Sintofahamu ya umeme kutoka Uganda; Mkoa wa Kagera gizani

NISUALAMUDATU

Member
Aug 10, 2019
37
23
Wanabodi,

Sehemu yote ya mkoa wa Kagera inayotegemea umeme kutoka Uganda imekuwa gizani kwa siku ya tatu sasa.

Ukifuka mpakani mwa Uganda na Tanzania ( Mutukula ) upande wa Uganda kuna umeme wakati upande wa Tanzania ni giza.

Inasemekana kuna tofauti imejitokeza kati ya nchi hizi mbili hali iliyopelekea wenzetu kutupiga giza.

Inasemekana shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi zimekwama kama vile usambazaji wa maji, uzalishaji viwandani, nk. Yajayo yanafurahisha.
 
iko hivi..

MAJI yanayozalishia huo Umeme yanatokea huko Congo

So...huo umeme umepigwa quarantine kuingia Kagera;kwa hofu ya virus vya Ebola,maana unaambukiza kwa njia tofauti
 
iko hivi..

MAJI yanayozalishia huo Umeme yanatokea huko Congo

So...huo umeme umepigwa quarantine kuingia Kagera;kwa hofu ya virus vya Ebola,maana unaambukiza kwa njia tofauti
Are you a comedian
 
Asante moderators kwa mpangilio mzuri
Wanabodi,

Sehemu yote ya mkoa wa Kagera inayotegemea umeme kutoka Uganda imekuwa gizani kwa siku ya tatu sasa.

Ukifuka mpakani mwa Uganda na Tanzania ( Mutukula ) upande wa Uganda kuna umeme wakati upande wa Tanzania ni giza.

Inasemekana kuna tofauti imejitokeza kati ya nchi hizi mbili hali iliyopelekea wenzetu kutupiga giza.

Inasemekana shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi zimekwama kama vile usambazaji wa maji, uzalishaji viwandani, nk. Yajayo yanafurahisha.
 
Wanabodi,

Sehemu yote ya mkoa wa Kagera inayotegemea umeme kutoka Uganda imekuwa gizani kwa siku ya tatu sasa.

Ukifuka mpakani mwa Uganda na Tanzania ( Mutukula ) upande wa Uganda kuna umeme wakati upande wa Tanzania ni giza.

Inasemekana kuna tofauti imejitokeza kati ya nchi hizi mbili hali iliyopelekea wenzetu kutupiga giza.

Inasemekana shughuli nyingi za kijamii na kiuchumi zimekwama kama vile usambazaji wa maji, uzalishaji viwandani, nk. Yajayo yanafurahisha.
Hiyo changamoto itasaidia upatikane umeme wa uhakika hela zipo tatizo ni vipaumbele
 
Back
Top Bottom