Sio lazima awe wako

Sio lazima awe wako

Safi sana,,,,,,,,, na wish watu wengi wangekua na mtazamo huu,,,,,,mausha yangekua rahisi kidogo,,,,,,Big up kwa wote wenye principle hii

Na nchi za Afrika zingeendelea kabisa.

Pasingekuwa na Mwanaume anayefanya kazi kisha pesa zote anaacha Bar au kupeleka kwa mwanamke asiye na pua wala macho. Hawa wanawake wasingekuwa na jeuri Kama hii ya siku hizi.

Pia wanaume nao wasinge wanyanyasa wanawake kwani wanawake wangekuwa wanajitambua lakini kwa vile wengi wao hawajitambui kila siku kelele tuu humu ndani na nje za kusalitiwa au kunyanyaswa.
 
mimi uwa sipendagi ujinga, ndio maana nawapenda wanawake wa bar sio wa kwako ni wa mteja wa wakati huo.
 
Igweeeeeeeeee!!!

Natumaini mu wazima wanaJF wenzangu. Ikiwa ni tofauti na hivyo basi Mungu awafanyie wepesi katika changamoto mnazopitia.

Kumezuka tabia ya watu siku hizi kulazimisha mapenzi. Utakuta mtu anatumia nguvu kubwa kulazimisha mahusiano. Jambo ninalotaka kuleieleza hapa ni kuwa sio lazima awe wako.

Wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake ndio usiseme. Kama hakutaki muache aende. Hukuumbiwa yeye wala hana ushahidi wowote kuwa iliandikwa sehemu yakuwa utakuwa wake.

Wapo watu huwatoka mapovu kila uchwao, Jasho linawatiriri kwa sababu ya mahaba. Machozi na makamasi mepesi hudondoka katika pua zao Kama watu waliorukwa na akili. Aliyekuambia ni lazima awe wako ni nani. Mambo mengine sio ya kuyaendekeza.

Mimi nilishashtuka mapema tokea nikiwa Sekondari.
Huwaga nawaambiaga kuwa Ahsante kwa kushiriki. Kama hajaridhishwa na tabia yangu namwambia wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake hivyo kila mtu na apeperuke apendapo.

Nasemaga wazi wazi sijazaliwa kwaajili ya Mtu hapa duniani. Sipo kwaajili ya kumfurahisha yeyote wala kumkwaza yeyote. Ikiwa umependa pigo zangu basi kaa Kama hutaki pita kule. Sio unilitee upuuzi eti wa kunibadilisha tabia.

Kanuni hiyo imenisaidia Sana.

Hivyo ewe mwanaume/ Mwanamke usilazimishe mapenzi kwani sio lazima uwe awe wako.

Akizingua na wewe zingua tuu. Muda wa kuendekeza ujinga wa moyo ulishapitwa na wakati.

Jitu linakusumbua akili na wewe unalitolea macho tuu na kulichekea tuu. Tupa kule.

Kuna mambo mengi ya kufanya, wapo wengi wanaokusubiri ambao wataendana na wewe.
Achana na huyo mjinga ambaye anadhani upo kwaajili yake.



SIO LAZIMA AWE WAKO.

~kwa hisani ya kiumeni
Ukiona MTU anakung'ang'ania ujue kuna kitu amekiona kwako so anadhani akikuacha anaweza asikipate hicho kitu huko atakakokuwa
Na hapo ndipo swala LA kulazimishana linapoingia
 
Ukiona MTU anakung'ang'ania ujue kuna kitu amekiona kwako so anadhani akikuacha anaweza asikipate hicho kitu huko atakakokuwa
Na hapo ndipo swala LA kulazimishana linapoingia
Uliwahi kung'ang'aniwa hasa na mtu ambaye ulikuwa humpendi?
 
Igweeeeeeeeee!!!

Natumaini mu wazima wanaJF wenzangu. Ikiwa ni tofauti na hivyo basi Mungu awafanyie wepesi katika changamoto mnazopitia.

Kumezuka tabia ya watu siku hizi kulazimisha mapenzi. Utakuta mtu anatumia nguvu kubwa kulazimisha mahusiano. Jambo ninalotaka kuleieleza hapa ni kuwa sio lazima awe wako.

Wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake ndio usiseme. Kama hakutaki muache aende. Hukuumbiwa yeye wala hana ushahidi wowote kuwa iliandikwa sehemu yakuwa utakuwa wake.

Wapo watu huwatoka mapovu kila uchwao, Jasho linawatiriri kwa sababu ya mahaba. Machozi na makamasi mepesi hudondoka katika pua zao Kama watu waliorukwa na akili. Aliyekuambia ni lazima awe wako ni nani. Mambo mengine sio ya kuyaendekeza.

Mimi nilishashtuka mapema tokea nikiwa Sekondari.
Huwaga nawaambiaga kuwa Ahsante kwa kushiriki. Kama hajaridhishwa na tabia yangu namwambia wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake hivyo kila mtu na apeperuke apendapo.

Nasemaga wazi wazi sijazaliwa kwaajili ya Mtu hapa duniani. Sipo kwaajili ya kumfurahisha yeyote wala kumkwaza yeyote. Ikiwa umependa pigo zangu basi kaa Kama hutaki pita kule. Sio unilitee upuuzi eti wa kunibadilisha tabia.

Kanuni hiyo imenisaidia Sana.

Hivyo ewe mwanaume/ Mwanamke usilazimishe mapenzi kwani sio lazima uwe awe wako.

Akizingua na wewe zingua tuu. Muda wa kuendekeza ujinga wa moyo ulishapitwa na wakati.

Jitu linakusumbua akili na wewe unalitolea macho tuu na kulichekea tuu. Tupa kule.

Kuna mambo mengi ya kufanya, wapo wengi wanaokusubiri ambao wataendana na wewe.
Achana na huyo mjinga ambaye anadhani upo kwaajili yake.



SIO LAZIMA AWE WAKO.

~kwa hisani ya kiumeni
Naona mkuu moyo umeshakufa ganzi😛
 
Usijali Joanah, hata wewe unaweza kufanya hayo.

Mimi mtu akizingua ninachokifanya na-assume Kama amekufa vile Leo kisha nambwaga then maisha yaendelea.

Hivi mpenzi wako akifa Leo hutaendelea kuishi Mkuu.

Embu acha kuishi kwaajili ya MTU. Au hujaelewa sentensi ya Yesu aliposema kila mtu ataubeba mzigo au msalaba wake mwenyewe.

Njoo nikufundishe hizo mishe ila Kama unapresha ya kupanda sitaki coz naweza kupata kesi ya mauaji
Hahaha .. Rest in peace
 
Igweeeeeeeeee!!!

Natumaini mu wazima wanaJF wenzangu. Ikiwa ni tofauti na hivyo basi Mungu awafanyie wepesi katika changamoto mnazopitia.

Kumezuka tabia ya watu siku hizi kulazimisha mapenzi. Utakuta mtu anatumia nguvu kubwa kulazimisha mahusiano. Jambo ninalotaka kuleieleza hapa ni kuwa sio lazima awe wako.

Wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake ndio usiseme. Kama hakutaki muache aende. Hukuumbiwa yeye wala hana ushahidi wowote kuwa iliandikwa sehemu yakuwa utakuwa wake.

Wapo watu huwatoka mapovu kila uchwao, Jasho linawatiriri kwa sababu ya mahaba. Machozi na makamasi mepesi hudondoka katika pua zao Kama watu waliorukwa na akili. Aliyekuambia ni lazima awe wako ni nani. Mambo mengine sio ya kuyaendekeza.

Mimi nilishashtuka mapema tokea nikiwa Sekondari.
Huwaga nawaambiaga kuwa Ahsante kwa kushiriki. Kama hajaridhishwa na tabia yangu namwambia wanaume wapo wengi halikadhalika wanawake hivyo kila mtu na apeperuke apendapo.

Nasemaga wazi wazi sijazaliwa kwaajili ya Mtu hapa duniani. Sipo kwaajili ya kumfurahisha yeyote wala kumkwaza yeyote. Ikiwa umependa pigo zangu basi kaa Kama hutaki pita kule. Sio unilitee upuuzi eti wa kunibadilisha tabia.

Kanuni hiyo imenisaidia Sana.

Hivyo ewe mwanaume/ Mwanamke usilazimishe mapenzi kwani sio lazima uwe awe wako.

Akizingua na wewe zingua tuu. Muda wa kuendekeza ujinga wa moyo ulishapitwa na wakati.

Jitu linakusumbua akili na wewe unalitolea macho tuu na kulichekea tuu. Tupa kule.

Kuna mambo mengi ya kufanya, wapo wengi wanaokusubiri ambao wataendana na wewe.
Achana na huyo mjinga ambaye anadhani upo kwaajili yake.



SIO LAZIMA AWE WAKO.

~kwa hisani ya kiumeni
Nilichojifunza kwenye maisha ni kwamba kama hujakutana na changamoto kama hizi huwezi kamilika na ni heri mwanamke anayeanza mapenzi akutane na mwanaume mwenye uzoefu na anayeweza kwenda na spidi ya kila mwanamke , hakika mwanamke huyo atakuwa na bahati
 
Nilichojifunza kwenye maisha ni kwamba kama hujakutana na changamoto kama hizi huwezi kamilika na ni heri mwanamke anayeanza mapenzi akutane na mwanaume mwenye uzoefu na anayeweza kwenda na spidi ya kila mwanamke , hakika mwanamke huyo atakuwa na bahati
Upo sahihi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom