Sindano haina ubingwa

BoManganese

JF-Expert Member
Jun 10, 2017
979
2,671
Mimi bora vidonge kumi kwa siku ila sindano hapana
IMG_15732976594243005.jpeg
 
Mi huwa nafanya trick moja nakuwa rafiki na mchomaji muda anaiandaa nakuwa namtwanga maswali kuhusu fani yake au kitu kinachohusu hiyo hospitali n.k😂😂 hapo huwa nakuwa kidogo nimeusukuma uoga!! Chezea sindano wewe🏃🏃
 
Mimi i dont care sindano leta vidonge leta. "Klistapen" au "Klorokwini" leta tena namungunya. Sema baada ya hapo radha ya msosi hukata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom