Hii dhuluma ina mda wake
hawawez kukwambia kila walofanya had uyu jamaa akafa ila kwakua uyu msela alikua karateka na mim jins nnavyowafaham hawa polis wa kushughulika na izi ishu za kigaid niwaz kisongo alipelekwa kinadharia ila mishe zilikua zinaendelea eidha usa au kule godaon gun sio ilomuua bal waliitumia kumpunguza kas baada ya kuona mambo yamewazid ila uyu mshikaji na yeye asingeonyesha kujibu mashambulizi wasingemuua aisee ila aman ndo ishu mazee.