Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,033
Siku za hivi karibuni kumekuwepo na mabishano kati ya sinza na Tabata ni wapi panabamba kwa starehe
Kwa hapo awali wengi wanasema ilikuwa sinza lakini kwa sasa tabata imechukuwa nafasi
Nimeleta jukwanii hapa ili kumaliza ubishi ulipo miongoni mwa jamii ya hapa dsm
Karibuni tumalize ubishi.......
Kwa hapo awali wengi wanasema ilikuwa sinza lakini kwa sasa tabata imechukuwa nafasi
Nimeleta jukwanii hapa ili kumaliza ubishi ulipo miongoni mwa jamii ya hapa dsm
Karibuni tumalize ubishi.......