Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Yule jamaaa sialijenga na ukumbi pale?
 
Investment ya pale inaweza fika iyo ela au ikakaribia......
Jamaa kasema Billion 1 simchezo Je Bar inayozungumzia ya mchezo.

suala limekuwa 1B sipesa ya mchezo kwa akili hii hata ukimwambia Jengo la BOT linavuka 1B atakataa kwasababu kwake kaklemu 1B simchezo haangalii nini kinazungumziwa.
 
ni kweli mkuu gharama za ujenzi unaweza kukisia lakini si makisio yote huwa sahihi,81% ya makisio huwa si sahihi,kwanini? uhalisia ni tofauti na mambo ya "inawezekana ikawa sh.kadhaa".

Hamnaga bei elekezi ya ufundi wa kujenga nyumba ya chumba kimoja,kila fundi akija anakuja na bei yake kisha wewe boss unaangalia fundi yupi anaendana na mfuko wako.

Kwenye simu hapo mkuu kuna kupigwa,hivi hujawahi agiza kitu online kikafika pale POSTA wakakutandika kodi hadi ukajuta,halafu mtu mwngine kitu hcho hcho akakiagiza kikafka akapta nacho pale kwa gharama ndogo sana au pengine bure kbsa,kwahyo mtu anaponunua kitu kuna Kupigwa na Bahati na sibu pia mkuu.

Wanaofidiwa nyumba hutoa gharama halisi ya nyumba zao na uthibitisho,ukikosa uthibitisho ndio yale wanakulipa kulingana na wanavyoona wao ila swala la ujenzi si rahisi tu la kuongelea juu juu kwamba ni bei flani au haifiki bei flani.
 
lol
 
Inaonesha unachezaga karata ya kuoa...ukishamaliza mambo yako una move on...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…