Sina hamu ya kusex na mke wangu

Sina hamu ya kusex na mke wangu

Hata mie ilishanitokea . Nilipata shida sana kujua tatizo ni nini maana kila nikitaka sex nae gahfa jogoo anaanguka kama zigo. Baadae iliisha yenyewe. Hadi nilimfikiri tofauti sana mke.
 
Mkuu mjali tumbo, hakika hauwezi kuwa na hamu na mke wako kwani unapoingia nyumbani tayari unakuwa umeshapiga mabao nje, na pia akili umeshaiaminisha kutokuwa na hamu na mkeo. Hili ni lazima litatokea.

Nini cha kufanya.
Achana na hao malaya na mahawara wa nje, ukishashikwa na minyege elekea kwa mkeo uone kama hamu bado haitakuwepo.

Pia kumbuka ni kitu gani kilikuvutia awali kwake mpaka hamu ya ku-do ikawepo na kuamua kumfanya kuwa permanent wako? Basi mwambie aendelee kumaintain hicho kitu.

Kuweni wawazi kwenye mambo yenu ya mapenzi, pata muda wa kutoka naye out, mnunulie nguo zinazompendeza na zinazoamsha mzuka wako.

Ngoja nikwambie kitu kimoja. kuna siku nilienda na mke wangu Arusha, basi kufika dukani nikaona sketi moja, nikaipenda, nikamnunulia, kufika ndani Hotelini tulipofikia akaivaa, Ooooh!!! Kwa jinsi alivyopendezea, nilimrukia nikamvua hiyo sketi tukawa katika ulimwengu tofauti. Kwa ujumla mimi ndo huwa namnunulia nguo nyingi kama makufuli ya ndani, sketi, suruali nk. kwani nataka aonekane jinsi mimi ninavyopenda.
 
sex inakuwa control na mind yako mkuu... wewe umendekeza uhuni alafu unategemea nini? muhimu anza kumwona mkeo mpya kila akipita jaribu kuvuta hisia cheza nae jokes as much as u can... ukipita shika kalio loh mahaba rudisha ndani mkiss mkiwa pamoja .... mlishe akulishe loh mbona mapenzi yanrudi tu mkuu... sema pia mkeo hajajua kama hisia hauna angejifunza namna ya kukuteka mbona utadata .. nisiseme mengi..... ukilala usiku wekamkono kwenye papuchi yake utpata hamu tu
Kungwi? Au zilongwa mbali na zitendwa mbali. Naogopa isije kujaa
 
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?

sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .

Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?

endelea tu kumtumikia shetani malipo yake yanakungojea, mana huwa hana asante
 
Hizi ndoa hizi? Hata hausikitiki kukosa hamu nae, upo kimaslahi zaidi. Inakuuma because you spend on your wife?

What the hell is this world coming to?

You are the problem, jirekebishe. Ulishazoea uzinzi utamtesa tu mtoto wa watu.

Anarudi home anakula na kulala afu mkewe anamuangalia tu. Hajiulizi kwanini mkewe kakaa kimya.... Ukiuliza wanini wengine hujiuliza watampata lingi. Ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno.
 
Hata mie ilishanitokea . Nilipata shida sana kujua tatizo ni nini maana kila nikitaka sex nae gahfa jogoo anaanguka kama zigo. Baadae iliisha yenyewe. Hadi nilimfikiri tofauti sana mke.

please mfamaji ni PM contact yako tuongee.
 
baba yangu mpaka leo anamuita mama girlfriend wake.ndoa inajenga mazoea mabaya,mchukulie kama g/friend wako na sio mtu ambaye yupo na unaweza papuchi muda wowote tu.spark up your relationship,try something new dont let ur life be a routine
 
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?

sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .

Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?



Halafu mkeo akianza kuchepuka utamlaumu kweli wewe? Kama hadai ujue na yeye anapewa mzigo nje kama kawa! Mwisho hata sijui kwa nini mlioana..
 
Na mkeo ana hawaram vinginevyo angeshashtaki kwa wazee wa ukoo. Miezi sita chakula ya usiku haieleweki? Unatania
 
hauko matured enough kuwe mume wa mtu
 
Anarudi home anakula na kulala afu mkewe anamuangalia tu. Hajiulizi kwanini mkewe kakaa kimya.... Ukiuliza wanini wengine hujiuliza watampata lingi. Ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno.

Wala ujakosea twin.kuna wanaume wanatka kuitwa kichwa cha familia lakini awastahili na mmoja wao ni huyu..
 
Miezi sita?
Enhenhrnhenhenhe
Watu mna mooooooyo!
Umeridhiiiiiiika mwenyewe kuwa hasara pekee unayopata ni hela unazohonga!
 
Watu wanamlaumuuuu utadhani wenyewe si wa michepuka! Sio kwa sbb kajieleza ndio mumpige madongo msaidieni
 
Labda niseme tu, hauko peke yako ktk hilo! Ila la muhimu ni kujielewa na kuamua kuidhibiti hiyo hali! Cha kufanya kwanza ni kuamua kuachana na hao watu manake wanakupotezea muda pesa na hamu na mbaya zaidi tatizo lako litazidi kukua badala ya kupungua! Then mshepu mkeo awe unavotaka, mwambie avae unavotaka ukiweza mnunulie nguo, mafuta pafyumu na vitu vya aina hiyo!
Lastly ongea nae umueleze shida yako n nn hasa, halafu usisahau kubadilisha uwanja wa mechi inasaidia sana kisaikolojia, manake huwezi enda lipia hoteli ya laki halafu uchezi mechi ya kitoto! So ukibadilisha uwanja mambo yawaza kuwa safi zaidi
 
Back
Top Bottom