Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

Simulizi za polisi kuua gaidi Arusha

View attachment 195157
Hivi wewe mtu huna hata aibu kutunga maneno kwenye issue ambayo maisha ya watu yamepotea? RPC ni nafasi kubwa sana na ya kuaminika katika ulinzi wa raia na mali zao sasa unapokuja na hadithi za alinacha tukueleweje?
Kazi hiyo ina kiapo na hivi mnapomkebehi MUNGU kwa kutenda tofauti na viapo vyenu hamuoni ni dharau kubwa kwa huyo mliyetumia jina lake kuapa. Kwani mtu ukisema ukweli hata kama hiyo kazi ikapotea ndio mwisho wa maisha yako? Hudhani kuwa mbele ya jamii utaheshimika wewe na kizazi chako?
Kama mnamwogopa MUNGU semeni ukweli ili ile damu iliyopotea ya waume,wanawake na watoto isiwarudie nyie na vizazi vyenu.

Jamani ile sharia ya Inquest imesihia wapi?

Watu wanapukutika na polisi wanatoa maelezo ya ajabu ajabu tu
 
Tanzania tusikarijishe fujo kama walivyofanya wenzetu wa kenya nchi ikakosa amani, polisi naona inaamua kuwa waendesha mashitaka na majaji, inaamua tu kumkamata mtu na kumtia hatiani na kumpa adhabu ya kumpiga risasi na kumtia lebo ya mgaidi.Nini maana ya mgaidi, kwanini asiitwe mhalifu tu au ni njia ya kuhalalisha kuwa anastahili kuuwawa kwa kupigwa risasi bila kupelekwa mahakamani.Tunaomba polisi watizame wasije wakawasha moto wakashindwa kuuzima, kwasababu mambo kama haya ambayo yanafanya kundi moja la wananchi linaona kama kwamba linaonewa ndiyo yanaleta fujo.

Hakuna amani pasipo haki.
 
sikujua kama upo empty kichwani kwa kiasi hiki. kwa nini usiisome habari kabla huja-comment chochote?


Bila shaka wale waliotubisha sana kwamba baadhi ya misikiti hapa Dar es Salaam kuna mafunzo ya karate yenye kuashiria mafunzo kigaidi kutokana na mafunzo hayo kuambatana na matumizi ya majambia na morali wanayopewa kufanya mauaji dhidi ya wakristo. Haya yote ni utekelezaji wa maelekezo ya Sheikh Ilunga alipowaasa vijana wa kiislam kuwaua Wakristo hususani Maaskofu na Mapadre kama tulivyoona matukio kule Zanzibar, Arusha na Dar ni matokeo ya mahubiri ya chuki ya dini yanayotolewa na baadhi ya waislam. Tunaitaka serikali isiwe inapuuzia taarifa zinazotolewa raia wema kuhusu mafunzo ya kigaidi ndani ya misikiti kwa mfano msikiti mmoja Vingunguti, chuo kimoja ndani ya kisiwa cha Ukerewe ambako tulielezwa kuwa wahusika hata walifikia hata kupiga marufuku dala dala kupiga nyimbo za Kikristo. Sisi Wakristo tunathamini sana michango mbalimbali inayotolewa na waislam wenye mapenzi mema.
 
Yaani waananchi wangeni bhana hawana shukrani kweli ni matukio mangapi ya Uhalifu na watu kumwagiwa tindikali yametokea huku arusha Leo jeshi LA polisi linakamata mhalifu watu wanamtetea inashangaza sana polisi wasipo kamata watu wanalalamika eti kwamba jeshi LA polisi halifanyi kazi wakikamata watu wanatetea wahalifu hivi nyie binadamu gani? Jeshi LA polisi linapaswa kupongezwa kwa kazi walioifanya hongera sana pt endeleeeni hivyo hivyo sisi humu katika mitandao tunawasaidia tunawaungamkono msichoke kwani humu wengine ni kama hao mliowakamata yaani wahalifu wanatumia mitandao ya kijamii kuwarudisha nyuma nasema tens hongereni polisi kwa kazi nzuri. Watu wamesahau matendo ya ugaidi Leo Hi wanawaunga mkono kweli ubinadamu kaxi.

Unahakika huyo jamaa waliyomuua ndiye muhalifu kweli?
Na kama ni kweli ndiye yeye, je vp na hayo mabomu aliyoyabakiza watayapataje?
Je unakubaliana na maelezo ya kwamba huyo marehemu alikua anafanya uhalifu kwa sababu zake binafsi kwamba hakuna aliyekuwa anamtuma?Je hayo mabomu aliyapata wapi na kvp?
 
Yaani watu mnatetea magaidi kweli? Licha ya matukio ya Uhalifu, watu kumwagiwa tindikali yaliyotokea mnatetea mhalifu aliyekamatwa na polisi? Mi nadhani nanyi mtakuwa wahalifu tu sio watu WA kawaida . polisi wanapaswa kupongezwa na kutiwa moyo kwa kazi nzuri hongera sana polisi Mimi nakupongeza kwa kuwa Mimi si mhalifu hongera polisi hongereni vijana WA mangu.

Comment ipi ambayo inatetea Ugaidi humu? Hebu soma vizuri wanachokilalamikia watu?
 
Swali ni je alichokisema kamanda Sabas ni kweli au ameudangaya umma?amesema huyu jamaa alikua anakimbia ,lakini ukiangalia amepigwa risasi na mtu aliyekua mbele yake
Alisema amepigwa kiunoni ni kweli hapo ni kiunoni?

Inasikitisha sana,Hivi mtu akikimbia anatakiwa kuuwawa?
Tunalo jeshi la polisi mambumbumbu,Duniani hakuna haki
watakutana na malipo yao siku ya mwisho.
INNA LILAH WAINNA ILAYHI RAJIUUN.
 
dada...
huo ni upande risasi ilikotokea na sio ilikoingilia. hujui jeraha la risasi lilivyo so will you please shut up your fuc.... mouth!!!!!
you are the one to shut up your fuc and unpleasant mouth. tena kama sikosei wewe ni shoga. vipi hapo umevaa pampas? maana kwa vyovyote pamelegea mpaka hujui tofauti ya sehemu risasi ilipoingilia na ilikotokea.
 
Wewe sio Polisi, wala hukuwa eneo la tukio hivyo tulia. Mbona huzungumzii waliokufa Olasit kanisani!!!! Wacha magaidi washuhulikiwe. Wakilegezewa watanzisha IS (Islamic state) hapa marufuku.
 
Hakuna kisochoeleweka nyie ndo wahalifu wenyewe mnataka huruma ya wananchi
umebuya viroba nini?
hivi inaingia akili mtu mwenye pingu mikononi na miguuni akiwa amezungukwa na maaskari 10 ndani ya gari iliyofunikwa na ikiwa barabara ya lami kwenye speed aruke kwenye gari halafu risasi itokee kwa mbele kama picha inavyoonesha halafuimuue papo hapo?
vitu vingine ni maigizo tu.
hakuna anayetetea ugaidi (labda kama ni taahira) tatizo ni maelezo ya polisi yasiyokuwa na uhalisia hata kidogo.
tumia akili ulizopewa na manani.
 
Kweni RPC Sabas ni kabila gani? nasema hivyo kwa sababu makabila mengine kusema uongo ndio uanaume wenyewe

Huyu kamanda ni Mangi(ila sijui kama kusema uongo ndio ishara ya uanaume kwa kina Mangi)

Marehem(gaidi) ametoa damu puani na mdomoni kutokana na kupigwa risasi ya TUMBO(kama picha zinavyoonesha) effect ya risasi huwa kubwa kule inapotokea na SI pale inapoingia! Ukiangalia jeraha la tumboni kuna katundu kadogo that means eneo la mgongoni ndio litakuwa limejikusanya nyama zote na mifupa na kuwa na jeraha kubwa!

Pia ukiangalia picha kwa kuizoom out utaona risasi ilipigwa in a 'close range' either alipigwa akiwa amesha anguka chini tayari baada ya kupigwa ya mguu!

Hiyo ni 'murder' ila sijui ni cover up ya nini! Maelezo ya kamanda ni mepesi sana hasa watu wanavyohoji uwezekano wa mtuhumiwa kukimbia akiwa chini ya uangalizi wa polisi! Mtu akiwa na pingu tu hawezi kukimbia kwasababu movement ya mikono inakosekana so anakosa speed ya kukimbia na hakua na silaha yoyote sasa aliwa over power hao polisi vipi?

Au Bw. Yahaya aligeuka Jack bauer wa 24hrs series??????

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
Chemchem Kondoa ni mbali, imekuwaje hakuwa na pingu miguuni na mikononi tena hapo tu Kisongo na mnajua ni mtu hatari sana. Ushahidi wa cd Soweto upoje. Mi naamini tunaaminisha watu bure na tatizo liko palepale na tena itakuwa zaidi.
 
Yaani waananchi wangeni bhana hawana shukrani kweli ni matukio mangapi ya Uhalifu na watu kumwagiwa tindikali yametokea huku arusha Leo jeshi LA polisi linakamata mhalifu watu wanamtetea inashangaza sana polisi wasipo kamata watu wanalalamika eti kwamba jeshi LA polisi halifanyi kazi wakikamata watu wanatetea wahalifu hivi nyie binadamu gani? Jeshi LA polisi linapaswa kupongezwa kwa kazi walioifanya hongera sana pt endeleeeni hivyo hivyo sisi humu katika mitandao tunawasaidia tunawaungamkono msichoke kwani humu wengine ni kama hao mliowakamata yaani wahalifu wanatumia mitandao ya kijamii kuwarudisha nyuma nasema tens hongereni polisi kwa kazi nzuri. Watu wamesahau matendo ya ugaidi Leo Hi wanawaunga mkono kweli ubinadamu kaxi.

Nimefikiri na kutafakari nikaona ya kuwa ukiwa mpenzi wa kitu flani lazima utakitetea kwa kila hali uwezavyo, hivyo
Nimeona ya kuwa wote wanaolilaumu jeshi la polisi
Pengine wapo ambao ni Wafuasi wa huyo marehemu ama
Ni watendaji na wapenda maovu ndo maana wanalalamika
Na kwa kitendo cha huyo mhalifu kufarki
Hebu tujiulize maswali machache tu
Kwa kitendo cha kumuua huyo mhalifu aliyekuwa anaangamiza maisha ya raia wasiokuwa na hatia ni nani alaumiwe kati ya jeshi la polisi na huyo mhalifu?ni lipi walichokifanya polisi kibaya sana?na kama wasingemkamata je raia tusingelaumu?pengine polisi walichelewa kidogo kumkamata lakini tuelewe ya kuwa so kosa lao ila kwa upande mwingine ni kosa letu sisi raia maana polisi si mungu waweze kujua bila taarifa kutoka kwa
Raia wema,na miongoni mwetu wapo waliokuwa wanawafahamu hawa watu wahalifu lakini kwa sababu tunazozifahamu sisi wenyewe hatukuwasema kwa polisi
Hatukutoa ushirikiano mapema hivyo ndiyo maana zoezi
Nalo likachukua muda mrefu kidogo.
Polisi wanasema wamemkamata mhalifu badala ya kuwapongeza kwa kazi nzuri wewe unaanza kubisha hapana siye huyo hapohapo hutuambii ni yupi mbadala wake huyo unayemfahumu wewe, umeamua kubisha tu
Haya polisi wanasema angekufa na sababu wamezitoa
Kwamba alikuwa anawatoroka wakampiga risasi wewe
Unakataa hapana alikuwa hatoroki tena unasema polisi
Sabas ni waongo bila kutupa mealezo ikiwa ulikuwepo sehemu ya tukio na nini ulichokiona
Umeamua tu kukataa kwa sababu una chuki na polisi
Maana wewe ni shabiki wa uhalifu na wahalifu maana wewe
So mpenda amani.polisi wapo kwa ajili ya kulinda amani hivyo wakati mwingine waache wafanye kazi yao na inapotokea wakafanya kwa mafanikio hawana budi kupongezwa pia
Ni vizuri tungetumia muda wetu humu kuandika na wale wahalifu wengine unaowafahamu ambao pengine hawapatikana ama pengine hawajajulikana bado ili
Tuwe tumeshiriki vyema katika kujenga na kulinda amani
Hebu fikiri ingekuwa unajisikiaje ikiwa mmoja wa umpendaye angekuwa ama ni kilema ama ni marehemu
Kwa sababu ya ajali iliyosababishwa na mmoja wa hawa
Wasiopenda amani halafu leo usikie polisi walimkamata
Halafu wakamwachia huru ama wamempeleka mahakamani
Na baadae ameweza kutumia pesa pamoja na wanasheria
Na ameachiwa huru ungejisikiaje?
Nasema HONGERA POLISI TUPO NYUMA YENU !
 
Nimefikiri na kutafakari nikaona ya kuwa ukiwa mpenzi wa kitu flani lazima utakitetea kwa kila hali uwezavyo, hivyo
Nimeona ya kuwa wote wanaolilaumu jeshi la polisi
Pengine wapo ambao ni Wafuasi wa huyo marehemu ama
Ni watendaji na wapenda maovu ndo maana wanalalamika
Na kwa kitendo cha huyo mhalifu kufarki
Hebu tujiulize maswali machache tu
Kwa kitendo cha kumuua huyo mhalifu aliyekuwa anaangamiza maisha ya raia wasiokuwa na hatia ni nani alaumiwe kati ya jeshi la polisi na huyo mhalifu?ni lipi walichokifanya polisi kibaya sana?na kama wasingemkamata je raia tusingelaumu?pengine polisi walichelewa kidogo kumkamata lakini tuelewe ya kuwa so kosa lao ila kwa upande mwingine ni kosa letu sisi raia maana polisi si mungu waweze kujua bila taarifa kutoka kwa
Raia wema,na miongoni mwetu wapo waliokuwa wanawafahamu hawa watu wahalifu lakini kwa sababu tunazozifahamu sisi wenyewe hatukuwasema kwa polisi
Hatukutoa ushirikiano mapema hivyo ndiyo maana zoezi
Nalo likachukua muda mrefu kidogo.
Polisi wanasema wamemkamata mhalifu badala ya kuwapongeza kwa kazi nzuri wewe unaanza kubisha hapana siye huyo hapohapo hutuambii ni yupi mbadala wake huyo unayemfahumu wewe, umeamua kubisha tu
Haya polisi wanasema angekufa na sababu wamezitoa
Kwamba alikuwa anawatoroka wakampiga risasi wewe
Unakataa hapana alikuwa hatoroki tena unasema polisi
Sabas ni waongo bila kutupa mealezo ikiwa ulikuwepo sehemu ya tukio na nini ulichokiona
Umeamua tu kukataa kwa sababu una chuki na polisi
Maana wewe ni shabiki wa uhalifu na wahalifu maana wewe
So mpenda amani.polisi wapo kwa ajili ya kulinda amani hivyo wakati mwingine waache wafanye kazi yao na inapotokea wakafanya kwa mafanikio hawana budi kupongezwa pia
Ni vizuri tungetumia muda wetu humu kuandika na wale wahalifu wengine unaowafahamu ambao pengine hawapatikana ama pengine hawajajulikana bado ili
Tuwe tumeshiriki vyema katika kujenga na kulinda amani
Hebu fikiri ingekuwa unajisikiaje ikiwa mmoja wa umpendaye angekuwa ama ni kilema ama ni marehemu
Kwa sababu ya ajali iliyosababishwa na mmoja wa hawa
Wasiopenda amani halafu leo usikie polisi walimkamata
Halafu wakamwachia huru ama wamempeleka mahakamani
Na baadae ameweza kutumia pesa pamoja na wanasheria
Na ameachiwa huru ungejisikiaje?
Nasema HONGERA POLISI TUPO NYUMA YENU !

Nahisi wewe ndio polisi uliyemuua huyu jamaa ase! Kwahiyo unahararisha mauaji ya raia wasio na hatia kwa maana mahakamani hampaamini? Je kuna mla rushwa kuzidi polisi? Si ajabu alikataa kutoa hongo baada ya kubambikiwa kesi, mkamzima kibatari!

Kama sio polisi usishangilie sana maana siku ukiangukia kwenye kumi na nane zao ndio utawajua walivyo mashetani hawa jamaa. (Talking from experience )
 
ni kweli kabisa hata kule kalenga waislam ni 99%. ndo maana ccm walishinda kiurahisi. ama kweli wewe ni taahira.

kwani ukitoa maelezo bila kunitukana uwezi kuwa umenielewesha?ila mimi sikulaumu labda ndivyo ulivyolelewa,lakinifahamu kwamba umjui unaiemtukana inawezekana ukawa mnamtukana kaka yako au ndungu yako wa karibu maana wengi katika JF wanatumia majina ya bandio,hivyo kwa faida yako nakushauri usipende sana kumtukana mtu usiyemfahamu,huo ni ushauri wangu tu,lakini kama utaona haukufai endelea kama ulivyolelewa
 
Mkuu uko vyema sana! Polisi hawa ni wauaji tu, hayumkini eti watudanganye mtu huyu mmoja dhaifu awe ndio mshiriki wa mauaji yooooote??? Afu mnadai intelligensia ya kisasa? ujinga mkubwa ni hekaya za abunuasi tu! tuataka uchunguzi ufanywe dhidi ya polisi hawa wauaji? Polisi wanaua watu kwa mambo ya kijinga kama vile mtu akitembea na hawara yake au mke wake anauwawa..... Hapa Arusha ninao jamaa zangu wawili walinusurika kuuwawa kwa hisia za kutembea na hawara/wanawake wa polisi, na yuko jamaa pale Morogoro ilibidi akimbie mji enzi za RPC Shekiondo!!!!!! hawa jamaa wanatumia kodi zetu kutuua, hatuna imani nao.

Mkuu hapo umekosea kidogo, sio mikutanobya siasa, ni ya CHADEMA. Hakuna mkutano wa ccm umewahi kushambuliwa na mabomu.
kwa mimi ninachoweza kusema ni kuwa jeshi la polisi ni waongo wakubwa, na watachomwa siku ya mwisho. Wanachojua wao ni kuua tu.
Intelijensia gani ya kisasa waliyonayo hao polisi? Kuna ushahidi gani huyo raia waliyemuua ndio mhusika wa ulipuaji mabomu? Tutaaminije wakati wamemuua? Mahakama pekee ndio ina uwezo wa kutia mtu hatiani leo polisi wanatekeleza hadi hukumu? Haiingii akilini mtuhumiwa wa mabomu yuko kwenye gari la polisi saa tano usiku wakienda alikoficha mabomu, yuko chini ya ulinzi eti atake kutoroka kwa kuruka sarakasi, wadanganyeni wajinga. Pingu zinazonunuliwa na kodi zetu mnafungia waandamanaji tu au zina kazi gani. Mtu akifungwa pingu miguuni na mikononi ataruka sarakasi kweli, na je kwa uzembe wenu polisi hamuoni kuwa bado yapo mabomu mtaani na yataua watu kwa ajili ya ujinga wenu. Kwa nini msingemkamata? Si mna mafunzo ya kukamata wahalifu bila kuua? Au na nyie mpo kwenye mtandao huo manaogopa kutajwa. Mliokuwa kwenye tukio hilo mlipaswa kufukuzwa na kushtakiwa kwa mauaji ya raia ili mjifunze kazi yenu. Mmepoteza ushahidi mna la kusema sasa.
Hiyo kauli eti wanajifadhili wenyewe mmmmmh, wanapata wapi mabomu, yanaingizwaje nchini, sio rahisi kudanganya hivyo
 
Msiwatetee wahalifu inamaana mmesahau uhalifu au matukio walioyafanya.... Tuwapongeze polisi
 
Chemchem Kondoa ni mbali, imekuwaje hakuwa na pingu miguuni na mikononi tena hapo tu Kisongo na mnajua ni mtu hatari sana. Ushahidi wa cd Soweto upoje. Mi naamini tunaaminisha watu bure na tatizo liko palepale na tena itakuwa zaidi.

Nilipoisikia hii story ya huyu kamanda nilijua moja kwa moja hii ni story ya kutengenezwa. Ilikuwaje polisi wamsafirishe mtu wanayemuita gaidi bila kuwa na pingu mikononi na miguuni na huku wakujua ni Mwalimu wa karate?

Usanii mtupu huo.

Tiba
 
umebuya viroba nini?
hivi inaingia akili mtu mwenye pingu mikononi na miguuni akiwa amezungukwa na maaskari 10 ndani ya gari iliyofunikwa na ikiwa barabara ya lami kwenye speed aruke kwenye gari halafu risasi itokee kwa mbele kama picha inavyoonesha halafuimuue papo hapo?
vitu vingine ni maigizo tu.
hakuna anayetetea ugaidi (labda kama ni taahira) tatizo ni maelezo ya polisi yasiyokuwa na uhalisia hata kidogo.
tumia akili ulizopewa na manani.

nikawaida2 ya polis dunian kokote kufikia hatua hii ya kumkill mtu mmoja ambaye akiachwa ni hatar sana kwa usalama wa nchi ila tatizo police wengine wanakosea ifomation na kuwafanya maraia wasandie ishu kam iz mazee.ila kwa uyu mshikaj kama kwel alikir kuhusika na iz ishu zote apa town ameniadhiri sana hata mim niliyempoteza brother angu kwenye ishu ya soweto. ila yote kwa yote sheria na hak yake angetakiwa kufikishwa kwa pilato ili kama ni kumkill ingekua uko mazee.
 
Swali ni je alichokisema kamanda Sabas ni kweli au ameudangaya umma?amesema huyu jamaa alikua anakimbia ,lakini ukiangalia amepigwa risasi na mtu aliyekua mbele yake
Alisema amepigwa kiunoni ni kweli hapo ni kiunoni?

Hii dhuluma ina mda wake
 
Back
Top Bottom