Garmii
Senior Member
- Feb 26, 2011
- 164
- 19
Wana JF mm nimeoa 2005 na sijabahatika kuwa na mtoto na huyu mke wangu,tatizo la mke wangu ni moja tu huwa anawivu sn kupita maelezo.imefika hatua naona nikero kwn sina aman na ndoa hii,nimejitahid sn kwenda anavyotaka bado haridhiki,mkewangu pia huwa anatabia ya kushika cm yangu na hii style kwangu cjaona kma ni tatzo ila ucku wa kuamkia leo ameniamsha ucngzn nakunambia nijibu sms niliyotumiwa na mwnmke wangu wakti mm cna taarfa yyte km kuna sms.sms yenyewe iliandikwa hivi!BADO NAUMWA DARLING.ukwel nilishtuka sn kwn sikuwa na dem nje ya ndoa,nilichofanya nilipiga cm mda huohuo nakupokea mwanamke huku cm yangu ikiwa loud.yule mwnmke aliomba samhni kwn alikosea number za mwisho.sasa mkewangu hataki kuelewa anataka kwenda kwao.naomben mawazo yenu pls!