Kungwi? Au zilongwa mbali na zitendwa mbali. Naogopa isije kujaasex inakuwa control na mind yako mkuu... wewe umendekeza uhuni alafu unategemea nini? muhimu anza kumwona mkeo mpya kila akipita jaribu kuvuta hisia cheza nae jokes as much as u can... ukipita shika kalio loh mahaba rudisha ndani mkiss mkiwa pamoja .... mlishe akulishe loh mbona mapenzi yanrudi tu mkuu... sema pia mkeo hajajua kama hisia hauna angejifunza namna ya kukuteka mbona utadata .. nisiseme mengi..... ukilala usiku wekamkono kwenye papuchi yake utpata hamu tu
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?
sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .
Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?
Hizi ndoa hizi? Hata hausikitiki kukosa hamu nae, upo kimaslahi zaidi. Inakuuma because you spend on your wife?
What the hell is this world coming to?
You are the problem, jirekebishe. Ulishazoea uzinzi utamtesa tu mtoto wa watu.
Hata mie ilishanitokea . Nilipata shida sana kujua tatizo ni nini maana kila nikitaka sex nae gahfa jogoo anaanguka kama zigo. Baadae iliisha yenyewe. Hadi nilimfikiri tofauti sana mke.
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?
sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .
Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?
yaani huyu mtu ni kama simtaki kabisa
Anarudi home anakula na kulala afu mkewe anamuangalia tu. Hajiulizi kwanini mkewe kakaa kimya.... Ukiuliza wanini wengine hujiuliza watampata lingi. Ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno.
Yesu bora urudi tu sasa imetosha sana