Ndugu uliyeanzisha hii topic.
Zipo kero nyingi katika ndoa lakini hiyo kero ya kuonewa wivu na mkeo is almost negligible.
Mshukuru Mungu kwa kumpa mkeo wivu kwani anayekupenda ni lazma atakuonea wivu.
Note: Kuishi na Mwanamke inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.
yan dena nampenda sn my wife hata yeye ndio maana nashindwa kupata maamuzi
imenikumbusha frnd wangu alikwaruzana na mr wake akapaki vitu vya ndani vyote akanda kwao akidhani mr atamfuta kumwomba arudi, aliikaa kwao miezi 3 akipiga cm mr hapokei, akituma sms hazijibiwi, mwishowe alijirudia tena na vitu vyake kavipaki kwenye kenta...haaa mpaka kesho anabanana na mr kwa nguvu zote, kwao ni kwenda na kurudi....hahaha maisha ya ndoa yana vituko vya kutosheleza....
yan dena nampenda sn my wife hata yeye ndio maana nashindwa kupata maamuzi
yan dena nampenda sn my wife hata yeye ndio maana nashindwa kupata maamuzi
Kama unampenda sana mkeo kwa nini umeweka heading kwamba huna hamu na ndoa tena, huwezi kukosa hamu if u still in love
Mi nimesema Tangu mwanzo.
Mwataka amuache mke wake.
Mwajua anachompa??
Kaka fuata ushauri wa Rose na MM.... nani sijui,
Nimekuandikia kule.
Mbembeleze huyo mywife wako, upendo,
Na umueleweshe aelewe somo vizuri bwana.
Kama unampenda sana mkeo kwa nini umeweka heading kwamba huna hamu na ndoa tena, huwezi kukosa hamu if u still in love
Wana JF mm nimeoa 2005 na sijabahatika kuwa na mtoto na huyu mke wangu,tatizo la mke wangu ni moja tu huwa anawivu sn kupita maelezo.imefika hatua naona nikero kwn sina aman na ndoa hii,nimejitahid sn kwenda anavyotaka bado haridhiki,mkewangu pia huwa anatabia ya kushika cm yangu na hii style kwangu cjaona kma ni tatzo ila ucku wa kuamkia leo ameniamsha ucngzn nakunambia nijibu sms niliyotumiwa na mwnmke wangu wakti mm cna taarfa yyte km kuna sms.sms yenyewe iliandikwa hivi!BADO NAUMWA DARLING.ukwel nilishtuka sn kwn sikuwa na dem nje ya ndoa,nilichofanya nilipiga cm mda huohuo nakupokea mwanamke huku cm yangu ikiwa loud.yule mwnmke aliomba samhni kwn alikosea number za mwisho.sasa mkewangu hataki kuelewa anataka kwenda kwao.naomben mawazo yenu pls!