macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,830
- 39,673
Bilioni moja Sinza unanunua nyumba kwenye uwanja mkubwa, unaigeuza bar ya nguvu, na chenji inabaki.Mtu apangishe nyumba kama bar atumie bilioni moja kuikarabati! Kwani Sinza nyumba sasa hivi bei gani? Si angemunua tu yake aikarabati.
Je Bar ilikuwa ya mchezoBilioni 1 sio hela ya mchezo ati.
Investment ya pale inaweza fika iyo ela au ikakaribia......Je Bar ilikuwa ya mchezo
Yule jamaaa sialijenga na ukumbi pale?Wewe hujaelewa wanachojadili. Wanajadili bilioni moja in relation to what? Yaani bilioni moja kwa huo ukarabati wa hiyo bar specificaly na siyo bilioni moja kwa mambo mengine uliyoelezea. Upo hapo? BTW hiyo bar ulishawahi kuiona? Una uaozefu wowote na ujenzi?
Jamaa kasema Billion 1 simchezo Je Bar inayozungumzia ya mchezo.Investment ya pale inaweza fika iyo ela au ikakaribia......
ni kweli mkuu gharama za ujenzi unaweza kukisia lakini si makisio yote huwa sahihi,81% ya makisio huwa si sahihi,kwanini? uhalisia ni tofauti na mambo ya "inawezekana ikawa sh.kadhaa".Mkuu lakini si gharama za ujenzi zinaweza kukisiwa kulingana na bei ya material? Hata mfano wa simu uliotoa siyo sahihi kwa sababu bei ya simu inajulikana na haiwezi ku-flactuate sana. Kwa hiyo simu kama inauzwa mil 1 na wewe ukija na kusema umenunua laki tatu ni lazima nitakubishia. Ingekuwa hivyo hata wanaofidiwa nyumba kupisha ujenzi wangekuwa wanajitajia bei wanayotaka na wasingeweza kubishiwa kwani wao ndiyo waliojenga.
Nahisi tumezeeka wote maana na mimi haya maigizo siyawezi
Kama sina natulia tu,sina ninae shindana nae au wa kumu impress,nakimbizana na malengo yangu tu....
Ndio maana nawaogopa wakaka wa mjini huwa hata siwatazami mara mbili mbili
nawajua hao mimi huwa siwageukii
Wanawapata ma slay queen macho juu juu
Unakuta kaka msafi,ananukia,kaweka funguo yake hapo juu au kaning’iniza kapanga simu zake,analamba kinywaji hicho hicho muda unasonga
Slay queen anaweza kunasa kirahisi hapo kumbe mwenzie ni showoff tu ukienda kwenye maisha halisi unachoka
Yah kwenye biashara hela hio madogo tu kina fredy vunjabei wanacheza nayo ila mtu anaesubiria Makato ya HESLB, PAYE, WCF na NSSF lazma aone miujiza.
Mbona umeangua kicheko kikali sanaaa au ndio ww ulikuwa miongoni mwa wanufaika
Tuheshimiane plz, huwa sina interest na mambo hayo.Mbona umeangua kicheko kikali sanaaa au ndio ww ulikuwa miongoni mwa wanufaika
Hata mimi najua ni kweliTuheshimiane plz, huwa sina interest na mambo hayo.
ShikamoooTuheshimiane plz, huwa sina interest na mambo hayo.
Halafu unapomwaga hiyo bil 1 kwa hiyo La Chaaz, ambayo humiliki, lazima ujiulize hiyo investment itarudi lini, kabla hujaanza kuingiza faida?Sijawahi fanya ujenzi na iyo bar naijua nje ndani haiwezi kufika thamani ya bil 1
Inaonesha unachezaga karata ya kuoa...ukishamaliza mambo yako una move on...Katika mambo huwa siyafanyii mchezo ni kinga..mi nindio ila si.tomb bila condom hata siku1...na sichukuag wale wa barabaran au wale ma pro kabisa wa kujiuza...mi madem zangu wa ofisin...vyuon na videm vya mitaan hiv .unakikuta kinauza juice au stationery unabeba..ila kulala na malaya kabisa wale.sjawai