungu tu tuliyemkataa

It's your problem not mine.
Chagua lugha moja unayoifahamu vizuri kisha uitumie. Hii kuchanganya misimbo bila sababu za msingi ni aina mojawapo ya ushamba na ulimbukeni tulionao Wabongo. Pengine ni kutaka kuonekana kuwa tumesoma. Ajabu sasa tukiambiwa tuonyeshe huo "usomi" kwa kuandika au kuzungumza hiyo lugha ya "kisomi" ni majanga tupu.

Kiingereza hatukiwezi mbali na kuchomekea chomekea hivi kiholela bila sababu za msingi. Kiswahili fasaha nacho kimeshaanza kutushinda. Lugha za mama tushaachana nazo ali mradi vurugu tupu! 😔
 
Personal beefing ni nini? Ni kweli umekaa neno la Kiswahili? 😳
Ukikaaa humu jeiefu kuanza kufuatilia nani yupo sahihi kimaandishi na kimantiki ... Utaishi kwa stress sana ...

Af nikwambie ... Huna audacity wala Moral authority ya kumpangia mtu aandike aje wakati akitaka kufikisha mawazo yake au hisia zake humu....
 
Another Sunday, another boredom, another weekend. Nimeamka Salama namshukuru Mungu. It got me thinking, when was the last time going to church? Je namshukuru Mungu kweli, au naongea tu Kwa vile ni msemo wa Kila siku(jumapili especially!) je huyo Mungu WA kanisani nisiyemuamini Kwa nini bado naona anafaa?

Wengi walio kulia katika strong religious families one of the things never miss church. Lazima uende hata kama unaumwa, Mzee alikua anatucharaza, sikupenda kwenda, wala sikutaka kusikia mambo ya kanisani. I hated it, I hated false claims of God, who I knew never believed existed. Toka nikiwa mdogo sikupenda na sikutaka kukubali kuamini Kuna Mungu, mungu aliyefanya mtu wangu wa karibu kuugua na kufa mbele yangu bila hatia.

Ilikua ni scam ya kuwafanya watu wa hope kwenye kitu kisicho kuwepo, na kujifariji life will get better, while ukweli nothing changes when nothing happens.

Ila, Kuna kitu najifunza, despite all that Kuna maana iliyopo behind.. sometimes tuna Fanya vitu based on our experiences. Tunamkataa mungu, (najua hayupo) because tunajichukia wenyewe. Tunaepuka maandhari Fulani kwasababu yana tu trigger past hurts.

Tunaaacha kukaa karibu na watu Fulani kwa sababu tunahisi wana element za wale walotuumiza.

Moja ya vitu vikuu vinavyo ifanya society I thrive, ni social connection.

Lakini kadri unavyokua, unaanza kuona kwamba si kila kitu kinabebwa na “belief.” Kuna vitu vina survive hata pale ambapo imani imekufa.
Na mojawapo ni connection ya watu kwa watu.

Kanisa, msikiti, temples, vikundi vya jamii mara nyingi havikudumu tu kwa sababu watu waliamini kila kitu walichoambiwa. Vimedumu kwa sababu vilitengeneza sehemu ya watu kuonana, kusikilizana, kusaidiana, kuombolezana, kucheka pamoja.
Human beings are social beings before they are ideological beings.

Ndiyo maana hata mtu asiyeamini Mungu bado anahitaji belonging.
Anahitaji kuitwa na mtu akiwa kimya sana.
Anahitaji kukumbukwa siku mbaya.
Anahitaji sehemu ambayo presence yake ina matter.

Ila with rise of technology na false idealisms, watu wengi tunafanya vitu based on hypertension na kutaka ku satisfy ego zetu. Nimeacha kwenda kanisani since chuo, na hata kama nilienda nilienda out of special events kama ndoa. Hii kitu imwnifanya nifikirie sana, of course God is what we go church for, but there's more to that.

Watu wazima wenye emotional integrity wanajua kabisa, it's people we lve for, it's love and connection we long for. Ukiangalia depression levels zinakuwa Kwa sababu hiyo, watu wanapata mental illnesses because of isolation. Tunazidi kuwehuka, tunazidi kuwa watu wasio na clear thought process Kwa sababu tunajilimbikizia vitu ambavyo in a grand scheme of life havina mashiko. Maisha yalikua simple zamani, sawa wazee walikuwa ignorant to some extent ila at least walikuwa na direction. Walikuwa na kitu cha kufia, kitu cha kuwa sukuma, when things felt impossible. Though it was delusional it still worked. Kuna nguvu katika belief.

Mwisho wa siku, labda maana halisi haipo kwenye doctrine zote tulizolazimishwa kuamini.
Labda ipo kwenye uwezo wa binadamu kuwa sehemu salama kwa binadamu mwingine.

Nawasilisha.
Happy Sunday y'all
ugumu wa maisha kutokana na sababu mbalimbali kama vile uvivu n.k,
hufanya wengi nyakati hizi kukata tamaa kabisa ya maisha na kuacha hata imani zao za kidini, huku wakidhihirisha ukengeufu wao kwa kujipiga kifua na kujivika usomi ambao pia, kwa mtazamo wa kawaida kabisa hata hauonekani kwenye wanachojaribu kukiamini baada ya kuasi imani zao za awali. Zaidi sana, kinachoonekana ni ujanja ujanja tu usioeleweka kwa wanaohubiriwa.

kwani ukiwa na imani yako kwa Mungu au usipokua na imani kwa Mungu, kuna haja gani ya kuweweseka na kubabaika na wasiohangaika na una choamini au usicho amini? Si ukomae na maisha yako kwa amani na kusonga mbele kimya kimya tu na itapendeza zaidi?
 
Na unaweza kukuta hao watu wawili ni mtu mmoja tu!

😀😀
Ndio maana nikakuuliza mantiki ya andiko lako ni lipi? Sababu nimeona umehemka tu
Nyie wote mme react badala ya kusoma. Mbona nipo clear kabisa, mnataka jibu hakuna jibu hapo. Nimeweka contrast ili mtu ajue la kuchagua kivyake. Na kama hujaelewa that's not my blame.
 
Mpaka sasa watu watatu tumemwambia haeleweki nyie mpo wawili nadhani ushajua upande wenye shida
He's right. And if you think he's wrong,you are right . No body is wrong and If you think I'm right or wrong you are right ☠️💀
 
Mtu anaandika vitu havieleweki sababu ya kuchanganya lugha hovyo tu bila sababu za msingi unamwambia anapaniki anaanza kutukana. JF hii kuna watu wa kila aina ni kuvumiliana tu!
Yeye mwenyewe hajaelewa alichokiandika ndio maana anashindwa kujitetea anaishia kuongea maneno ya kiingereza na hivi sielewi basi tabu tupu
 
Nyie wote mme react badala ya kusoma. Mbona nipo clear kabisa, mnataka jibu hakuna jibu hapo. Nimeweka contrast ili mtu ajue la kuchagua kivyake. Na kama hujaelewa that's not my blame.
Watu wana emotional swings za asubuhi.... Shida watu hawasomi kitu kukielewa
 
Ukikaaa humu jeiefu kuanza kufuatilia nani yupo sahihi kimaandishi na kimantiki ... Utaishi kwa stress sana ...

Af nikwambie ... Huna audacity wala Moral authority ya kumpangia mtu aandike aje wakati akitaka kufikisha mawazo yake au hisia zake humu....
Mkuu this is Tz, watu hawawezi ku think for themselves so they project their ignorance Kwa wengine. Total B.S
 
kwani ukiwa na imani yako kwa Mungu au usipokua na imani kwa Mungu, kuna haja gani ya kuweweseka na kubabaika na wasiohangaika na una choamini au usicho amini? Si ukomae na maisha yako kwa amani na kusonga mbele kimya kimya tu na itapendeza zaidi?
This guy is just trying to seek public approval,public validation or public confirmation from a crowd,society via social media rather than from within.
 
Ukikaaa humu jeiefu kuanza kufuatilia nani yupo sahihi kimaandishi na kimantiki ... Utaishi kwa stress sana ...

Af nikwambie ... Huna audacity wala Moral authority ya kumpangia mtu aandike aje wakati akitaka kufikisha mawazo yake au hisia zake humu....
Sijafuatilia mtu wala sijapangia mtu cha kuandika ila nimetoa maoni yangu tu. Kwa nini umepaniki hivi? Ulipoanzisha uzi ungeweka angalizo kuhusu maoni unayoyataka. Na kwa nini unajihisi wewe ndiyo una mamlaka ya kuamua watu waseme nini kwenye andiko lako? Wewe ni dikteta uchwara ama? Kuna kosa lo lote la kisheria au kikatiba ambalo nimelifanya kwa kutoa maoni yangu tena kwa lugha ya heshima bila matusi?

Na audacity na moral authority ni nini? Ni kweli umekosa maneno sahihi ya Kiswahili au ni ulimbukeni tu? 😅
 
Sijafuatilia mtu wala sijapangia mtu cha kuandika ila nimetoa maoni yangu tu. Kwa nini umepaniki hivi? Ulipoanzisha uzi ungeweka angalizo kuhusu maoni unayoyataka. Na kwa nini unajihisi wewe ndiyo una mamlaka ya kuamua watu waseme nini kwenye andiko lako? Wewe ni dikteta uchwara ama? Kuna kosa lo lote la kisheria au kikatiba ambalo nimelifanya kwa kutoa maoni yangu tena kwa lugha ya heshima bila matusi?

Na audacity na moral authority ni nini? Ni kweli umekosa maneno sahihi ya Kiswahili au ni ulimbukeni tu? 😅
Huyo uliyemquote sio mleta mada bali ni pacha wake,
Naona alisahau kulog out ili akujibu kwa ID aliyo shushia mada.

😀 😀
 
Back
Top Bottom