Sina hamu na mume wangu

hahaha paroko waleta utani eeeeh subiri mi wangu atakaponisaliti lazima dunia itashangaa maamuzi magumu nitakayochukua

Nimeshakuambia na ninakuambia kuwa hakuna utakachokifanya dunia ikashangaa

Hakuna kwasababu ambavyo ukivifanya dunia itashangaa huwezi kuvifanya

Kama unabisha hebu niambie kimoja tu ambacho ukikifanya dunia itashangaa!
 
Pole sana, omba,na kufunguka kawa ajili ya Mumeo
 
 
Nimeshakuambia na ninakuambia kuwa hakuna utakachokifanya dunia ikashangaa

Hakuna kwasababu ambavyo ukivifanya dunia itashangaa huwezi kuvifanya

Kama unabisha hebu niambie kimoja tu ambacho ukikifanya dunia itashangaa!

paroko ujue hayo maamuzi yanakuwaga ya ghafla mnooo na inakuwa sio akili ya kawaida
siwezi kukwambia kwa sababu sijajua akili yangu itaamua nini
 
paroko ujue hayo maamuzi yanakuwaga ya ghafla mnooo na inakuwa sio akili ya kawaida
siwezi kukwambia kwa sababu sijajua akili yangu itaamua nini

Sasa kama hata utakachokifanya hujakijua umejuaje kuwa dunia itashangaa?
 

Asante sana kwa ushauri wako but mm simchukii tena mume wangu natimiza wajibu wangu wote kama mke ndani ya nyumba nacheka nae ,stori za hapa na pele kama kawaida but ikishafika wakati wa kulala naomba mungu asigusie kabisa swala la mechi maana nitam disappointed
 

This is the right answer ingawa si la ki maadili! Very true!
 
Shemeji hivi unadhani mwanaume rijali akisoma haya malalamiko, halafu jumlisha na hicho kipicha cha avatar ataijiwa na mawazo gani?

Jamani mbona mnaishambulia sana Avatar yangu? Mbona ni ya kawaida sana
 
ila huyo jamaa kajichafua yeye na huyo sekeretari wake, dada wa watu (mke) yupo fresh kabisa, hivyo jamaa ameji-cheat mwenyewe
ninaposema ndani ya nyumba namaanisha kwenye ndoa, sio nyumbani
 

Avatar yake,maneno aliyotumia k kufa ganzi,amemwinamisha,nk ni story tu,na huenda ni kahaba mzoefu.
 
Wanaume wanafanya makosa mengi sana katika ndoa tena yasiyovumilika. Ila Mungu katupa wanawake moyo wa kusamehe. Ingawa wakati mwingine inakuwa ngumu kusahau. Muombe mungu akusahaulishe yote yaliyopita.
 
KUCHAPIWA NI SIRI YA NDANI! Utaacha wangapi ndugu yangu.

kabla sijaolewa mahusiano yalikuwa yananishinda kwasababu ya hayo mambo rafiki zangu wakawa wananiambia hutakaa uolewa maana wanaume wote wako hivyo utaacha wangapi? nikasema kama hvyo ndivyo basi kweli ndoa ntaisikia tu hatimaye nikampata mtulivu nikaolewa, sasa na yeye akinichanganya sioni tatizo kutoka kwa kweli na nazani itakuwa ndo mwanzo na mwisho wa mimi kuwa na mtu anaeitwa mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…