Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia
Na sielewi kwanini watu wanamhukumu Miss Kim its not fair kwa kweli.Hatujui kwann deep down amechukua maamuzi alochukua.And who are we to judge her anyway?She is the mother and she knows whats best for her child."SOME MISTAKES IN LIFE WE MAKE,LEARN FROM THEM AND RUN FROM THEM" You dont want to stick with a mistake for the rest of your life!!!Tukumbuke mzazi ni "ROLLEMODELL" kwa mtoto ni mtu ambae mtoto anamuiga nyendo zake na kuwa mfano kwake.Sasa kama mzazi mwenzio drug addict/ abuser ,alcohol addict,child malestor n.k kuna umuhimu amjue mtoto wako?Kama mzazi atakuwa mfano gani kwa mtoto?Come on people some things are better to stay untouched!
Mtu mmoja akifanya kazi ya wawili is out of normal!Mkiwa wawili mambo hayaendi msondo na wote mnafanya kazi na mnasaidiana na je ukiwa peke yako? This is very easy to understand hata mtoto mdogo anaelewa. Huwezi kuelewa uzito wa kuwa single parent kama hujalelewa na single parent au si single parent.Na kokote utakapoenda wanajua kuwa single parent ni kazi ngumu.Take my word!
mkuu hatuishi kwa kukariri na huwa binadamu tunatumia vichwa vyetu kufikiri sio kufugia nywele tuu kama wewe unavyofanya
nimeandika hiyo post kwakuwa nimeguswa na koment ya dada yangu aliyekanwa na mume (sitakagi kuliongelea hilo )
binadamu walinielewa (eli 79. zamda .Nandera. and e.t.c) lakini
mbuzi ndio wanaotaka nirudierudie hapa
kwanza nikuonye put my mama out of this she is a genius of her own kind ni msomi ni mrembo na ni mrembo kwelikweli sikui alitoka wapi na yule taira (wanasemaga ndege mjanja ananasa tundu bovu) na amenilelea vizuri kuliko hata ulivyolelewa wewe trust me
mama yangu hajawai kuniambia lolote kuhusu huyu kiazi boya mbuzi kende pi.mbi big fat a.s.s becoz I ddnt show any interest naye wala sijawai kumuulizia na wala sitaki kuuliza mimi ni mtu mzima hata kama walikuwa na ugomvi wao hasira yake ndio anihamishie mimi???????
Tunapiga stori nyingi sana za utotoni nilivyokuwa mtundu n.k hata nilivyoanza kutongoza videmu alikuwa ananishauri vizuri tu bila aibu nakumbuka alikuwa ananiambia
"lets talk like friends nasio kama mtu na mama yake "
elimu aliyonipa ni zaidi ya chuo kikuu
nilichogundua ni kuwa wewe ulimtelekeza mtoto hivyo unaogopa asije akawa na akili kama zangu
hapo kwenye blue
ngoja nikutajie wachache
bill Clinton. 50 cent .mariah carey . B.I.G .p diddy.Armstrong. Tom cruz.jammie fox .jay z .Enrique. jet lee .madonna.Eddie Murphy. Obama. Ronaldhinho.Tupac.kanye west.e.t.c
kuna kitu sijaelewa unataka kusema mimi nimejazwa.......
Mie niko neutral katika hili. I don't support but neither do I condemn. Nina swali moja tu. Vipi kuhusu haki ya msingi ya mtoto, kumjua baba yake...kwa nini ananyimwa haki hiyo?
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂...mi nasema facts tu sio habari za kuaminishwa!Bold: Attitude, victim wa globalization. Kila kitu kinaanza na wewe ulivyoaminishwa.
Kwingine, kila maisha yana changamoto, hata walio ndoani wapo wanaobeba twice the load mmoja anakuwa kama sampo tu.
Aisee namtetea kilaza hapa,wala hajasema mamaake amemjaza chuki dhidi ya babaake na mama yake wala haongei vibaya,na keshasema alimpa baba nafasi nyingine lakini hakuitumia kufuta makosa yake,
Kama mzazi with sincerity anataka kumjua mtoto wake kuna kanuni za kisheria zinazomsupport kwanini asizitumie hizo?kama anajua huyu mwanamke alikuwa na ujauzito wake na mtoto ni wake kwann asidai haki yake?Mama ndo anajua the whole dirty truth behind the whole story kwahio yeye pekee ndo anajua kwann anamzuia mtoto asizoeane na babaake!Mie niko neutral katika hili. I don't support but neither do I condemn. Nina swali moja tu. Vipi kuhusu haki ya msingi ya mtoto, kumjua baba yake...kwa nini ananyimwa haki hiyo?
embu niambie alimaanisha nini nadhani kunakitu sijamuelewa vizuri kwaiyo kabla sijaanza kumkimbiza naomba ufafanuzi kwanza
Asante Nyumba Kubwa, watu wachache sana wataweza elewa kwann nilifikia maamuzi haya but it was for the best & i don't need to explain to anyone my reasons for doing so. Naelewa fika kwamba ipo siku kijana wangu atataka kujua ukweli kuhusu babake & i pray that when that time comes i will have the courage to explain to him & hopefully atanielewa.
Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia
wengine hapa ukute washakataa sana watoto so maneno km ya kilaza yanawachoma
Kwangu Mimi ilikuwa bahati mbaya na nilipomtaarifu mhusika alikana. Baadaye alikubali lakini kila nilipotaka kujua jinsi tutakavyojipanga kumlea mwanetu mtarajiwa akawa anakwepa. It really broke my heart since sikuwa nafahamu chochote kuhusu yeye na hata home walikuja kujua nikiwa nimetimiza miez 6. Aisee I went through a lot mpaka najifungua. Hakuwa mtu wa kupiga simu kujua tunaendeleaje na hela ya matumizi mpaka atakapojisikia yeye. Mtoto alikuja kumuona akiwa na mwaka na miezi 6 tena baada ya kusogea karibu....changamoto ni nyingi lakini kubwa kwangu ni pale napoulizwa " mama baba yuko wapi? " au anapochukua simu na kujifanya kama vile anaongea na baba yake akiomba aletewe soseji, pipi, matunda n.k. Huwa naumia sana natamani he was there for her. Sijui kama niko sahihi but nimepanga kwenda nyumbani kwao (baba) at least mtoto awatambue ndugu zake pia kufight 4 the last time mwanangu apate mapenzi ya baba na mama, na kama itashindikana will move on with my life
mkuu hatuishi kwa kukariri na huwa binadamu tunatumia vichwa vyetu kufikiri sio kufugia nywele tuu kama wewe unavyofanya
nimeandika hiyo post kwakuwa nimeguswa na koment ya dada yangu aliyekanwa na mume (sitakagi kuliongelea hilo )
binadamu walinielewa (eli 79. zamda .Nandera. and e.t.c) lakini
mbuzi ndio wanaotaka nirudierudie hapa
kwanza nikuonye put my mama out of this she is a genius of her own kind ni msomi ni mrembo na ni mrembo kwelikweli sikui alitoka wapi na yule taira (wanasemaga ndege mjanja ananasa tundu bovu) na amenilelea vizuri kuliko hata ulivyolelewa wewe trust me
mama yangu hajawai kuniambia lolote kuhusu huyu kiazi boya mbuzi kende pi.mbi big fat a.s.s becoz I ddnt show any interest naye wala sijawai kumuulizia na wala sitaki kuuliza mimi ni mtu mzima hata kama walikuwa na ugomvi wao hasira yake ndio anihamishie mimi???????
Tunapiga stori nyingi sana za utotoni nilivyokuwa mtundu n.k hata nilivyoanza kutongoza videmu alikuwa ananishauri vizuri tu bila aibu nakumbuka alikuwa ananiambia
"lets talk like friends nasio kama mtu na mama yake "
elimu aliyonipa ni zaidi ya chuo kikuu
nilichogundua ni kuwa wewe ulimtelekeza mtoto hivyo unaogopa asije akawa na akili kama zangu
hapo kwenye blue
ngoja nikutajie wachache
bill Clinton. 50 cent .mariah carey . B.I.G .p diddy.Armstrong. Tom cruz.jammie fox .jay z .Enrique. jet lee .madonna.Eddie Murphy. Obama. Ronaldhinho.Tupac.kanye west.e.t.c
Achana nae bwana Kilaza,nisikikilize mimi,funika kombe...,..
Pole sana mumie,Mungu akupe nguvu za kulea wanao wawe watu wenye hekima na busara!Watu wengine hawaelewi kabisa ni uzito mkubwa kiasi gani alokuwa nao single parent.Wanachukulia rahisirahisi sana na inakera!Mimi ni mjane,nimekuwa single mother,yaani ni kazi kwa kweli wakati mwingine nalia natamani baba yao angekuwepo ila ndo hivyo,kulea watoto peke yako ni pasua kichwa.sitaki mwanaume tena maishani mwangu naogopa atachukua nafasi ya wanangu.Mungu anisaidie kwa kweli naamini wanangu watakua na kuwa history maker katika hiii dunia
wengine hapa ukute washakataa sana watoto so maneno km ya kilaza yanawachoma
mi pia nimekuelewa sana
hao ndo baadhi ya me wako very selfish
nilikua na rafki yangu alikataliwa na baba ake
mama akamuonyesha mzazi wake ila baba anamkataa
siku moja tuko form three alikua anaenda shule yule binti wakakutana na baba ake ktuoni mzee kasalimiwa haitiki akamuuliza hivi "kwa nini unanikataa"?
akamjibu"sio mwanangu na mtafute baba ako"
alilia yule mdada na hakuja shule alirudi pale pale akaja kesho yake akatuambia yaliyomkuta
na mwenyewe anasema wanafanana kweli na yule mzee ila kamkataa
je jitu km hilo likiitwa mbwa ,pimbi,shenzi kuna ubaya?