Sio lazima useme kwamba ulisota sana kwenye maisha ili kutu-motivate

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,221
22,295
Kwenye ahadi za mwanaCCM kuna ila inayosema, fitina kwangu mwiko na nitakuwa mkweli daima. Nikiwa kama mwanaCCM mwenye kadi iliyolipiwa ada nakataa kabisa mambo ya kinafiki na kudanganyana.

Miaka ya hivi karibuni kumejitokeza watu wengi sana wahamasishaji wa mafanikio (Motivational Speakers) ambao naona wanachofanya ni jema sana na ni msaada kwa nchi. Ila pia kumejitokeza mambo mengi yenye ukakasi kwenye shughuli za hawa watu.

Wengi wao pia ni jobless wanaoongea kwa kukopi wahamasishaji wa marekani hali ambayo inakosa uhalisia kwa mazingira ya nchi yetu. Hali ya maisha, utamaduni na mfumo wa maisha ya Tanzania una tofauti kubwa na kule USA hivyo mhamasishaji wa USA hawezi kuwa sawa na wa Tanzania.

Sasa shida inakuja mhamasishaji anapokuja na maneno ya kina Kiyosaki, Ben Carson na kuwaambia vijana wa Nanjilinji. Mwisho wa siku inakuwa sio hamasa bali kuwavuruga zaidi vijana.

Kilichonisukuma zaidi hadi kuandika uzi ni hii tabia ya kila Motivational Speaker kudai alipitia maisha magumu sana hadi kufika alipofika.

Tena wanaokera zaidi ni wale ambao kiuhalisia bado wana maisha magumu na kujikweza. Nitatoa mifano michache ya watanzania maarufu ambao motivation zao zimejaa utata na kukosa uhalisia.

1. MAJIZO: Huyu bosi wa EFM huwa anadai alikuwa anakosa hata hela ya kula enzi akiwa DJ ila akapambana na kufungua redio. Nikipiga thamani ya uwekezaji wake pale EFM na muda aliotumia kutoka U-DJ hadi kuwa mmiliki wa redio kubwa nchini hesabu zinakuwa zinakataa. Na kama ingekuwa hivyo basi Aboubakar Sadik aliyekuwa nae Kwafujo DJs angekuwa nae kashafungua redio au kitega uchumi kikubwa.

2. FRED VUNJABEI: Huyu kijana nae analeta ukakasi sana. Anadai ELIMU tu alichopewa na baba yake ambaye pia ni mfanyabishara mwenye mafanikio kwa ngazi ya Iringa. Lakini katika hali ya kushangaza anatuambia kabla ya kuuza nguo alikuwa mwajiriwa kama mhasibu huku akianza biashara za kwenda China wakati akiwa mwajiriwa. Pia anatuambia alishawahi kuwa muuza magari na kusafiri nchi nyingi. Katika hali ya kushangaza zaidi anadai alikuwa na mtaji mdogo sana ikabidi amchangie rafiki yake aanze kwanza biashara ambaye baada ya kufanikiwa ndo akampa Fred 20m. Huyu kijana nae aachane na mambo ya kusema alipambana sana.

3. MABINTI MAARUFU WENGI; Hili group lina watu wengi ndo maana nimeona niwataje kama group. Wengi wao wanashinda hotel za kitalii wakila bata na kuudanganya umma kwamba wamepambana sana kufikia hapo.

Nashauri Motivational Speakers wakaiga mfano wa Sugu, Mzee Mtei, Marehemu Mengi na Ruge ambao stori zao zimejaa uhalisia na kweli wanahamasisha.
 
Kwenye ahadi za mwanaCCM kuna ila inayosema, fitina kwangu mwiko na nitakuwa mkweli daima. Nikiwa kama mwanaCCM mwenye kadi iliyolipiwa ada nakataa kabisa mambo ya kinafiki na kudanganyana.

Miaka ya hivi karibuni kumejitokeza watu wengi sana wahamasishaji wa mafanikio (Motivational Speakers) ambao naona wanachofanya ni jema sana na ni msaada kwa nchi. Ila pia kumejitokeza mambo mengi yenye ukakasi kwenye shughuli za hawa watu.

Wengi wao pia ni jobless wanaoongea kwa kukopi wahamasishaji wa marekani hali ambayo inakosa uhalisia kwa mazingira ya nchi yetu. Hali ya maisha, utamaduni na mfumo wa maisha ya Tanzania una tofauti kubwa na kule USA hivyo mhamasishaji wa USA hawezi kuwa sawa na wa Tanzania.

Sasa shida inakuja mhamasishaji anapokuja na maneno ya kina Kiyosaki, Ben Carson na kuwaambia vijana wa Nanjilinji. Mwisho wa siku inakuwa sio hamasa bali kuwavuruga zaidi vijana.

Kilichonisukuma zaidinhadi kuandika uzi ni hii tabia ya kila Motivational Speaker kudai alipitia maisha magumu sana hadi kufika alipofika.

Tena wanaokera zaidi ni wale ambao kiuhalisia bado wana maisha magumu na kujikweza. Nitatoa mifano michache ya watanzania maarufu ambao motivation zao zimejaa utata na kukosa uhalisia.

1. MAJIZO: Huyu bosi wa EFM huwa anadai alikuwa anakosa hata hela ya kula enzi akiwa DJ ila akapambana na kufungua redio. Nikipiga thamani ya uwekezaji wake pale EFM na muda aliotumia kutoka U-DJ hadi kuwa mmiliki wa redio kubwa nchini hesabu zinakuwa zinakataa. Na kama ingekuwa hivyo basi Aboubakar Sadik aliyekuwa nae Kwafujo DJs angekuwa nae kashafungua redio au kitega uchumi kikubwa.

2. FRED VUNJABEI: Huyu kijana nae analeta ukakasi sana. Anadai ELIMU tu alichopewa na baba yake ambaye pia ni mfanyabishara mwenye mafanikio kwa ngazi ya Iringa. Lakini katika hali ya kushangaza anatuambia kabla ya kuuza nguo alikuwa mwajiriwa kama mhasibu huku akianza biashara za kwenda China wakati akiwa mwajiriwa. Pia anatuambia alishawahi kuwa muuza magari na kusafiri nchi nyingi. Katika hali ya kushangaza zaidi anadai alikuwa na mtaji mdogo sana ikabidi amchangie rafiki yake aanze kwanza biashara ambaye baada ya kufanikiwa ndo akampa Fred 20m. Huyu kijana nae aachane na mambo ya kusema alipambana sana.

3. MABINTI MAARUFU WENGI; Hili group lina watu wengi ndo maana nimeona niwataje kama group. Wengi wao wanashinda hotel za kitalii wakila bata na kuudanganya umma kwamba wamepambana sana kufikia hapo.

Nashauri Motivational Speakers wakaiga mfano wa Sugu, Mzee Mtei, Marehemu Mengi na Ruge ambao stori zao zimejaa uhalisia na kweli wanahamasisha.
Sugu anadai alikuwa mlinzi wa bandari
 
Waliotoboa wamehaso mkuu,hakuna free success, kumbuka mafanikio hayanunuliwi kariakoo na Wala huwezi honga ukayapata. It's coming by blood sweat and tears some uncountable sleepless night ,you ignore even bathing or doing your personal hygiene even eating habit inachanje.
We use our health to gain wealth later we use our wealth to gain back our lost health during searching that wealth
 
Waliotoboa wamehaso mkuu,hakuna free success, kumbuka mafanikio hayanunuliwi kariakoo na Wala huwezi honga ukayapata. It's coming by blood sweat and tears some uncountable sleepless night ,you ignore even bathing or doing your personal hygiene even eating habit inachanje.
We use our health to gain wealth later we use our wealth to gain back our lost health during searching that wealth

unajua kwann waliochapika kweli kweli kisha wakaanza moja moja mpaka juu huwa hawatoi ushirikiano ukiwauliza maswali zaidi ya kukupanga tu komaa na kutafuta??

ila hawa wa shortcut lazima aanze na historia kwanza,bila kujua anakuchanganya tu.
 
Hawa matajiri wa bongo kama fred, majizzo na wengine huwa hawanipi hamasa...kuna mkono au msaada wa mtu uliwabeba ndo wakafika hapo si hivhivi.

hasahasa majizzo nasikia ni wale jamaa wapenda rainbow
Tena naskia wengine ndo wazee wa poda katikati ya Mji.
 
Kwenye ahadi za mwanaCCM kuna ila inayosema, fitina kwangu mwiko na nitakuwa mkweli daima. Nikiwa kama mwanaCCM mwenye kadi iliyolipiwa ada nakataa kabisa mambo ya kinafiki na kudanganyana.

Miaka ya hivi karibuni kumejitokeza watu wengi sana wahamasishaji wa mafanikio (Motivational Speakers) ambao naona wanachofanya ni jema sana na ni msaada kwa nchi. Ila pia kumejitokeza mambo mengi yenye ukakasi kwenye shughuli za hawa watu.

Wengi wao pia ni jobless wanaoongea kwa kukopi wahamasishaji wa marekani hali ambayo inakosa uhalisia kwa mazingira ya nchi yetu. Hali ya maisha, utamaduni na mfumo wa maisha ya Tanzania una tofauti kubwa na kule USA hivyo mhamasishaji wa USA hawezi kuwa sawa na wa Tanzania.

Sasa shida inakuja mhamasishaji anapokuja na maneno ya kina Kiyosaki, Ben Carson na kuwaambia vijana wa Nanjilinji. Mwisho wa siku inakuwa sio hamasa bali kuwavuruga zaidi vijana.

Kilichonisukuma zaidi hadi kuandika uzi ni hii tabia ya kila Motivational Speaker kudai alipitia maisha magumu sana hadi kufika alipofika.

Tena wanaokera zaidi ni wale ambao kiuhalisia bado wana maisha magumu na kujikweza. Nitatoa mifano michache ya watanzania maarufu ambao motivation zao zimejaa utata na kukosa uhalisia.

1. MAJIZO: Huyu bosi wa EFM huwa anadai alikuwa anakosa hata hela ya kula enzi akiwa DJ ila akapambana na kufungua redio. Nikipiga thamani ya uwekezaji wake pale EFM na muda aliotumia kutoka U-DJ hadi kuwa mmiliki wa redio kubwa nchini hesabu zinakuwa zinakataa. Na kama ingekuwa hivyo basi Aboubakar Sadik aliyekuwa nae Kwafujo DJs angekuwa nae kashafungua redio au kitega uchumi kikubwa.

2. FRED VUNJABEI: Huyu kijana nae analeta ukakasi sana. Anadai ELIMU tu alichopewa na baba yake ambaye pia ni mfanyabishara mwenye mafanikio kwa ngazi ya Iringa. Lakini katika hali ya kushangaza anatuambia kabla ya kuuza nguo alikuwa mwajiriwa kama mhasibu huku akianza biashara za kwenda China wakati akiwa mwajiriwa. Pia anatuambia alishawahi kuwa muuza magari na kusafiri nchi nyingi. Katika hali ya kushangaza zaidi anadai alikuwa na mtaji mdogo sana ikabidi amchangie rafiki yake aanze kwanza biashara ambaye baada ya kufanikiwa ndo akampa Fred 20m. Huyu kijana nae aachane na mambo ya kusema alipambana sana.

3. MABINTI MAARUFU WENGI; Hili group lina watu wengi ndo maana nimeona niwataje kama group. Wengi wao wanashinda hotel za kitalii wakila bata na kuudanganya umma kwamba wamepambana sana kufikia hapo.

Nashauri Motivational Speakers wakaiga mfano wa Sugu, Mzee Mtei, Marehemu Mengi na Ruge ambao stori zao zimejaa uhalisia na kweli wanahamasisha.
Mkuu mtu kumiliki assert za mabilion sio mchezo angalia vijana wangapi wanasota akili ya ziada hao waliofanikiwa wamefanya
 
Waliotoboa wamehaso mkuu,hakuna free success, kumbuka mafanikio hayanunuliwi kariakoo na Wala huwezi honga ukayapata. It's coming by blood sweat and tears some uncountable sleepless night ,you ignore even bathing or doing your personal hygiene even eating habit inachanje.
We use our health to gain wealth later we use our wealth to gain back our lost health during searching that wealth
Sio lazima bro. Unaweza kupata zali ukawa tajiri.
 
Hata Mo Dewji anapenda kuonekana amepambana sana. Hakuna MTU asiyependa kuona juhudi zake zinakuwa appreciated.

Mo Dewji ukimwambia Mali zake za urithi hapendi kabisa.

Kina Drake hawakutoka maisha magumu, lakini wanapenda kuonekana hivyo mpaka ana ngoma yake ya "Started from the Bottom, Now We are here"
 
Mi labda diamond hao wengine naona wamepiga shortcut hata mengi kala shortcut alipewa pesa kibao kama mkopo ambapo nyerere alitoa hamasa ili kutengeneza mabillionea wazawa plus CPA yake ile alisoma pia ni wakisure ukifuatilia trend ya ukoo wao.. wakina mzee mtei wote wa kishua watu waliopiga pesa mwanzano kabisa ..
 
Utajiri ni SIRI. SIRI ndiyo utajiri wao. Ndiyo maana hawawezi kukupa chanzo haswa cha utajiri, maana ni SIRI.

Mungu mwenyewe ni tajiri mkuu. Ila ukianza kujiuliza umeumbaje ulimwengu na material kapata wapi, huwezi kujua. Mungu hajawahi kuonekana, yaani hajulikani.

Vivyo hivyo utajiri wa Vunja Bei, Majizo na akina Mo ni siri. Na hiyo siri ndiyo utajiri wao.

Mtoa mada huendelei kwa sababu wewe huna siri.

Mataifa yote makubwa yenye uchumi mzuri yapo vizuri kwenye sekta ya siri.

Serikali ndiye tajiri mkuu Tanzania kwa sababu ina siri. Siri kali!

 
Utajiri ni SIRI. SIRI ndiyo utajiri wao. Ndiyo maana hawawezi kukupa chanzo haswa cha utajiri, maana ni SIRI.

Mungu mwenyewe ni tajiri mkuu. Ila ukianza kujiuliza umeumbaje ulimwengu na material kapata wapi, huwezi kujua. Mungu hajawahi kuonekana, yaani hajulikani.

Vivyo hivyo utajiri wa Vunja Bei, Majizo na akina Mo ni siri. Na hiyo siri ndiyo utajiri wao.

Mtoa mada huendelei kwa sababu wewe huna siri.

Mataifa yote makubwa yenye uchumi mzuri yapo vizuri kwenye sekta ya siri.

Serikali ndiye tajiri mkuu Tanzania kwa sababu ina siri. Siri kali!

Mimi ni tajiri wa mahaba.
 
Back
Top Bottom