IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,463
- 7,384
Rafiki wa kweli ni Yesu tu peke yake, ila kama unahitaji washkaji tu basi usikonde kwenye mabar wapo wengi tu, ila tu usiwe mvivu wa kuzungusha round.
aiseeeeeeeeeee!
Rafiki wa kweli ni Yesu tu peke yake, ila kama unahitaji washkaji tu basi usikonde kwenye mabar wapo wengi tu, ila tu usiwe mvivu wa kuzungusha round.
Angel hapo umenifurahisha sana. Ukiwa rafiki hata umlambe, cku akikugeuka hutoamini ni yeyeRAFiKI MKIA WA FISI. .
Infiriority complex.... wanahisi hawastahili kuwa na m2 aliyefanikiwa ktk jambo fulani hii huja naturally thats y ukiangalia vizuri marafiki mara zote huwa katika hali mfananoKuhusu kufel kwako 4m4 na urafiki, kuna uwezekano mkubwa wewe ndiyo ukawa na matatizo. Watu mliofeli form 4 au six, alafu best ako akafaulu vizur ndivyo mlivyo, huwa mnataka mtafutwe nyie 2, jambo ambalo ni gumu. Mi mwenyewe nimepoteza marafik weng wa aina yako, nilijitahdi kuwaweka karibu lakn wapi, nimeamua kusonga mbele.
Hapa JF tupo wengi tu tutakaokufaa katika shida na raha, huwezi kupata marafiki wanaojali kama wa hapa japo hatufahamiani.sihitaji mpenzi nahitaji rafiki wa kawaida
Kuhusu kufel kwako 4m4 na urafiki, kuna uwezekano mkubwa wewe ndiyo ukawa na matatizo. Watu mliofeli form 4 au six, alafu best ako akafaulu vizur ndivyo mlivyo, huwa mnataka mtafutwe nyie 2, jambo ambalo ni gumu. Mi mwenyewe nimepoteza marafik weng wa aina yako, nilijitahdi kuwaweka karibu lakn wapi, nimeamua kusonga mbele.
Rafiki wa kweli ni Yesu tu peke yake, ila kama unahitaji washkaji tu basi usikonde kwenye mabar wapo wengi tu, ila tu usiwe mvivu wa kuzungusha round.
Hapa JF tupo wengi tu tutakaokufaa katika shida na raha, huwezi kupata marafiki wanaojali kama wa hapa japo hatufahamiani.