JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Pale konda anaposimamaga aisee.Basi la Kampuni ya Falcon lililokuwa safarini kutoka Tarime kwenda Jijini Dar es Salaam limepata ajali usiku wa kuamkia leo Jumamosi Aprili 02, 2022 maeneo ya Shelui Iramba Mkoani Singida baada ya kugonga Lori kwa nyuma. Idadi ya majeruhi bado haijafahamika.
Taarifa zaidi zinafuata...
View attachment 2172691
Chanzo: Dar Mpya
Hao ndo wa kufungiwa leseni.Huyo dereva alikuwa haoni !
Possibly kicheche alafu hakikua na alama wala reflector. Tusihukumu sana kabla ya taarifa kamiliHao ndo wa kufungiwa leseni.
Ajui mambo ya kukeep distance.
Usikimbize gari kama huoni mbele mita 100Possibly kicheche alafu hakikua na alama wala reflector. Tusihukumu sana kabla ya taarifa kamili
Wana staili yao ya kuwasha na kuzima taa usk baada ya umbali fulan ss unajiuliza anaona vp mbeleUsikimbize gari kama huoni mbele mita 100
Upande wa dreva haujaguswaPale konda anaposimamaga aisee.
Pole zao