Asante kwa ushaur wako mzur bro.Ulimuharibu kitabia na kifikra wewe mwenyewe tangu mwanzo cc tuliooa huwa hatuishi maisha ya lamuja demiva au isidingo badilika tangu sasa itawale ndoa yako kuwa na sauti ya kiume. Usimwache aende pekeyake kwao mpeleke mkabidhi mpaka utakapo amua wewe kuwa arudi asijiamulie yeye. NB hakikisha huduma zote unampa katika kipindi chote cha mapumziko yake
ehh apana
usimpe nauli...jaribu kumwelelwesha 7 mara 70 atakuelewa tu....tumetofautiana uaelewa na utambuzi so its yr duty to pull her aelewe na akutambue vyema ili apunguze mawivu yake....
mwulize ufanyaje alizike na km msg ndo imemfanya nywele zimsimame basi mwambie amtafute uyo mtu amwulize vyema km ahaamin ulivyompigia
duu io ndo ndoa bwna...miaka 12 mvi teeeeeeeeeeeleee ..akhuuuu mie ngoja kwanza nile maisha i STRESSCONTRACT aka marriage wil come over leta.....:juggle::juggle:
pole kaka:focus:
Ndugu uliyeanzisha hii topic.
Zipo kero nyingi katika ndoa lakini hiyo kero ya kuonewa wivu na mkeo is almost negligible.
Mshukuru Mungu kwa kumpa mkeo wivu kwani anayekupenda ni lazma atakuonea wivu.
Note: Kuishi na Mwanamke inahitaji uvumilivu wa hali ya juu sana.[/QUOTE]
:crutch:KUISH NA MWANAUME KUNAITAJ NGUVU NA UVUMILIVU WA ZIADA..
una maoni mazuri sana ukiishaingia kwenye relationship au ndoa ni vizuri ukubali kubeba mizigo yote ya mwenzako!
Mwanaume mwoga."kWANZA HAPA SIYO SEHEMU YA KUOMBA USHAURI".
Sababu utakutani na ambao awajaolewa na kuoa,ushauri wao hautakusaidia kitu.
Kaa firikili,Kwanza Je we hupo fiti isije kuwa wewe ndo mwenye tatizo.
ehh apana
usimpe nauli...jaribu kumwelelwesha 7 mara 70 atakuelewa tu....tumetofautiana uaelewa na utambuzi so its yr duty to pull her aelewe na akutambue vyema ili apunguze mawivu yake....
mwulize ufanyaje alizike na km msg ndo imemfanya nywele zimsimame basi mwambie amtafute uyo mtu amwulize vyema km ahaamin ulivyompigia
duu io ndo ndoa bwna...miaka 12 mvi teeeeeeeeeeeleee ..akhuuuu mie ngoja kwanza nile maisha i STRESSCONTRACT aka marriage wil come over leta.....:juggle::juggle:
pole kaka:focus:
kuna wakati akili yako ikitulia,
huwa inaongea vitu vya busara sana!,
hongera binti!!!!
Mwanamke asiye mwelewa kama huyo, sijui umwelekeze vipi akuelewe kuhusu hiyo sms. Tulia usimsemeshe akianza kufungasha mwangalie akiondoka mwage kwa upole tu. Utulivu wako utampa fundisho.
naona unantaka!!!!!1
unantaka ya sandukuni ..lione vile...ndo mana unatumia fake...wenzako tudrink the orijinooo..
unefika salama mshkaj wangu?
nilitaka kukuchek nyt nkaona mhh uyu mda u na kbarid cha kishumundu lazima atakua ametaitiwa na manka....salama kaka?
Unajua DaMie,
huwa mnakuwa na lugha nzuri na tamu sana,
mkiwa nje ya ndoa, lakini mkishaingia huko lol...
utajuta kumfahamu,
sidhani kama wengi wanaweza kuwa na mawazo kama yako DaMie!!!!!!!!!!!