Sina hamu ya kusex na mke wangu

Sina hamu ya kusex na mke wangu

Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje?

sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa .

Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?

Nenda kamhonge mkeo kama hao vicheche utaona mzuka unavyopanda kwa mkeo!
 
Mimi nimeota umelala kwenye coffin, umekondeana, umekufa kwa ukimwi halafu watu wanasema hayo ameyataka mwenyewe. Hakika ukiendelea hivyo ndoto hii itakuwa kweli.
 
Jamani mjue hil nitatizo kwani huwa linawatokea watu wengi
wengine wanao ogopa kiapo cha ndoa na wale wasio kuwa na pesa ya kuhonga hujikuta wanaangukia kwenye kujichua
NINI CHANZO CHA KUPOTEZA HAMU KWA MKEO pia hil tatizo ni kwa wa kna Baba au
 
Anarudi home anakula na kulala afu mkewe anamuangalia tu. Hajiulizi kwanini mkewe kakaa kimya.... Ukiuliza wanini wengine hujiuliza watampata lingi. Ganda la mua la jana, chungu kaona kivuno.

Ningeweka register kabisa na map ya kuandika street ipi iko covered. *****!!
 
Pole sana mdau. Daah asee inasikitisha sana. Hivi huyo mke ulimtafuta mwenyewe ama ulitafutiwa?
 
yaani huyu mtu ni kama simtaki kabisa

We ----- Ni uzinzi tu unaokusumbua.... Mahawara Na c hawara???!!! Ni tabia uliyokuwanayo tangu hujaoa Na ukaoa tu kwakuwa umr umefka bla kuikana nafsi uzinzi ulokuwa NATO bfore.mm mwenyewe Nina mchepuko aka paracetamol Na c michepuko na bado nampenda na ku
Heshm my first lady take care bro...nakushauri mtafute rafiki yako Wa karibu akuchapie mamsap akili yakimpenda utarudi tu ----- ww.
 
badili mazingira
siku mtoe out muende hotel na sehemu ya mbali pia waweza kubadili mazingira ya chumba mkao wa kitanda na nk
jaribu kumwambia ajiweke sop sop kabla hujarudi job avae kisichana
inaweza kusaidia


Namshauri asafiri kama mwezi.au wiki 3 bila kumuona mkeo ukirudi tu utakuwa na ham nae chakwanza ukirudi shika ---- lake lazima dude liinuke ndani ya boxa tu
 
Nyie wenye style hizo ni wale ambao walitakiwa wafanye business ya mapenzi si kuoa ! Toa talaka kajiunge buguruni kuna type tofauti
 
Haya ni matatizo ya kisaikolojia zaidi, unatakiwa muwe mnaangalia naye picha za X ili kupandisha level of confidence katika mapenzi, au mara nyingine uwe unamchungulia anapokwenda bafuni....utaanza kurudisha ule upendo wa mwanzo.
 
Nmejkuta natumia pesa nyingi kuhonga wanawake mtaani ili kufanya nao mapenzi lakini mke wangu sina hamu nae kabisa, na hujikuta nikifika nyumbani ni kula na kulala, yaani hanivutii tu. sasa kinachonitesa hujikuta nahonga karibu kila baada ya siku mbili ili kupewa penzi nje angali tena mke naye ana matumizi ya ndani kitu kinachoelekea uchumi wangu kuwa wa mashaka. Ndoa niliyofunga hairuhusu talaka. Najiuliza nifanyeje? sijawahi mfumania, ana kipato ingawa sio kikubwa tatizo imetokea tu sina hamu naye miezi kama sita baada ya kumuowa hamu ikawa haipo ikanibidi nianze kuwa na mahawara ambao nao ni garama sana hata vibinti navyo ni garama , sasa nikipata hawara naenda nae gemu fresh na nina kuwa na mzuka nashangaa . Jamani nifanyeje naishi na mtu ambaye sina hamu ya kusex naye?
Pepo toka toka toka toka tokaaaaaaaaaa....Sakariobabababababa......
 
They do say the brain is the largest sex organ. sifahamu lakini nafikiri you two had a fight or miss understanding na hilo tatizo linakupa anxiety mpaka leo

It seems very possible to me that you're not completely finished with the effects that the fighting had on you. It can take a while to rebuild trust, especially if you also have difficulty with anxiety in general. I don't know about the situation there, but would it be an option to talk to a counselor or someone in the church au msikitini about the problem? As a couple or as an individual? If not, at least try to be honest with your wife about what's going on; she might easily start to feel responsible even if she isn't. And just showing her that you care about her feelings too might help ...
she's your wife for God sake!
 
Back
Top Bottom