Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Hawa viumbe bhana, acheni tu. Ukiwakuta wamezungusha kiduara cha umbea majumbani, kwenye mikutano, ama saluni, kinachozungumziwa humo ni mapenzi pekee. Hawana kingine cha maana cha ku-share
Kila mmoja utamsikia akijisifu kuwa yeye ni bingwa wa kuumiza, kuchuna, kunyenyekewa, kupewa pesa nyingi n.k Inafikia hatua unamtazama anayejisifia mbele ya wenzie unajikuta kucheka tu, maake hafananii, ila utasikia "Ananililia kila siku turudiane". Na pindi wanapomuona mwanaume yuko karibu yao, hujikuta wakijilimbwasa zaidi, kila mmoja wao apate kuonekana huku wakikutagi kajicho ubavu. Shenzli sana
Hii haijalishi umri, hivi vigoli (teenagers), wakina mama hata wazee wa makamo. Kinachonisikitisha sana, unaweza kuta vibinti vya 17 yrs vimekaa kitako na kina mama wa 30 to 40 yrs wakiwemo Single Mother huku wanapiga stories za wanaume. Ndo maana huwa nasema akili za wanawake wote ni zile zile
Hawana cha ziada zaidi ya mapenzi, na ndio maana wengi wao hujazana humu MMU. Huku mitaani si ajabu kukuta mama na mwanae wanagombania mwanaume.
Shenzli sana
Kila mmoja utamsikia akijisifu kuwa yeye ni bingwa wa kuumiza, kuchuna, kunyenyekewa, kupewa pesa nyingi n.k Inafikia hatua unamtazama anayejisifia mbele ya wenzie unajikuta kucheka tu, maake hafananii, ila utasikia "Ananililia kila siku turudiane". Na pindi wanapomuona mwanaume yuko karibu yao, hujikuta wakijilimbwasa zaidi, kila mmoja wao apate kuonekana huku wakikutagi kajicho ubavu. Shenzli sana
Hii haijalishi umri, hivi vigoli (teenagers), wakina mama hata wazee wa makamo. Kinachonisikitisha sana, unaweza kuta vibinti vya 17 yrs vimekaa kitako na kina mama wa 30 to 40 yrs wakiwemo Single Mother huku wanapiga stories za wanaume. Ndo maana huwa nasema akili za wanawake wote ni zile zile
Hawana cha ziada zaidi ya mapenzi, na ndio maana wengi wao hujazana humu MMU. Huku mitaani si ajabu kukuta mama na mwanae wanagombania mwanaume.
Shenzli sana