Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
KUMBE NA WEWE dhaifu!!1 SnowBallMkuu Sizinga sometimes hizi mambo zinatokea bana..
Mie kinachoniuma ni pale unapofanya 'uungwana' kwa kufikiri demu atauona huo 'uungwana' wako ili akupe credit..
Kinyume chake unakuja kusikia kuwa kamegwa kwenye mazingira ambayo wewe uliyaona kuwa hayakuwa 'fair'..
Binafsi i got the same story like this and when i met the lady next day..she was laughing at me!..nilijiona mdhaifu sana aisee..
Last edited by a moderator: