Sio mafuta tu, Rais Samia Suluhu aweka ruzuku na kwenye mbolea

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Apr 26, 2022
259
353
Serikali imetenga Bil 150 kugharamia ruzuku ya mbolea itakayotolewa kwa wakulima nchini kwa ajili ya kupunguzwa makali ya bei ya mbolea. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea katika kilele cha maonyesho ya Nanenane, yatakayofanyika mkoani Mbeya.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dkt. Stephen Ngailo, alisema ruzuku hiyo, itasaidia wakulima kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye kilimo. Pia ruzuku hiyo itasaidia wakulima kuimarisha usalama wa chakula na kuongeza upatikanaji wa malighafi za viwanda vya ndani.

Mbolea ambazo zitatolewa kwa ruzuku ni kwa ajili ya kupandia na kukuzia, aina nyingine za kupandia na kukuzia, zitahusishwa katika ruzuku kulingana na mahitaji ya soko.

a9e02a319d7a0f72b376c33fd9363d89.jpg
 
Hivi wanaosifu kila siku wao huwa hawaoni hali ilivyo mtaani?Hata kama wanalipwa 10000 kwa Siku za propaganda huwa zinatosheleza kununua mahitaji yao mhimu?au huwa wanajitoa ufahamu?
Hakuna mtu anayelipwa kusemea anachoamini. Kama unaona hali mbaya pambana usilazimishe kila mtu apitie madhila yako. Kama una hali ngumu pole, ila usilazimishe kila mtu aone ugumu unaopitia. Kama sisi tunalipwa kusifia, hata wewe unalipwa kuponda. Binafsi naona Rais Samia Suluhu anafanya kazi ya kikuhani sana.
 
Hakuna mtu anayelipwa kusemea anachoamini. Kama unaona hali mbaya pambana usilazimishe kila mtu apitie madhila yako. Kama una hali ngumu pole, ila usilazimishe kila mtu aone ugumu unaopitia. Kama sisi tunalipwa kusifia, hata wewe unalipwa kuponda. Binafsi naona Rais Samia Suluhu anafanya kazi ya kikuhani sana.
Eti kikuhani rubbish, Monduli, Simanjiro na Kiteto ndugu zako wanazunguka na mifugo hawana hata maji wanakula vumbi
 
Hivi wanaosifu kila siku wao huwa hawaoni hali ilivyo mtaani?Hata kama wanalipwa 10000 kwa Siku za propaganda huwa zinatosheleza kununua mahitaji yao mhimu?au huwa wanajitoa ufahamu?
Ni mjinga tu, eti naye anasubiri uteuzi baada ya kuona sahivi ana miaka 40 haolewi kaishia kuzalishwa watoto kibao
 
Serikali imetenga Bil 150 kugharamia ruzuku ya mbolea itakayotolewa kwa wakulima nchini kwa ajili ya kupunguzwa makali ya bei ya mbolea. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua mpango wa utoaji wa ruzuku ya mbolea katika kilele cha maonyesho ya Nanenane, yatakayofanyika mkoani Mbeya.

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) Dkt. Stephen Ngailo, alisema ruzuku hiyo, itasaidia wakulima kuongeza uzalishaji wenye tija kwenye kilimo. Pia ruzuku hiyo itasaidia wakulima kuimarisha usalama wa chakula na kuongeza upatikanaji wa malighafi za viwanda vya ndani.

Mbolea ambazo zitatolewa kwa ruzuku ni kwa ajili ya kupandia na kukuzia, aina nyingine za kupandia na kukuzia, zitahusishwa katika ruzuku kulingana na mahitaji ya soko.

View attachment 2305538
Majizi wakubwa, hiyo ruzuku ya mafuta imemnufaisha vipi Mtanzania wa kawaida? Mbona gharama za maisha ziko juu zaidi kuliko hata kabla ya kutoa ruzuku ya mafuta? Nauli ziko juu halafu eti wanatoa ruzuku nyingine tena ya wizi kwenye mbolea.
 
Majizi wakubwa, hiyo ruzuku ya mafuta imemnufaisha vipi Mtanzania wa kawaida? Mbona gharama za maisha ziko juu zaidi kuliko hata kabla ya kutoa ruzuku ya mafuta? Nauli ziko juu halafu eti wanatoa ruzuku nyingine tena ya wizi kwenye mbolea.
Katika soko huria Serikali ina mkono mfupi sana katika kukabiliana kupanda na kushuka kwa bei ya bidhaa na hasa ikiwa katika bidhaa ambayo nchi kama nchi haizalishi. Serikali ya Rais Samia Suluhu imefanya jitihada kubwa sana kukabili bei ya mafuta kwa kuweka ruzuku ambayo imefanya atleast bei ya mafuta kuwa 3000k kwa lita, lakini kama sio hii ruzuku tungekuwa tunazungumza habari nyingine hapa. Nitajie nchi moja ambayo haipitii wakati kama wetu?
 
Back
Top Bottom