Simwelewi kabisa huyu mpwa wangu

hehehe kamanda humpandishi mtu punda (ref: ile sredi yako mi ID mingi) lol, mjaribu fellow tablet
Ahsante dawa ya malaria kwa kujali maslahi ya dawa ya kutuliza maumivu............hope queenkami atakuelewa na King'asti hatasoma hii posti.

Ahahahaaa...unataka kusema mimi ndo queenkami? Hapana bana...queenkami si mimi. Siku ile nilikuwa na-clown tu. Muulize Asprin...manake queenkami yuko kwenye list ya friends wake.

Au kama vipi mcheki Cookie akupe IP address uone....lazima ya queenkami itaonyesha yuko huko Scandinavia
Khaa! Comrade unachunguza mpaka uvunguni mwa vitanda vya kwenye martenity ward?.......... Nadhani umemwona Preta kwenye list ya mafriends wangu, naye amekiri anayazimia mabusha....... Ngoja nimPM.
 
manati inakodishwa hii,otherwise umuambie bibi anikaribishe futari manake nausindikiza mwezi hadi oman (ndo ulikozaliwa ujue!). maelezo yako ya kunanilii na busha yameniogopesha hata nikiliandika nafumba macho. kwenye pm labda shemeji yako ashadii anisindikize,naogopaa
Aisee hii name calling ya shem wangu unaifanyaje kwenye hii sredi ya mabusha. Shem wangu alinambiaga ana aleji na mabusha........... Sasa hebu idiliti hii posri kabla hajapita hapa kuisoma...........BTW, woga umeuanza lini ilhali ushakuwa mkubwa?
 
dah....pole sana mpwa....ni kwamba sijathibitisha sana lakini eti wanasemaga kuna kina mama wanayapenda....mi sijui lakini.....labda mkewe ana lolote la kusema?
We huyapendi??
 
Unajua ukichunguza kiundani kabisa utagundua kwamba hii JF nzima mimi peke yangu ndio nina akili timamu. msibishe
Atakayebisha atakuwa hajui ki-Kiranga..... Manake inaeleweka kabisa.

WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


Ila usisahau:

:hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................
:israel::israel::israel:

Bisha!
 
Atakayebisha atakuwa hajui ki-Kiranga..... Manake inaeleweka kabisa.

WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


Ila usisahau:

:hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................
:israel::israel::israel:

Bisha!

Hahahahaha Hodi ya chooni inajibiwa kwa mguno mmmmmmh
 
Ahsante dawa ya malaria kwa kujali maslahi ya dawa ya kutuliza maumivu............hope queenkami atakuelewa na King'asti hatasoma hii posti.

Khaa! Comrade unachunguza mpaka uvunguni mwa vitanda vya kwenye martenity ward?.......... Nadhani umemwona Preta kwenye list ya mafriends wangu, naye amekiri anayazimia mabusha....... Ngoja nimPM.

Comrade nisaidie kumwelewesha 'fellow tablet' bana....haiwezekani mimi niewe queenkami
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom