Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

kwa tukio la soweto kusema kwamba huyu jamaa alihusika ni uongo usio na kipimo kwani pale soweto bali na bomu zilitumika bunduki za kawaida na maganda ya risasi yalionekana sasa haingii akilini kwamba huyu jamaa aliusika
 
Mhalifu no mhalifu tu, ukitendwa ndio utakuwa na hasira lkn usipotendwa hutojali lkn hutatoa lawama tu, sasa kama MTU anapambana na polisi huyo si MTU WA kawaida polisi ni mamlaka IPO kisheria sasa kama wewe unapigana na mamlaka utakuwa na tatizo sio bure, maana wakiachiwa mnawapora bunduki sasa mmewapa hizo bunduki kwa ajili ya nini? Wanyama WA mjini ni wahalifu
 
Sasa kama walikuwa hawafadhiliwi na waliku wanajifadhili! Ilikuwaje wamiliki mabomu ya kijeshi?

Na Je! ni kwanini wafanye mashambulizi katika mazingira tofauti yasiyo na uhusiano kabisa kama:
  • Kushambulia makanisa?
  • Kushambulia mikutano ya siasa?
  • Kuwashambulia mashehe?
  • kushambulia kumbi za starehe?
Huyu Liberatus Sabas atueleze kuwa huyo marehemu na kikundi chake kilikuwa kuina entrance gani katika uhalifu wao.?


entrance unamaanisha nini? kwa nini usitumie tu lugha ya kiswahili angalau ukaeleweka? unalazimisha lugha ya watu ambayo huielewi.

sis tumemwelewa
 
Mhalifu no mhalifu tu, ukitendwa ndio utakuwa na hasira lkn usipotendwa hutojali lkn hutatoa lawama tu, sasa kama MTU anapambana na polisi huyo si MTU WA kawaida polisi ni mamlaka IPO kisheria sasa kama wewe unapigana na mamlaka utakuwa na tatizo sio bure, maana wakiachiwa mnawapora bunduki sasa mmewapa hizo bunduki kwa ajili ya nini? Wanyama WA mjini ni wahalifu

hapo umeandika nin bwashee mkuu
 
Msiwatetee wahalifu inamaana mmesahau uhalifu au matukio walioyafanya.... Tuwapongeze polisi

Ndugu, uwe makini sana na mtazamo wako huo, ni mtazamo usiofaa; tabia ya kuamini maelezo ya upande mmoja na kuamini ni mbaya mno, kwa mtindo huu watu wengi watapoteza maisha halafu mnaaminishwa kuwa 'ni jambazi au gaidi ririkuwa rikiwarushia risasi porisi'.

Hukumbuku tukio la miaka michache huko Dar, RCO Zombe alipoutangazia umma kuwa majambazi yameuwawa Sinza ktk mapambano na Polisi? Hujui Polisi ndio waliokuwa majambazi kwa kuwapora pesa zao na kuwaua? Mahakama zina kazi gani?

Akili ya kawaida kabisa inakuaminisha kuwa mtuhumiwa alikuwa anapambana na polisi na kujaribu kuwakimbia? Kwa akili yako saa tano usiku unaweza kulenga shabaha kwa bunduki na ukampiga mtuhumiwa aliyekuwa anakimbia? Unakubaliana kabisa na hoja za RPC Sabas!

Tukiwachekea hawa Polisi na kukubaliana na kila kauli yao watatumaliza, Polisi wengi mno si waadilifu, si waaminifu, mfumo na siasa za kifisadi zimeharibu uadilifu na uwajibikaji wa Polisi wetu. Matendo ya polisi wengi yanafanana na madereva wa bodaboda, hawatii wala kuzingatia sheria.

Vv
 
Polisi walihusishwa na tukio la ulipuaji wa mabomu kwenye mkutano wa Chadema lakini wakakana kuhusika,kwanini wasiulinde kwa hali na mali ushahidi walioupata ambao ni huyo Yahaya ili baadae ukweli ujulikane?

Inawezekana vipi mtuhumiwa wa ugaidi akasafirishwa bila hata pingu mkononi wakati mwizi wa simu tu huvishwa pingu?

Ushauri kwa Polisi Tanzania ni kwamba mnahitaji kuajiri mtu maalumu aliyebobea kwenye kutengeneza uongo labda itawasaidia.
 
Huyo jamaa hakuhusika na ulipuaji wa mabomu polisi walimshikilia kwa kumuhoji na uhalifu tofauti, wakamtesa mpaka akafa, ndipo walipomchukua na kwenda kumpiga risasi akiwa tayari maiti na ndio wakatunga hizo story za kujidai ni gaidi, polisi waliua kwa mateso.
 
huyu kamanda ni mangi(ila sijui kama kusema uongo ndio ishara ya uanaume kwa kina mangi)

marehem(gaidi) ametoa damu puani na mdomoni kutokana na kupigwa risasi ya tumbo(kama picha zinavyoonesha) effect ya risasi huwa kubwa kule inapotokea na si pale inapoingia! Ukiangalia jeraha la tumboni kuna katundu kadogo that means eneo la mgongoni ndio litakuwa limejikusanya nyama zote na mifupa na kuwa na jeraha kubwa!

Pia ukiangalia picha kwa kuizoom out utaona risasi ilipigwa in a 'close range' either alipigwa akiwa amesha anguka chini tayari baada ya kupigwa ya mguu!

Hiyo ni 'murder' ila sijui ni cover up ya nini! Maelezo ya kamanda ni mepesi sana hasa watu wanavyohoji uwezekano wa mtuhumiwa kukimbia akiwa chini ya uangalizi wa polisi! Mtu akiwa na pingu tu hawezi kukimbia kwasababu movement ya mikono inakosekana so anakosa speed ya kukimbia na hakua na silaha yoyote sasa aliwa over power hao polisi vipi?

Au bw. Yahaya aligeuka jack bauer wa 24hrs series??????

Sent from my whiteberry using jamiiforums

hongera sana jeshi la polisi hongera sana kamanda kwa kazi nzuri ya kutokomeza uhalifu wananchi wema tupo nyuma yako
 
Back
Top Bottom