Habari,
Naomba niliweke wazi hili jambo ili baadhi ya watu wasinifikirie vibaya. Mimi silipwi kuwa humu JF na wala hakuna kitu ninachokipata zaidi ya Habari na Burudani kutoka kwa Wadau tofauti.
Naomba sana isije siku ukanichukia, maana nitakushangaza kwa ku-comment vizuri na kulike post zako.
NAWAPENDA SANA, NA WALA MIMI SINA TABIA YA DHARAU KWA MTU YOYOTE.
PEACE.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Tokyo Japan 🇯🇵
Naomba niliweke wazi hili jambo ili baadhi ya watu wasinifikirie vibaya. Mimi silipwi kuwa humu JF na wala hakuna kitu ninachokipata zaidi ya Habari na Burudani kutoka kwa Wadau tofauti.
Naomba sana isije siku ukanichukia, maana nitakushangaza kwa ku-comment vizuri na kulike post zako.
NAWAPENDA SANA, NA WALA MIMI SINA TABIA YA DHARAU KWA MTU YOYOTE.
PEACE.
Mjanja M1 kwasasa napatikana Tokyo Japan 🇯🇵