Sio lazima awe wako

Sio lazima awe wako

Hiyo ndio mbinu ya kuyashinda mapenzi mkuu. Vinginevyo utaona lazima awe wako jambo litakalosababisha uteseke kuliko ambavyo ungejitesa mwenyewe.

Huwezi shinda kifo Kama hukuwahi kufa.
kwa hiyo kama ukioa inabidi uoe usiyempenda ili uyashinde mapenzi?
 
Usijali Joanah, hata wewe unaweza kufanya hayo.

Mimi mtu akizingua ninachokifanya na-assume Kama amekufa vile Leo kisha nambwaga then maisha yaendelea.

Hivi mpenzi wako akifa Leo hutaendelea kuishi Mkuu.

Embu acha kuishi kwaajili ya MTU. Au hujaelewa sentensi ya Yesu aliposema kila mtu ataubeba mzigo au msalaba wake mwenyewe.

Njoo nikufundishe hizo mishe ila Kama unapresha ya kupanda sitaki coz naweza kupata kesi ya mauaji
Safi
Taratibu taratibu tutaweza tu
 
Aiseee ukweli unauma hasa ukimpenda asiekupenda na akakupa mabango laivu.


Haa haa haa aiseee umekimbusha
Mbali lakin stak hata kukumbuka

Schek kwa mazur lakin
Nkii imagine vle mtu unakosa
Ucngz ucku kisa tu mabango
Ya live dhaaa
 
kwa hiyo kama ukioa inabidi uoe usiyempenda ili uyashinde mapenzi?
Mkuu hapa nazungumzia upendo wa mwanzo.

Kumbuka upendo wa kwanza unanguvu kuliko wa pili.
Mtu akiumizwa Mara ya kwanza hawezi kupenda Mara ya pili kwa kiwango kile kile. Hivyo nionavyo Mimi usikubali upendo wa mwanzo yaani mtu unayempenda mwanzo akuoe Kama unataka kuyashinda mapenzi.

Sijui unanielewa Mummy.
 
Usijali Joanah, hata wewe unaweza kufanya hayo.

Mimi mtu akizingua ninachokifanya na-assume Kama amekufa vile Leo kisha nambwaga then maisha yaendelea.

Hivi mpenzi wako akifa Leo hutaendelea kuishi Mkuu.

Embu acha kuishi kwaajili ya MTU. Au hujaelewa sentensi ya Yesu aliposema kila mtu ataubeba mzigo au msalaba wake mwenyewe.

Njoo nikufundishe hizo mishe ila Kama unapresha ya kupanda sitaki coz naweza kupata kesi ya mauaji



Mtaka cha mvunguni shart_______
 
Mkuu hapa nazungumzia upendo wa mwanzo.

Kumbuka upendo wa kwanza unanguvu kuliko wa pili.
Mtu akiumizwa Mara ya kwanza hawezi kupenda Mara ya pili kwa kiwango kile kile. Hivyo nionavyo Mimi usikubali upendo wa mwanzo yaani mtu unayempenda mwanzo akuoe Kama unataka kuyashinda mapenzi.

Sijui unanielewa Mummy.
sasa wewe uliumizwa mpk ukashindwa kupenda? au ulikuwa unamsaidia huyo mwenzako uliyemuumiza?
 
Dhaa hii kitu
Inatutesa wengi kumbe
 
sasa wewe uliumizwa mpk ukashindwa kupenda? au ulikuwa unamsaidia huyo mwenzako uliyemuumiza?
Nilikuwa nampenda mrembo mmoja.
Tathmin yangu ya kila siku ilikuwa inanionyesha kila muda unapoenda ndivyo nizidivyo kumpenda na wivu kuongezeka.

Mimi ni mtu wa tathmini ya mambo niyatendayo. Nikaona hili ni janga ambalo lazima nilichukulie hatua mapema. Kwani tukigombana kidogo nilihisi naumia kuliko yeye. Jambo hili sikupenda nilipuuzie na sikutaka likue.

Hivyo niliamua kumbwaga tuu bila sababu ya maana. Alilia sana lakini ilikuwa kwa ajili ya kulinda furaha yangu ya kesho na kufukuza huzuni yangu ya kesho. Japo niliumia Sana kumuacha bila sababu lakini Leo ninafurahia maisha ya mapenzi kuliko ambavyo ningekuwa nae mpaka Leo then aniache.
 
Hahahaa pole jaman,mapenzi haya


Haa haa haa aiseee umekimbusha
Mbali lakin stak hata kukumbuka

Schek kwa mazur lakin
Nkii imagine vle mtu unakosa
Ucngz ucku kisa tu mabango
Ya live dhaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom