Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Ahsante dawa ya malaria kwa kujali maslahi ya dawa ya kutuliza maumivu............hope queenkami atakuelewa na King'asti hatasoma hii posti.hehehe kamanda humpandishi mtu punda (ref: ile sredi yako mi ID mingi) lol, mjaribu fellow tablet
Khaa! Comrade unachunguza mpaka uvunguni mwa vitanda vya kwenye martenity ward?.......... Nadhani umemwona Preta kwenye list ya mafriends wangu, naye amekiri anayazimia mabusha....... Ngoja nimPM.Ahahahaaa...unataka kusema mimi ndo queenkami? Hapana bana...queenkami si mimi. Siku ile nilikuwa na-clown tu. Muulize Asprin...manake queenkami yuko kwenye list ya friends wake.
Au kama vipi mcheki Cookie akupe IP address uone....lazima ya queenkami itaonyesha yuko huko Scandinavia