Sina hamu ya kusex na mke wangu

Sina hamu ya kusex na mke wangu

kk tafuta mda wa kutosha wa kuwa nae, na kongea .Pia jitahid muwe na outing za kutosha coz znaongeza hisia kati ya wapendanao. Zaid ya hapo hebu jitahid kumweka ktk mazingira ambayo we mwenyew utamtaman zaid ya wale wa nje. Kama vp ni busara kumweleza juu ya hisia zako kwake ili yy afaham na ajipange ni vp atafanya ili kuvuta hisia zako zilizopotea. VINGINEVYO KK ANGALIA ACJE AKAKUONA MROMBO, TARATIBU MJIN HAPA................Hamna braza, HILO NATANIA 2.!!!!!!!!!!!!!!
 
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?

sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .

Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?

Nipe Namba Za Simu Za Mkeo Nikufundishie Na Ndoa Iwe Mpya,usichepuke Tena.
 
Huwa inatokea hivyo lakini jitahidi angalau kutoka na mkeo muende mbali na mlipopazoea yawezekana ni kutokana na kuzoea mazingira.
 
Mzoea vya kunyonga wewe vya kuchinja huviwezi,hata ukimuacha huyo atakayefata naye utamchukia baada ya muda mfupi!!!
Kwako hamu inaletwa na kutongoza,kununua na kuzengea,vya halali havikuvutii

umebonga
 
Hili tatizo lipo kwa wanandoa wengi sema sio wakweli. Shida huwa ni kuchokana, kuzoeana kupita kiasi, wengine ni tofauti ya kipato. Mkeo akiwa na kipato zaidi yako hiyo nayo ni kisanga. Kwahiyo sidhani kama kuna common solution kwa hili suala. Ishu ni kutafuta amani kati yenu, upendo utachipuka, halaf passion itaanza
 
badili mazingira
siku mtoe out muende hotel na sehemu ya mbali pia waweza kubadili mazingira ya chumba mkao wa kitanda na nk
jaribu kumwambia ajiweke sop sop kabla hujarudi job avae kisichana
inaweza kusaidia

Ni kweli kabisa, yaani waswahili wakishaoana ma outing ya wakati walipokuwa marafiki ndio yanaisha....inabaki chumba kilekile..... kitanda kilekile......., muelekeo uleule........, staili zilezile........, saa ileile...... kugumia kulekule...... pichu na bukta zilezile,.....mikoromo ileile....na Mkimaliza mlalo uleule!!!!! Ukizingatia ya kuwa ukizingatia ya kuwa mmeshakula kiapo kitakatifu cha kutumia mtwangio na kinu kilekile maisha yenu yote...no innovations kabisa????.Lazima mtachokana tu..... Fuata maelekezo chanya ya wanajamvi hasa ya miss neddy. vinginevyo utaendelea na michepuko ili kuzifuata hizo innovations!!!! Haitakusaidia zaidi ya kuleta magonjwa ndani na majuto baadae!!!
 
Last edited by a moderator:
Wewe hela unayo yaan ninachojua mwanaume akiwa na pesa ndo anaanza kuona warembo ila kama hana kitu na ka dushe kananyweaaaaaaa kama caroti ilomaliza mwezi. Dogo wewe fweza unazo endelea kuwafurahisha vimwana.
 
Huyo ni mkeo mkuu, mpende, mjali na kumthamini, Ndoa ni zaidi ya sex, fanya hayo kwanza, hamu na mkeo itakuja tu.
"Usimfanyie mwenzio kitu usichopenda yeye akufanyie "
 
Si muache badala ya kumtesa. Atapata wa kumuenzi.

Au mwenzetu ni katika wale wanaofunga pingu za maisha? lakini hata hivyo, uzinzi ni sababu tosha ya kumuacha na wewe umekiri kuwa ni mzinzi? Mwache mwanamke wa watu usije kumletea magonjwa ya zinaa kwa uzinzi wako.
 
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?

sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .

Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?

Nipe mie mkeo endelea na mahawara

wewe ulioa kwasababu ya tamaa ya NGONO na sio sababu ya kujenga maisha pamoja, na hii ndio sababu ya ndoa nyingi kuvunjika........sina msaada ila jitambue.

sex inakuwa control na mind yako mkuu... wewe umendekeza uhuni alafu unategemea nini? muhimu anza kumwona mkeo mpya kila akipita jaribu kuvuta hisia cheza nae jokes as much as u can... ukipita shika kalio loh mahaba rudisha ndani mkiss mkiwa pamoja .... mlishe akulishe loh mbona mapenzi yanrudi tu mkuu... sema pia mkeo hajajua kama hisia hauna angejifunza namna ya kukuteka mbona utadata .. nisiseme mengi..... ukilala usiku wekamkono kwenye papuchi yake utpata hamu tu

Huyo mkeo ulilazimishwa kumuoa au uliamua mwenyewe?

Kama uliamua mwenyewe inakuwaje baada ya miezi sita penzi liyeyuke? Ukijibu itakuwa rahisi kukupa ushauri!

Itakuwa huyu yupo hivi
 

Attachments

  • 1432681841801.jpg
    1432681841801.jpg
    52.8 KB · Views: 150
hapo kuna mawili, kama na mkeo kwake hakuna shida kwa ww kutokuwa na hamu nae,basi hujue mkeo ndo amefungishwa ndoa ya kipepo hivyo hayataki uchafu wako bali majini. na kama mkeo anakuhtj sana ila ww ndo hauckii hamu nae,basi ww ndo umefungishwa ndoa ya kipepo, na utakuwa na pepo la ngono. je,kipi hapo kipo kati yenu ili niwasaidie?????????
 
Nitaitumia hii trick
Mkuu mjali tumbo, hakika hauwezi kuwa na hamu na mke wako kwani unapoingia nyumbani tayari unakuwa umeshapiga mabao nje, na pia akili umeshaiaminisha kutokuwa na hamu na mkeo. Hili ni lazima litatokea.

Nini cha kufanya.
Achana na hao malaya na mahawara wa nje, ukishashikwa na minyege elekea kwa mkeo uone kama hamu bado haitakuwepo.

Pia kumbuka ni kitu gani kilikuvutia awali kwake mpaka hamu ya ku-do ikawepo na kuamua kumfanya kuwa permanent wako? Basi mwambie aendelee kumaintain hicho kitu.

Kuweni wawazi kwenye mambo yenu ya mapenzi, pata muda wa kutoka naye out, mnunulie nguo zinazompendeza na zinazoamsha mzuka wako.

Ngoja nikwambie kitu kimoja. kuna siku nilienda na mke wangu Arusha, basi kufika dukani nikaona sketi moja, nikaipenda, nikamnunulia, kufika ndani Hotelini tulipofikia akaivaa, Ooooh!!! Kwa jinsi alivyopendezea, nilimrukia nikamvua hiyo sketi tukawa katika ulimwengu tofauti. Kwa ujumla mimi ndo huwa namnunulia nguo nyingi kama makufuli ya ndani, sketi, suruali nk. kwani nataka aonekane jinsi mimi ninavyopenda.
 
Mkuu mjali tumbo, hakika hauwezi kuwa na hamu na mke wako kwani unapoingia nyumbani tayari unakuwa umeshapiga mabao nje, na pia akili umeshaiaminisha kutokuwa na hamu na mkeo. Hili ni lazima litatokea.

Nini cha kufanya.
Achana na hao malaya na mahawara wa nje, ukishashikwa na minyege elekea kwa mkeo uone kama hamu bado haitakuwepo.

Pia kumbuka ni kitu gani kilikuvutia awali kwake mpaka hamu ya ku-do ikawepo na kuamua kumfanya kuwa permanent wako? Basi mwambie aendelee kumaintain hicho kitu.

Kuweni wawazi kwenye mambo yenu ya mapenzi, pata muda wa kutoka naye out, mnunulie nguo zinazompendeza na zinazoamsha mzuka wako.

Ngoja nikwambie kitu kimoja. kuna siku nilienda na mke wangu Arusha, basi kufika dukani nikaona sketi moja, nikaipenda, nikamnunulia, kufika ndani Hotelini tulipofikia akaivaa, Ooooh!!! Kwa jinsi alivyopendezea, nilimrukia nikamvua hiyo sketi tukawa katika ulimwengu tofauti. Kwa ujumla mimi ndo huwa namnunulia nguo nyingi kama makufuli ya ndani, sketi, suruali nk. kwani nataka aonekane jinsi mimi ninavyopenda.

Point taken
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom