dah....pole sana mpwa....ni kwamba sijathibitisha sana lakini eti wanasemaga kuna kina mama wanayapenda....mi sijui lakini.....labda mkewe ana lolote la kusema?
Umeona? Busha linakuwa hivi.
Hapo inabidi ushonee mfuko unalihifadhi.
Hapo ukijambishwa maji hayo yanapandisha mdadi
Kweli dada...wamama wazoefu wa kuyatumia wanayapenda..Ni simple logic..anything causing some friction around those areas itaongeza sensations wakati wa mambo ya kikubwa...Mtu aliyekwishazoea hawezi kukubali huo utamu uondolewe...Ni kama yale mambo kule kanda ya ziwa ambao Rev. Masa aliwasilisha hapa jamvini siku moja...LOL!!
Ni kwamba watu hawajui tu...hata haya ya kwetu ambayo ni mazima (size ya kawaida) yanaweza kutumiwa vizuri tu!!
uwiii najuta kukuuliza maana umeona maelezo sielewi uweke na picha kabisa....
hivi Fidel ni nini hasa huwa kinavimba? huku bara hakuna hayo makitu kabisa
Mfuko unao hifadhi kengere unajaa maji yakiwa mengi anashonea mfuko kabisa ili kuzuia yasicheze cheze
huwa haMfuko unao hifadhi kengere unajaa maji yakiwa mengi anashonea mfuko kabisa ili kuzuia yasicheze cheze
sasa mbona huwa wanatuna kwa mbele wakati likitu lenyewe liko huko nyuma kumbe?
Kuna mtu aliniambiaga ukinywa sana togwa na yale maji ya madafu na kuendesha baskeli za Swala eti ndo linaota. Kumbe fiksi tu....kuna kimbu kikikung'ata ndo kinasababisha hilo.
Hahahaha komredi bana niliona kipindi cha mwezi mtukufu mpwa wangu futari alikuwa anapiga popote full ujiko
sasa mbona huwa wanatuna kwa mbele wakati likitu lenyewe liko huko nyuma kumbe?
Hapana bwana...Ni minyoo tu...Ila sema hii minyoo inapatikana kwa wingi sana maeneo ya pwani!!
Duh! Nimeishiwa na maneno baada ya kuona picha! Eeeewwwwe
Duh! Nimeishiwa na maneno baada ya kuona picha! Eeeewwwwe
Three dimension hiyo mwaya hata kwa mbele lazima kutune na mwondoko lazima ubadilike pia.