Do U have a tormenting childhood experience? Have u ever witnessed any love affair that ended too miserable to remember? Did your parents have a good marriage relationship? Have u ever been abused?
Nijibu hayo kwanza..
kama akili yako iko fresh then nitakuwa na wasiwasi na unachomaanisha ukizungumzia neno kupenda! kupenda is just taking care of someone, mdogo wako mwenye umri wa miaka 5 katoweka mtaani haonekani huwezi hata kuhangaisha akili kutaka kujua yuko wapi kimempata nini na kwa nini, mama yako mama yako kapatwa na tatizo huwezi kufikiria kumsaidia au rafiki yako wa karibu?? if you can do that then ulishapenda sana 2 bila kujua
Tafuta wa ukweli halafu mwenyewe utaona.Kama unarukia vibaya vibaya huo ugonjwa utaendelea kuwa nao maisha.Fanya hivyo wa ukweli mwenye mvuto uone mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.