Single mums and dads come this way


sio fisi maji mbwa mwitu,nguruwe pori,dudu lisilouma
wanakera sana hao wakataa watoto
tena asa hv waweza kuta wazazi wastaarabu ila hao watoto majanga
 
Ndio maana Kongosho ame suggest tuwe objective...
Ukute na mkeo ni kati ya hao wanaolia kuwa ni victims...
Ukweli hauwezi patikana kwa kusikia story za upande mmoja...
Kila mtu anaona mwenzie ndio mkosaji...

Sasa mwenye access na mtoto anatafuta support ya mtoto against mzazi mwenzie...

Ndio maana tukipima maelezo ya mtu tunajaribu kumsaidia aone na mapungufu yake pia...
Kitu ambacho watu wake wa karibu wanaweza wakawa wanaogopa kumwambia japo wanakiona...
Labda ndiye anayetegemewa kwenye ukoo ...hivyo anaambiwa anachotaka kusikia...
 
yaani roho inaniuma sana.mimi umri mdogonilio nao nalea watoto wawili wa marehemu dada yangu(mungu ampunzishe kwa amani) baada ya kuzalishwa na wanaume tofauti.isitoshe baba zao wapo mitaani wanazurura tu yaani roho inaniuma sana.hao watoto niwajue kwa lote kuhusu malazi,maradhi,chakula,matibabu na shule. yaani mi nafikiria nitajipanga lini.kwani nafikiria nikio huyo mwanamke ataweza kukaa na hawa watoto na wanawake wenyewe wa siku hizi.lakini ok mungu atanilipia tu.
 

pole kwa maumivu lakini kama umeamua kumweleza mtoto ukweli kuhusiana na babake basi tafuta maneno kulingana na umri. Kama ni mdogo si umwambie baba yupo lakini ana kazi nyingi.... akikua kua mwambie baba yako hakupendi lakini msamehe, wanaume wengi ni watu wazuri isipokuwa baba alighafilika tu. Pamoja na machungu yetu sisi ni wazazi (naongea kama single mama kwa hiyo msiseme sijapitia hayo mliyopitia). Kama mzazi una wajibu wa kumfundisha mtoto wako values kama kupenda na kusamehe. Unavyomwambia mtoto baba yako hakutaki katika umri mdogo unamfanya aoanishe jinsi ya kiume na kumkataa. hapo unatengeneza mwanamke atakayechukia wanaume au atakayekuja kupenda wanaume waharibifu kama baba yake, au atakayekuja kutenda wanaume kama njia ya kumuadhibu baba yake (sijui kwa nini nime-assume mtoto wako ni wa kike). We hata kama unamchukia huyo mwanaume jikaze uanze kumwambia mtoto wako amsamehe babake na ampende baba yake hata kama baba hampendi. Kwa mtoto mdogo hili linatekelezeka kwa urahisi sana. Hata ukifa leo umuache mtoto ukiwa umepanda mbegu nzuri moyoni mwake.

Mimi mtoto wangu anamfahamu babake ila kuna kipindi alikuwa ananiandama sana kwa nini hatukai pamoja. Nikawa nampa majibu yanayoibua maswali mapya kila siku. Siku moja nikamuuliza baba mmoja hivi nimjibu nini mtoto anielewe? Maana ni kama amenizidi akili. Kila ninachomwambia anakihoji. Yule baba akanijibu, hilo tu? njoo hapa tuombe. baadhi ya maneno ni kuwa roho mtakatifu anipe cha kuongea na kumfunulia mtoto kuelewa. Nikafika nyumbani nikiwa nimejaa confidence lakini nataka kuongea confo likashuka. Nikaanza kucheza nae kisha nikaanza kujieleza maneno meeeeengi. mtoto alinijibu maneno machache sana. "...Mungu ndo alipenda unizae hivyo ... I know god loves me....and i love you and dad." Macho yakanitoka, hata sikuamini kama naongea na mtoto wa miaka mitano. Kesho yake akaniropokea. "...mama umshukuru baba maana bila yeye usingenizaa...". huko moyoni nikasema hili litoto limetumwaa nini. nikamjibu sawa. Kuanzia siku hiyo sijaskia tena maswali kuhusu hiyo mada, na akisali anatuombea wazazi wote wawili na familia ya baba yake. By the way mimi na babake tuliachana, baada ya muachano ndo nagundua nimeondoka na kiinua mgongo-mimba baada ya miaka 5 ya uchumba sugu.
 

ha ha ha lol we mshari kweli tangia jana unapayuka tu! NB:nawakilisha nilichoandika!Accept other peoples choices and stop judging them period!TAKE IT OR LEAVE IT!
 
Ukiwa objective humu unaweza kupigwa hata mawe.

aisee kuna haja ya mimi kurudi chuo. Kumbe mtu anakuwa objective anapotoa mtazamo wa tofauti na wenzie, na mwingine anakuwa subjective mtazamo wake unapofanana na wa yule anayezungumziwa! objectivity=non-conformity. Ingekuwa hoja hapa ni jua linachomoza magharibi na kuchwea mashariki labda ningewaelewa wanaojiita objective, lakini kuongelea hali ambayo haifanani hata kwa watu wenye nayo ukweli ni kuwa unakuwa objective kwenye subjectivity yako tu na si vinginevyo. na ndo unakuta mtu anadai single mom anajinyanyapaa na anamfananisha na gay anayepaza sauti yake apewe uhuru wake na straights wanaojiona wana haki zaidi. Anadai gay anajinyanyapaa wakati akijikubali anatungiwa sheria ili anyongwe au afungwe. Objectivity in deed!!
 

kaka hukunielewa vizuri,nimesema ktk kufatilia nilijikuta nina baba wawili,moja niliye ambiwa na ndugu zangu na mwangine niliye ambiwa na mama yangu wote niliwasiliana nao kwa simu na sio ana kwa ana na wote walikubali.hapo ndipo nilipo pata tatizo tena pia sijaomba msaada kutoka kwa yoyote hata siku moja nilichosema ni kuwa siku nikiwa na pesa nisafiri nikawacheki labda nitagundua ni yupi kati yao.
 
Una-enjoy eeh? Basi kama vipi hao watoto wangu uwalee vizuri, ila nikija tena najua utanipa halafu utakuja humu kulialia au ukishajaa kwa mara nyingine au sio?

objectivity ishaingiliwa haki ya nani
 

Usimfundishe mwanao kumuita Baba yake fisi Maji, no matter how frustrated you are kwa aliyokutendea. Mfundishe kumpenda kila mtu, kuheshimu hata huyo Baba kwa kuwa hatapungukiwa na kitu.
 

mkaka fula hv rafki yangu alikua baba ake hamjui
yule mama akaanza kuumwa akamwita mwanawe akamwambia niahidi hutamtafuta baba ako ht nikifa
yule mama amekufa mkaka hana jinsi yupo tu
 
inakuondolea kuwa objective.

sympathy ya nini? Empathy ya nini? Sijamlazimisha mtu kuwa na self pity, sio tatizo langu.

Haimaanishi kwasababu its anyonymous basi you can behave like a rackless bitch,there is someone behind the screen that you are delivering your msg to.
Una lack communication skills mkuu lazima ujue jinsi ya kudeliver message kwa mtu kama kweli unataka kusikilizwa,hata kama unamcritisize kuna jinsi ya kumwambia mtu na asijisikie vibaya!Na lazima ujue huo ujumbe unaopeleka una uzito gani na utamuathiri vipi mtu na ndio maana tukapewa emotions,sympathy and empathy.
 

Pole sana Shekau.Mungu ni mwema sana atakufanyia wepesi na uombe na kufunga ili upate mke atakaelea hao watoto vizuri na kwa upendo ili wasijione wakiwa,maana wanawake sisi ni wabaya afadhali ya chui.Mungu akutie nguvu usikate tamaa maisha yako yatanyooka kwa namna ya pekee.
 

aaaa... Kumbe!! huyo aliyekwambia mama yako ndiye. Basi hilo liache, hayo mengine zingatia. Huna UPUNGUFU kama unavyoonyesha kwenye hadithi yako.
 
Mmmhhh...isije kuwa amezaa na baba yake...
Si unajua kuna wababa wanabaka au kulaghai mabinti zao...
Otherwise why????

mkaka fula hv rafki yangu alikua baba ake
yule mama akaanza kuumwa akamwita mwanawe akamwambia niahidi hutamtafuta baba ako ht nikifa
yule mama amekufa mkaka hana jinsi yupo tu
 
Nimependa sana ulivyofafanua chukua like!
 
We are not in a battle field nor are we arguing. I respect your line of thinking & believe that you are entitled to your opinions.
Cool. I do respect yours too, I understand there is a lot you are not disclosing but I still feel there is something you are doing wrong. Besides I have nothing to gain or lose for whatever decision you take. Just think about it.
 
ha ha ha lol we mshari kweli tangia jana unapayuka tu! NB:nawakilisha nilichoandika!Accept other peoples choices and stop judging them period!TAKE IT OR LEAVE IT!
Exactly!!! Nilijua usingeelewa. Anyway its alright.
 
Sijamzi maneno mabaya ila namweleza ukweli wa kilichotokea. Na wala sijali hata akimuuliza baba ake kwan ndicho alichokifanya. Simsingizii ila namweleza ukweli binti yake wa kile baba yake alikifanya.
Unahitaji darasa zito la saikolojia ya watoto. Huyo mtoto unamuharibu wala humsaidii kama unavyodhani.
 
Inashangaza kwa kweli, nitaelewa kwa mtu aliyebakwa na kupata ujauzito lakini umeiachia kwa hiari?

Sielewi kabisa hizi 'solidarity foreva' zinakujaje. Na tangu enzi na enzi wapo tu watu wanaolelewa na mzazi mmoja.
Kuna wengine ni kweli inabidi wahurumiwe sana ila kuna baadhi unakuta chupi wanavua wenyewe, na wanajua kabisa wanaweza kupata mimba, huyo mwanaume mwenyewe hawajaongea lolote kuhusu uwezekano wa mimba na nini kinafuata, wanapigwa mimba wanatoswa halafu wanalialia wahurumiwe. Mbaya zaidi hawataki kukubali kuwa hata wao wana makosa. Mimi nimewauliza kwenye moja ya comment zangu, unamwamini mwanaume umezaliwa naye?!! Kingine kumbukeni hata kama wanaume pia wana makosa lakini anayebeba mimba ni mwanamke. Sasa endeleeni kuhurumiana na hizi "I am proud" kinda of statements.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…