Sina roho mbaya ila huu si wakati muafaka wa pensheni za Wenza wa Marais

Wimbo

JF-Expert Member
Oct 23, 2012
783
525
Sote tunajua nchi inamadeni mengi, miradi mingi tunayojipamba nayo kwamba tumetekeleza ni madeni ya kuja kulipa baadae na kiasi kidogo cha misaada, mikopo bado inatukimbiza kwa mbali dhidi ya mapato.

Hivi ni wakati muafaka kweli wabunge kujadili sheria ya pensheni ya wenza wa Marais na mawaziri wakuu na spika, kwadhiki gani waliyonayo, baada ya kutufikilia wazee tuliotumikia Taifa tena kwa uzalendo hatukufisadi hatukuibia.

Nchi mtuongeze hata kidogo mnafikilia wenza wa Malais ambao wanalipwa vizuri wanatunzwa na serikali wamepewa nyumba za kuongezwa magari yanayohudumiwa na serikali na bado tuwaongezee pensheni. jamani, hivi wanaotusaidia wanatuonaje? Lakini niulize Wabunge tuonaje sisi wananchi?
 
Kikokoteo cha pension ya uzee mpaka leo hakijawahi wekwa sawa,malipo ya wastaafu kucheleweshwa wengine mpaka wanakufa na kuziacha, hata hizo kodi kwenye pension ni ya kutoa maana mfanyakazi huyu alikatwa kodi kipindi anatumika iweje kwenye uzee umkate kodi pension yake, mafao mengi katika mifuko ya jamii ya kurekebishwa itunufaishe,

wachane na hoja hizo ambazo hazina public interest.
 
Sote tunajua Nchi inamadeni mengi, miradi mingi tunayojipamba nayo kwamba tumetekeleza ni madeni ya kuja kulipa baadae na kiasi kidogo cha misaada, mikopo bado inatukimbiza kwa mbali dhidi ya mapato, hivi ni wakati mwafaka kweli wabunge kujadili sheria ya pensheni ya wenza wa Marais na mawaziri wakuu na spika, kwadhiki gani waliyonayo, baada ya kutufikilia wazee tuliotumikia Taifa tena kwa uzarendo hatukufisadi hatukuibia Nchi mtuongeze hata kidogo mnafikilia wenza wa Malais ambao wanalipwa vizuri wanatunzwa na serikali wamepewa nyumba za kuongezwa magari yanayohudumiwa na serikali na bado tuwaongezee pensheni. jamani, hivi wanaotusaidia wanatuonaje? Lakini niulize Wabunge tuonaje sisi wananchi?
Acha wivu na roho mbaya
 
Sio roho mbaya nchi ni ya watanzania wote Kuna mambo mengine bunge linapitasha vitu hivyo hainiingii akilini kwamba wake zao wapewe pensheni Kwa kazi Gani hasa waliofanya kuwapikia waume zao au hizo fedha c waelekezee kwenye miradi ambayo watanzania wote tutanufaika nayo
 
Kinachotumaliza Tanzania ni kuwa tumepata bahati mbaya ya kupata viongozi wenye roho za kishetani........

Yaani kuwakatia tu viuno waume zao ambao ni viongozi ndio wanataka kulipwa kweli........

Nchi ina mambo ya kipuuzi sana hii....!!!
Nchi inalaana, nilikuwa siamini kama nchi inalogeka kumbe inawezekana.
 
Yote haya ni kuzidi kuoneyesha namna CCM walivyojaa;
ubinafsi
Umimi
roho mbaya
ufisadi
Kwanini wasiangalie maisha ya wastaafu kwa kuboresha kikokotoo?
 
Sote tunajua nchi inamadeni mengi, miradi mingi tunayojipamba nayo kwamba tumetekeleza ni madeni ya kuja kulipa baadae na kiasi kidogo cha misaada, mikopo bado inatukimbiza kwa mbali dhidi ya mapato.

Hivi ni wakati muafaka kweli wabunge kujadili sheria ya pensheni ya wenza wa Marais na mawaziri wakuu na spika, kwadhiki gani waliyonayo, baada ya kutufikilia wazee tuliotumikia Taifa tena kwa uzalendo hatukufisadi hatukuibia.

Nchi mtuongeze hata kidogo mnafikilia wenza wa Malais ambao wanalipwa vizuri wanatunzwa na serikali wamepewa nyumba za kuongezwa magari yanayohudumiwa na serikali na bado tuwaongezee pensheni. jamani, hivi wanaotusaidia wanatuonaje? Lakini niulize Wabunge tuonaje sisi wananchi?
Hili hapana tena hapanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!.
 
Back
Top Bottom