Sio lazima awe wako

Sio lazima awe wako

Dah brother hii ni kweli aseee big up post nzuri pia ina ujumbe mzuri sana sana sisi 20s ages.......
 
Walaaah joana
Atakuja kuimalizia
Ulimwambia kama
Ana presha abak tuu aliko

Wakat unashida nae
Amesema anaogopa kumwagana. Wakati Mimi mtu Kama hatuelewani naumuita tuyaongea Kama hatutafikia muafaka basi kila mmoja aote mbawa kwa anga ni kubwa.
 
Mkuu, kuna kitu kinaitwa; "dirisha la johari".

Hata hivyo, nadhani malalamiko haya yapo kiupande upande zaidi.
 
Amesema anaogopa kumwagana. Wakati Mimi mtu Kama hatuelewani naumuita tuyaongea Kama hatutafikia muafaka basi kila mmoja aote mbawa kwa anga ni kubwa.
Dhaaa hiii ya kukaa na
Kuyaongeaa kuona
Kama majesh yatarud

Aiseee kwang nshaipiga
Marufukuuuuu
 
Saiv hakuna kuogopa unajilipua tu ukitimuliwa sawa tu ipo siku ataanza kujileta mwenyewe. Ila kuwa makin tu usifatefate wasichana wa mtaan kwenu(wasumbufu wanakujua hadi boxa) tafuta wa mbali atakuheshimu.
Dhaaa!!! Achaa tu
Cjui nihamie upande huo
Maana sote tunaogopa
Mabango bhas huenda
Kukawa kuzur
 
Saiv hakuna kuogopa unajilipua tu ukitimuliwa sawa tu ipo siku ataanza kujileta mwenyewe. Ila kuwa makin tu usifatefate wasichana wa mtaan kwenu(wasumbufu wanakujua hadi boxa) tafuta wa mbali atakuheshimu.
Numbisa uko Jiji la Kaka??
 
Saiv hakuna kuogopa unajilipua tu ukitimuliwa sawa tu ipo siku ataanza kujileta mwenyewe. Ila kuwa makin tu usifatefate wasichana wa mtaan kwenu(wasumbufu wanakujua hadi boxa) tafuta wa mbali atakuheshimu.
Walaaaa hiiiii hawa hata
Ctak kuwaskia wa ktaan

Bora nijitumbulie kwako wa mbaali
 
IMG-20170220-WA0001.jpg

Walaaaa hiiiii hawa hata
Ctak kuwaskia wa ktaan

Bora nijitumbulie kwako wa mbaali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom