H HAKUNAGA JF-Expert Member Jan 3, 2012 301 72 Feb 17, 2012 #1 wana MMU naomba mnijuze sijui nnaweza kuwa na tatizo gani kwani nna umri wa miaka 40 na katika umri wote huu sijawahi kupenda
wana MMU naomba mnijuze sijui nnaweza kuwa na tatizo gani kwani nna umri wa miaka 40 na katika umri wote huu sijawahi kupenda
Mtalingolo JF-Expert Member Aug 4, 2011 2,181 409 Feb 17, 2012 #5 wamichosho said: wana MMU naomba mnijuze sijui nnaweza kuwa na tatizo gani kwani nna umri wa miaka 40 na katika umri wote huu sijawahi kupenda Click to expand... Mmh basi we ni michosho kweli(jokes) Kama mwenyewe umejihisi hauko sawa na wenzio ni vema kama ungepata pysichologist ili uweze kupata huduma, tatizo lakisaikolojia tu hilo.
wamichosho said: wana MMU naomba mnijuze sijui nnaweza kuwa na tatizo gani kwani nna umri wa miaka 40 na katika umri wote huu sijawahi kupenda Click to expand... Mmh basi we ni michosho kweli(jokes) Kama mwenyewe umejihisi hauko sawa na wenzio ni vema kama ungepata pysichologist ili uweze kupata huduma, tatizo lakisaikolojia tu hilo.
Kaunga JF-Expert Member Nov 28, 2010 12,530 13,467 Feb 17, 2012 #6 wamichosho said: mimi ni ME Click to expand... Sijaelewa vizuri tatizo lako, hujisikii kumpenda mtu, au huna hamu ya kufanya mapenzi na mtu? Tuanzie hapo kwanza!
wamichosho said: mimi ni ME Click to expand... Sijaelewa vizuri tatizo lako, hujisikii kumpenda mtu, au huna hamu ya kufanya mapenzi na mtu? Tuanzie hapo kwanza!
K kisukari JF-Expert Member Jul 16, 2010 4,604 4,110 Feb 17, 2012 #7 duu.naona mimi na wewe tuta mechi.nakutania,usichukulie serious
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,162 Feb 17, 2012 #10 hujapata wa kukunyenyevua moyoni
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,207 Feb 17, 2012 #11 Bora hata .. umeepuka maumivu mengi ..
Billie JF-Expert Member Aug 13, 2011 12,721 19,863 Feb 18, 2012 #16 wamichosho said: sijisikii kumpenda mtu Click to expand... Kama haukuoza ubongo basi una roho mbaya.
N Nsendo Member Oct 5, 2011 9 0 Feb 18, 2012 #18 Kuna historia yoyote ya kutisha uliyowahi kuiona au kusikia ikakuumiza moyo?yupo aliyeumbwa kwa ajili yako punguza mawazo wamichosho said: mimi ni ME Click to expand...
Kuna historia yoyote ya kutisha uliyowahi kuiona au kusikia ikakuumiza moyo?yupo aliyeumbwa kwa ajili yako punguza mawazo wamichosho said: mimi ni ME Click to expand...
Vene Member Oct 16, 2011 93 42 Feb 18, 2012 #19 afrodenzi said: Bora hata .. umeepuka maumivu mengi .. Click to expand... Duh! Kweli lakini, sisi wengine maumivu tu.
afrodenzi said: Bora hata .. umeepuka maumivu mengi .. Click to expand... Duh! Kweli lakini, sisi wengine maumivu tu.