Ryan The King
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 2,789
- 2,701
- Thread starter
- #81
Safi sana,,,,,,,,, na wish watu wengi wangekua na mtazamo huu,,,,,,mausha yangekua rahisi kidogo,,,,,,Big up kwa wote wenye principle hii
Na nchi za Afrika zingeendelea kabisa.
Pasingekuwa na Mwanaume anayefanya kazi kisha pesa zote anaacha Bar au kupeleka kwa mwanamke asiye na pua wala macho. Hawa wanawake wasingekuwa na jeuri Kama hii ya siku hizi.
Pia wanaume nao wasinge wanyanyasa wanawake kwani wanawake wangekuwa wanajitambua lakini kwa vile wengi wao hawajitambui kila siku kelele tuu humu ndani na nje za kusalitiwa au kunyanyaswa.
.. Rest in peace