"Sintosahau Maishani"...!!

The Boss kweli hapa unaua
Watoto wa uswazi ni kila kitu aise
hawa watoto wa my daddy sijui hawa wanasubiri watengewe kila kitu ndo waone
Ila sidhani Sizinga katokea kwenye hizo mambo za my daddy

Aggh sijui nsemeje...lakini sio kivile bana!! mambo ya my dady mi siyajui bana!!
 
I guess these are boys stuff that I will never understand. Bear with me, I was born clever nikaruka foolish age. I don't regret it!
Sasa The Boss, in a maana jamaa angepewa day one, afu mkenya akapewa day two (I hope u don't presume mdada angegoma kulazwa kwa mkenya), in a maana sizing angekuwa mjanja kwa kufungua njia:wacko:

Nadhani kilichomuumiza Sizinga ni hatua ya yule lady kuchengwa na mkenya while the prior night she resisted kwa mshkaji...of course Sizinga's premise was..kwa sababu kama ameweza kujizuia kwake.. alishindwaje kujizuia with Mkenya..yes, kama Sizinga angeanza, ile issue ya mkenya ingekufa automatically..coz the lady would be owned by sizinga!!
 
angepewa day one
angekuwa na nguvu ya ku demand alale nae room moja day two
au hata ingetokea hiyo
asing feel 'kuzidiwa ujanja' na wakenya...
asinge rudia class pia lol
na wala isingebaki kichwani till leo

Haya boss wa uswazi. Ukinionea le mutuz umuambie anione kuna mahali nataka kumuagiza kazi za mabeibzzzz wa ukweee
 
Nadhani kilichomuumiza Sizinga ni hatua ya yule lady kuchengwa na mkenya while the prior night she resisted kwa mshkaji...of course Sizinga's premise was..kwa sababu kama ameweza kujizuia kwake.. alishindwaje kujizuia with Mkenya..yes, kama Sizinga angeanza, ile issue ya mkenya ingekufa automatically..coz the lady would be owned by sizinga!!
So u sleep with a lady for a night and then u own her?
Really?
I guess mie ni wa 'my daddy' as you guys put it.
Ngoja nil ale nikue mie
:sleepy::sleepy:
 
angepewa day one
angekuwa na nguvu ya ku demand alale nae room moja day two
au hata ingetokea hiyo
asing feel 'kuzidiwa ujanja' na wakenya...
asinge rudia class pia lol
na wala isingebaki kichwani till leo

This is 2nd point you hit...nilingewin ile day 1, day 2 ingekuwa rahisi kucommand nipatiwe chumba kimoja na yeye....halafu hata that time ilinibidi ni-accept maamuzi yao coz wao wakenya ndio walikuwa wenyeji wetu, sikuweza kupinga eti tuale wote manake hata yule demu angenishangaa!!
 
Kule Zanzibar kuna usemi hutumika sana na nilikuwa naupenda kwani ulinipa fundisho; "WASIWASI NDIO MARADHI YAKO", hakuna jambo baya kama kufikiri tofauti au kujiwekea tafsiri. Kwa kuwa usiku ulilala ukiwa na mawazo kwamba jamaa anakula mzigo na ukatengeneza hiyo picha, ndiyo maana ulipowaona tu asubuhi ilikupa picha uliyotengeneza, lakini kuna uwezekano mkumbwa jamaa hakula mzigo kwa siku hiyo, bali baada ya wewe kutengeneza bifu kulikuwa na uwezekano mkumbwa huyo demu kumpa jamaa.
 
So u sleep with a lady for a night and then u own her?
Really?
I guess mie ni wa 'my daddy' as you guys put it.
Ngoja nil ale nikue mie
:sleepy::sleepy:

Hivi katika akili ya kawaida kama yule demu angekuwa kachapwa nao na Sizinga at the first place ..do you expect the next day angeomba hifadhi kwa other people???..be realistic please!!!
 
Last edited by a moderator:
Kule Zanzibar kuna usemi hutumika sana na nilikuwa naupenda kwani ulinipa fundisho; "WASIWASI NDIO MARADHI YAKO", hakuna jambo baya kama kufikiri tofauti au kujiwekea tafsiri. Kwa kuwa usiku ulilala ukiwa na mawazo kwamba jamaa anakula mzigo na ukatengeneza hiyo picha, ndiyo maana ulipowaona tu asubuhi ilikupa picha uliyotengeneza, lakini kuna uwezekano mkumbwa jamaa hakula mzigo kwa siku hiyo, bali baada ya wewe kutengeneza bifu kulikuwa na uwezekano mkumbwa huyo demu kumpa jamaa.

Hapo ni kujipa matumaini tu....siri ipo kati yao...mie wa 3rd part kujua ni ngumu labda wenyewe waseme ukweli......na mpaka leo ile zana yangu walilala na kusex naipa priority kubwa...hiyo picha ndio ipo hadi naandika hii story!!
WASIWASI NI MARADHI KWELI
 
So u sleep with a lady for a night and then u own her?
Really?

I guess mie ni wa 'my daddy' as you guys put it.
Ngoja nil ale nikue mie
:sleepy::sleepy:

kING'ASTI hapo kwenye red huoni kwamba unachemka??? kweli alale na mimi na siku inayofuata aende kwa mwingine ilhai mie niko palepale?? duh hiyo kai sasa!!
 
Dada alikuwa laini huyo.. Yaani kesho yake tu kajilainisha kwa mwingine! Bora hata hukum 'do', si ajabu ungeondoka na siafu.
 
Sizinga ebu niambie huo usiku mlivyokuwa mmelala huyo binti hakuonyesha hata kutupia miguu juu yako,
Ama wewe hukujaribu kutupia miguu juu yake aisee?
 
Last edited by a moderator:
Dada alikuwa laini huyo.. Yaani kesho yake tu kajilainisha kwa mwingine! Bora hata hukum 'do', si ajabu ungeondoka na siafu.
Si laini ila mkiwa kwenye 18 hamnaga ugumu coz kwanza alishapandishwa mashetani na Sizinga usiku uliopita so nahisi alikuwa kesha iva sana.
 
Last edited by a moderator:
Sizinga ebu niambie huo usiku mlivyokuwa mmelala huyo binti hakuonyesha hata kutupia miguu juu yako,
Ama wewe hukujaribu kutupia miguu juu yake aisee?

Aiseeee!! Sikuwahi kufanya huo utundu...na mie akili yangu yote kwamba that night nisimfanye chochote bt next night hapo lazima kieleweke...si indio ikaja zengwe pale hotelini ile next day....

Anyway unaweza kuniona the way nilivyokuwa that night bro....
 
Aiseeee!! Sikuwahi kufanya huo utundu...na mie akili yangu yote kwamba that night nisimfanye chochote bt next night hapo lazima kieleweke...si indio ikaja zengwe pale hotelini ile next day....

Anyway unaweza kuniona the way nilivyokuwa that night bro....
Kweli biashara asubuhi jioni mahesabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom