Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
B, ni ugonjwa huo..unasababishwa na minyoo (Wucheraria bancrofti) ambayo inajificha kwenye mishipa midogo ya damu (lymphatic vessels) na kusababisha kuvujisha maji..Yakivuja kwenye miguu ndo inasababisha kwenye matende..Pia kuna matende ya matiti au kwenye korodani (busha)!!!
Fidel...hebu acha utani...pamoja na kwamba ni ugonjwa na inabidi niwonee huruma wagonjwa...ila umenichekesha sana!!
Nasikikia huko kwetu Tanga kuna mtu alikuwa analibeba kwenye troli...Ila ikifikia hapo...kale ka-mashine kanafutika kabisa...Kanakuwa kama ka mtoto mchanga!!!
so ile huduma inakuwa ya kusua sua...ningekuwa mkewe ningemkimbiza hosp kwa nguvu zote, raha nyingine zinatimia kwa mikiki mikiki ya kueleweka bwana.