Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
-
- #81
Safi sana,,,,,,,,, na wish watu wengi wangekua na mtazamo huu,,,,,,mausha yangekua rahisi kidogo,,,,,,Big up kwa wote wenye principle hii
Karibu sana mremboMwenye kuelewa na aelewe hayo uyasemayo...
Ila zinaa ni dhambi piamimi uwa sipendagi ujinga, ndio maana nawapenda wanawake wa bar sio wa kwako ni wa mteja wa wakati huo.
Ukiona MTU anakung'ang'ania ujue kuna kitu amekiona kwako so anadhani akikuacha anaweza asikipate hicho kitu huko atakakokuwaIgweeeeeeeeee!!!
Natumaini mu wazima wanaJF wenzangu. Ikiwa ni tofauti na hivyo basi Mungu awafanyie wepesi katika changamoto mnazopitia.
Kumezuka tabia ya watu siku hizi kulazimisha mapenzi. Utakuta mtu anatumia nguvu kubwa kulazimisha mahusiano. Jambo ninalotaka kuleieleza hapa ni kuwa sio lazima awe wako.
Wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake ndio usiseme. Kama hakutaki muache aende. Hukuumbiwa yeye wala hana ushahidi wowote kuwa iliandikwa sehemu yakuwa utakuwa wake.
Wapo watu huwatoka mapovu kila uchwao, Jasho linawatiriri kwa sababu ya mahaba. Machozi na makamasi mepesi hudondoka katika pua zao Kama watu waliorukwa na akili. Aliyekuambia ni lazima awe wako ni nani. Mambo mengine sio ya kuyaendekeza.
Mimi nilishashtuka mapema tokea nikiwa Sekondari.
Huwaga nawaambiaga kuwa Ahsante kwa kushiriki. Kama hajaridhishwa na tabia yangu namwambia wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake hivyo kila mtu na apeperuke apendapo.
Nasemaga wazi wazi sijazaliwa kwaajili ya Mtu hapa duniani. Sipo kwaajili ya kumfurahisha yeyote wala kumkwaza yeyote. Ikiwa umependa pigo zangu basi kaa Kama hutaki pita kule. Sio unilitee upuuzi eti wa kunibadilisha tabia.
Kanuni hiyo imenisaidia Sana.
Hivyo ewe mwanaume/ Mwanamke usilazimishe mapenzi kwani sio lazima uwe awe wako.
Akizingua na wewe zingua tuu. Muda wa kuendekeza ujinga wa moyo ulishapitwa na wakati.
Jitu linakusumbua akili na wewe unalitolea macho tuu na kulichekea tuu. Tupa kule.
Kuna mambo mengi ya kufanya, wapo wengi wanaokusubiri ambao wataendana na wewe.
Achana na huyo mjinga ambaye anadhani upo kwaajili yake.
SIO LAZIMA AWE WAKO.
~kwa hisani ya kiumeni
Ndio hivyo mkuuUmeandika point sana jamaa
Uliwahi kung'ang'aniwa hasa na mtu ambaye ulikuwa humpendi?Ukiona MTU anakung'ang'ania ujue kuna kitu amekiona kwako so anadhani akikuacha anaweza asikipate hicho kitu huko atakakokuwa
Na hapo ndipo swala LA kulazimishana linapoingia
Watu wote tungeishi hivyo usingesikia mtu kajiua, mara mtu kaua hata mambo ya kurogana yangepunguaNdio hivyo mkuu
Ni kweli mkuu.Watu wote tungeishi hivyo usingesikia mtu kajiua, mara mtu kaua hata mambo ya kurogana yangepungua
Kwann unauliza hivyo?!Uliwahi kung'ang'aniwa hasa na mtu ambaye ulikuwa humpendi?
Naona mkuu moyo umeshakufa ganzi😛Igweeeeeeeeee!!!
Natumaini mu wazima wanaJF wenzangu. Ikiwa ni tofauti na hivyo basi Mungu awafanyie wepesi katika changamoto mnazopitia.
Kumezuka tabia ya watu siku hizi kulazimisha mapenzi. Utakuta mtu anatumia nguvu kubwa kulazimisha mahusiano. Jambo ninalotaka kuleieleza hapa ni kuwa sio lazima awe wako.
Wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake ndio usiseme. Kama hakutaki muache aende. Hukuumbiwa yeye wala hana ushahidi wowote kuwa iliandikwa sehemu yakuwa utakuwa wake.
Wapo watu huwatoka mapovu kila uchwao, Jasho linawatiriri kwa sababu ya mahaba. Machozi na makamasi mepesi hudondoka katika pua zao Kama watu waliorukwa na akili. Aliyekuambia ni lazima awe wako ni nani. Mambo mengine sio ya kuyaendekeza.
Mimi nilishashtuka mapema tokea nikiwa Sekondari.
Huwaga nawaambiaga kuwa Ahsante kwa kushiriki. Kama hajaridhishwa na tabia yangu namwambia wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake hivyo kila mtu na apeperuke apendapo.
Nasemaga wazi wazi sijazaliwa kwaajili ya Mtu hapa duniani. Sipo kwaajili ya kumfurahisha yeyote wala kumkwaza yeyote. Ikiwa umependa pigo zangu basi kaa Kama hutaki pita kule. Sio unilitee upuuzi eti wa kunibadilisha tabia.
Kanuni hiyo imenisaidia Sana.
Hivyo ewe mwanaume/ Mwanamke usilazimishe mapenzi kwani sio lazima uwe awe wako.
Akizingua na wewe zingua tuu. Muda wa kuendekeza ujinga wa moyo ulishapitwa na wakati.
Jitu linakusumbua akili na wewe unalitolea macho tuu na kulichekea tuu. Tupa kule.
Kuna mambo mengi ya kufanya, wapo wengi wanaokusubiri ambao wataendana na wewe.
Achana na huyo mjinga ambaye anadhani upo kwaajili yake.
SIO LAZIMA AWE WAKO.
~kwa hisani ya kiumeni
PoaMambo
Zaman sanaNaona mkuu moyo umeshakufa ganzi😛
HahahaUsijali Joanah, hata wewe unaweza kufanya hayo.
Mimi mtu akizingua ninachokifanya na-assume Kama amekufa vile Leo kisha nambwaga then maisha yaendelea.
Hivi mpenzi wako akifa Leo hutaendelea kuishi Mkuu.
Embu acha kuishi kwaajili ya MTU. Au hujaelewa sentensi ya Yesu aliposema kila mtu ataubeba mzigo au msalaba wake mwenyewe.
Njoo nikufundishe hizo mishe ila Kama unapresha ya kupanda sitaki coz naweza kupata kesi ya mauaji
Nilichojifunza kwenye maisha ni kwamba kama hujakutana na changamoto kama hizi huwezi kamilika na ni heri mwanamke anayeanza mapenzi akutane na mwanaume mwenye uzoefu na anayeweza kwenda na spidi ya kila mwanamke , hakika mwanamke huyo atakuwa na bahatiIgweeeeeeeeee!!!
Natumaini mu wazima wanaJF wenzangu. Ikiwa ni tofauti na hivyo basi Mungu awafanyie wepesi katika changamoto mnazopitia.
Kumezuka tabia ya watu siku hizi kulazimisha mapenzi. Utakuta mtu anatumia nguvu kubwa kulazimisha mahusiano. Jambo ninalotaka kuleieleza hapa ni kuwa sio lazima awe wako.
Wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake ndio usiseme. Kama hakutaki muache aende. Hukuumbiwa yeye wala hana ushahidi wowote kuwa iliandikwa sehemu yakuwa utakuwa wake.
Wapo watu huwatoka mapovu kila uchwao, Jasho linawatiriri kwa sababu ya mahaba. Machozi na makamasi mepesi hudondoka katika pua zao Kama watu waliorukwa na akili. Aliyekuambia ni lazima awe wako ni nani. Mambo mengine sio ya kuyaendekeza.
Mimi nilishashtuka mapema tokea nikiwa Sekondari.
Huwaga nawaambiaga kuwa Ahsante kwa kushiriki. Kama hajaridhishwa na tabia yangu namwambia wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake hivyo kila mtu na apeperuke apendapo.
Nasemaga wazi wazi sijazaliwa kwaajili ya Mtu hapa duniani. Sipo kwaajili ya kumfurahisha yeyote wala kumkwaza yeyote. Ikiwa umependa pigo zangu basi kaa Kama hutaki pita kule. Sio unilitee upuuzi eti wa kunibadilisha tabia.
Kanuni hiyo imenisaidia Sana.
Hivyo ewe mwanaume/ Mwanamke usilazimishe mapenzi kwani sio lazima uwe awe wako.
Akizingua na wewe zingua tuu. Muda wa kuendekeza ujinga wa moyo ulishapitwa na wakati.
Jitu linakusumbua akili na wewe unalitolea macho tuu na kulichekea tuu. Tupa kule.
Kuna mambo mengi ya kufanya, wapo wengi wanaokusubiri ambao wataendana na wewe.
Achana na huyo mjinga ambaye anadhani upo kwaajili yake.
SIO LAZIMA AWE WAKO.
~kwa hisani ya kiumeni
Hiyo njia inafaa na ndo inayoshauriwa kisaikolojiaI i will never do that to someone i love
Upo sahihi mkuuNilichojifunza kwenye maisha ni kwamba kama hujakutana na changamoto kama hizi huwezi kamilika na ni heri mwanamke anayeanza mapenzi akutane na mwanaume mwenye uzoefu na anayeweza kwenda na spidi ya kila mwanamke , hakika mwanamke huyo atakuwa na bahati