Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
- Thread starter
- #21
Mkuu Sizinga sometimes hizi mambo zinatokea bana..
Mie kinachoniuma ni pale unapofanya 'uungwana' kwa kufikiri demu atauona huo 'uungwana' wako ili akupe credit..
Kinyume chake unakuja kusikia kuwa kamegwa kwenye mazingira ambayo wewe uliyaona kuwa hayakuwa 'fair'..
Binafsi i got the same story like this and when i met the lady next day..she was laughing at me!..nilijiona mdhaifu sana aisee..
Hii ndio ilikuwa akilini mwangu kwamba "Uungwana wangu" atauona na atanionea huruma....kumbe sio kabisa...manake hata yule dem baadae alikuja kusema kwamba jamaa alikuwa decent sana na hatukutegemea hata kama nitaweza kusema neno olote kwake...LOL..
Mi nadhani angenicheka ingekuwa nishamtoa utumbo nje..kucontrol hasira ni ngumu sana yaani!!:baby: