bioto
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,261
- 2,099
- Thread starter
- #41
SEHEMUBYA 40
NA GAOOH
SIMU 0654387935
TULIPOISHIAAA SEHEMU ILIYOPITA..
Japo sikuwa nikijua sana ila majina ya somoe
sidhani kama ni watu tabora kama john
alivyonambia kuwa msichana atatokea tabora, aah
sikujali sana nikaamua nifunike tu kombe
mwanaharanu apite, tulimuonesha chunba chake
cha kulala..
SASA ENDELEAAA..
Tulianza maisha na somoe akiwa kama mfanya kazi
wa ndani, Alizifanya kazi vizuri hukua akinisaidia
kazi huku ujauzito wangu ukiendelea kukua siku
hadi siku.
"Mke wangu umeona sasa somoe ni binti mzuri
sikuamini kama ataweza kufanya kazi vizuri namna
hii,"
"Kwann hujutegemea,?"
"Rafiki yangu niliemuomba anitafutie mdada wa kazi
aliniambia yuko busy sana hivyo ikabidi.." Kabla
hajamaliza nikamkatisha.
"Ikabidi nimwanbie mtu mwengine najua
ningekuanbia siku ya kwanza kabla hajaja basi
ungekata, ndio mana nilimleta alafu nikasubiri
akianza kufanya vibaya ndio nimfukuze, ila kumbe
binti wa wawatu ni mtulivu na anafanya kazi zake
kwa bidii NIMEMPENDA KWA KWELI,"
"Ndio umefanya nini sasa hivi John?, utakuja
kuniletewa wachawi kwenye nyumba," nilisema.
"Usijal mke wangu ilikuwa ni lazima nikuletee mtu
wa kusaidia kazi,matarajio yangu yalikuwa ni
kuletewa na rafiki yangu ila ameshindwa sasa
ningefanyaje nisamehe kama nimekosea ila
nakuahidi kama Somoe atafanya kosa lolote
nitamtiamua." John alihitimisha sikutaka kuifanya
iwe mada nilimkubalia john tu wakati huo somoe
alikuwa chumbani kwake na sisi tulikuwa chumbani
kwetu.
Asubuhi kama kawaida Mume wangu aliamka kisha
akaniamsha na kisha kujiandaa kwa ajili ya kwenda
kazini alijiandaa hapo nikaamka na kwenda nje
kumuandalia chai, nilijua pengine somoe hajaamka
bado ila nilipoamka nilikuta amekwisha amka muda
huo alikuda anadeki ndani.
"Shikamoo dada,"aliniamkia huku akiinamana kama
mtu anaetaka kupiga magoti.
"Marahaba umeamkaje,"
"Salama dada sijui wewe na shemeji,"tuliongea
machache nikaenda jikoni kuandaa chai ya Mume
wangu kisha akatoka nilimtengea akanywa wakati
huo Somoe akiendelea na usafi John alipo maliza
kunywa chai nilimuweka shati lake vizuri kisha
nikamtoa mpaka nje kwenye gari nilimbusu na yeye
akanibusu kisha akaingia ndani ya gari yake
akaniaga na kuondoka.
Nilirejea ndani na kuelekea chumbani kwangu kulala
tena.
Kitendo cha kulala na kupita dakika kadhaa nilijihisi
sipo pale nikipolala ila nipo sehemu nyengine yenye
majani mengi ya mti yaliodondoka na kujikusanya
sehemu moja kisha mimi nikalala juu yake nilijihisi
kutokuwa na fahamu kwavile nilikuwa nimelala huku
yule msichana niliekuwa nikimuonaga ndotoni ndio
alikuwa pembeni yangu na wenzake wakiwa na visu
tena vikiwaka moto walifika mpka nilipokuwa kisha
alikuta peke yake yule msichna hapo akachoma kisu
tumboni kwangu sikuwa na nguvu za kuamka wala
kupiga kelele kuzuia kile mwili wangu ulikuwa kama
uliopooza pia cha kushangaza hata maumivu
sikuyasikia kisu kiliingumia tumboni kwangu na
mtoto walimtoa baada ya kumtoa walianza kuimba
nyimbo zao nyimbo ambazo nilizikumbuka vyema
za kule hekaruni tofauti ni kuwa sikuwahi kuzielewa
maana yake ila nilijua tu huwa zinaibwa kwa ajili ya
nini, zipo za kushegherekea na zipo za huzuni hasa
mmoja wetu akifa bila ya matakwa yetu kipindi kile.
Hizi walizoimba zilinikumbusha kuwa ni nyimbo za
sherehe, waliimba huku wakinizunguka nikiwa
nimelala pale pale chini, nyimbo zile waliimba huku
mtoto wangu wakimuweka juu juu baada ya kufanya
vile wakamuingiza ndani ya chungu ambacho
kilikuwa kimewekwa juu ya kichuguu niliweka, zoezi
hiki pia nililikunbuka kuna kipindi tulikuwa tukipata
vichanga tuna vitia ndani ya chungu ambacho kina
damu kisha tunavichinja na kuvila nyama, ni kweli
na wao walifanya vile vile nilishuhudia kwa macho
yangu pimaa mwanangu wakimtafuna pia wasivyo
na adabu walinioneshe nyama za viungo vyake hasa
mguu walinionyeshe niliumizwa na kitendo kile,
baada ya kumalza kula mwili wa mwanangu ndipo
walipokuja na kwangu walishika mguu wakitaka
waunyofoe kwenye mwili wangu kitendo hiki ndio
kilinifanya niogope zaidi nikistukaaa nikiwa nahema
juu juu.
"Umefikaje huku ndani," nilishangzwa na uwepo wa
Somoe chumbani kwangu, tena alikuwa amenishika
mguu.
"Nakuuuliza Somoe kipi unafanya chumbani
kwangu,?"
"Nisamehe dada, nilikuwa nakutafuta huko nje
nikakukosa ndio nikaingia ndani ila nilipofika nje ya
chumba chako nikakikuta kipo wazi ikanibidi niingie
nikuamshe dada"
"Unasemaje Somoe, unaingiaje chumbani kwangu
bila taarifa yoyote,"Nilimfokea somoe kitendo kile
hapo nikabadirika kabisa nikimwambia achukue
nguo zake arudi kwao ndoto ile ilinitesa sana akili
yangu na kustuka kumkuta somoe ndio niliumia
zaidi.
"Nisamehe dada, nisamehe sina kwa kwenda Dada
nilipotoka kuna shida nimefanya kuondoka walitaka
kuniodhesha dada nakuomba usinifukuze sitarudi
tena dada"aliongea huku akilia tena machozi
yakimserereka kwenye mashavu yake, kuona vile
huruma ilinikaa nilimuonea huruma Somoe, hapo
nikajiona nafanya dhambi,dhambi ya kumhisi mtu
vibaya ikiwa sio yeye wala hausiki na chochote.
"ondoka zako, kafanye kazi zako, toka chumbani
kwangu,"nilimfokea akaamka alipokuwa amepiga
magoti kisha akaondoka chumbani kwangu akilia
kwa kufina fina,baada ya Somoe kuondoka hapo
niliingia bafuni kuoga nilihisi uchovu mwili mzima
akili haikunipa niliioga maji nikiwa na mawazo
"Somoe ni nani?, Somoe ni nani,?"Sauti kubwa
iligonga kichwani kwangu ikitaja jina la Somoe,
nilipotoka bafuni nilitamani kumpigia simu Mume
wangu ila niliwaza nitamwambia kitu gani ikiwa
nilimficha hapo mwanzo asijue chochote kuhusu
mapito yangu.
Nilifunika tena kombe nikatoka nje ya chumba
changu kisha nikikaa mezani nikihisi tumbo langu
likihitaji chakula zaidi, nilichukua chupa ya chai
kisha kujiwekea chai hapo nikaanza kunywa, huku
mikate ikiwa mezani.
"Somoee somoe," nilimwita kwa sauti kubwa, nae
alikuja akiwa na wasi wasi alikuja akiwa mpole
zaidi huku uso wake ukibeba hisia zake, kutokana
na machozi yakiokuwa yakimtoka, pia mikono
akiiweka nyuma.
"Nisamehe dada,"ndio neno la kwanza alilosema
tena akipiga magoti.
"Amka yashaisha yale," nilimwambia akaamka pale
na kusimama hata uso wake aliuinamisha chini
asiniangalie machoni.
"Nenda chumbani kwangu kuna nguo pale chafu
nataka uzifue,"
"Sawa dada,"alisema kisha akaondoka, nikaendelea
kunywa chai, saa zilisogea mpaka pale giza
lilipomea usiku ndipo john wangu aliporudi
nilimkumbatia kisha nikairegeza tai yake,
nikamkaribisha ndani tukaongozana muda wote
niliuhisi upweke hivyo john alivyokuja ni kama faraja
kwangu, Muda wote Somoe alikuwa kwenye sofa
akituangalia tu mi na john alionekana kama mtu
anaetuwaza sana, sikumjali nikaingia na john
chumbani huku nimeshika mkoba wake tulipoingia
ndani, akaingia bafuni kuoga nikakaa nikimsubiri
mpka alipotoka tukaelekea mezani kwa ajili ya kula
chakula cha usiku.
"Somoe yuko wapi?" John aliuliza.
"Alikuwa amekaa pale anaangalia tivi,"
"Yeye amekwisha kula au,?"
"Hata sijui John, ila amekula kama angekuwa hakula
basi angekuja hapa!,"nilimjibu john kisha mada ile
tukaipotezea tukianza kuongea kuhusu kazi
zake,alizungumzia changamoto zake za siku hii
alizokutana nazo niliishia kumpa pole John wangu
mana niliamini anatafuta kwa ajili ya Maisha yetu na
watoto wetu.
Tulimaliza kula john alijinadi kuchoka hivyo niliacha
tu vyombo pale nikaingia ndani na john wangu kwa
ajili ya kulala hata mimi nilihisi uchovu hivyo
tulivyojilaza kitandanj tukapitiwa na usingizi, kifuani
kwa john nikilala huwa nahisi amani zaidi hivyo hata
nilipolala nilipitiwa na usingizi, nikiwa usingizini
nilistushwa na sauti ambazo nilizisikia, nje.
Nilipata ujasiri ambao sikujua ulipotoka kiasi
kwamba niliamka kitandani ila nilipoamka sauti zile
zilikata, niliingia chooni kwavile nilihisi kubanwa na
mkojo hivyo nikingia chooni nilipotoka chooni
nikiona mwanga chini ya mlango hapo nikajua ni
mwanga wa taa hivyo nikichofanya nikafungua
mlango wa chumbani bila woga na kukuta taa ikiwa
haijazimwa. "Inamana huyu Somoe hakuamka?"
Nilijiuliza bila majibu, hapo ikabidi nianze kupiga
hatua kuifata switch ya umeme ili nikazime taa,
kitendo cha kupiga hatua ili nikazime taa ndipo
likazuka jambo la ajabu, mlango wa chumba cha
Somoe ndio nilipokomea Sauti za ajabu zikisikika
ndani humo nikiogopa kupiga hatua, kwani kelele na
milio isioeleweka ilisikika ndani mwa Somoe.
NA GAOOH
SIMU 0654387935
TULIPOISHIAAA SEHEMU ILIYOPITA..
Japo sikuwa nikijua sana ila majina ya somoe
sidhani kama ni watu tabora kama john
alivyonambia kuwa msichana atatokea tabora, aah
sikujali sana nikaamua nifunike tu kombe
mwanaharanu apite, tulimuonesha chunba chake
cha kulala..
SASA ENDELEAAA..
Tulianza maisha na somoe akiwa kama mfanya kazi
wa ndani, Alizifanya kazi vizuri hukua akinisaidia
kazi huku ujauzito wangu ukiendelea kukua siku
hadi siku.
"Mke wangu umeona sasa somoe ni binti mzuri
sikuamini kama ataweza kufanya kazi vizuri namna
hii,"
"Kwann hujutegemea,?"
"Rafiki yangu niliemuomba anitafutie mdada wa kazi
aliniambia yuko busy sana hivyo ikabidi.." Kabla
hajamaliza nikamkatisha.
"Ikabidi nimwanbie mtu mwengine najua
ningekuanbia siku ya kwanza kabla hajaja basi
ungekata, ndio mana nilimleta alafu nikasubiri
akianza kufanya vibaya ndio nimfukuze, ila kumbe
binti wa wawatu ni mtulivu na anafanya kazi zake
kwa bidii NIMEMPENDA KWA KWELI,"
"Ndio umefanya nini sasa hivi John?, utakuja
kuniletewa wachawi kwenye nyumba," nilisema.
"Usijal mke wangu ilikuwa ni lazima nikuletee mtu
wa kusaidia kazi,matarajio yangu yalikuwa ni
kuletewa na rafiki yangu ila ameshindwa sasa
ningefanyaje nisamehe kama nimekosea ila
nakuahidi kama Somoe atafanya kosa lolote
nitamtiamua." John alihitimisha sikutaka kuifanya
iwe mada nilimkubalia john tu wakati huo somoe
alikuwa chumbani kwake na sisi tulikuwa chumbani
kwetu.
Asubuhi kama kawaida Mume wangu aliamka kisha
akaniamsha na kisha kujiandaa kwa ajili ya kwenda
kazini alijiandaa hapo nikaamka na kwenda nje
kumuandalia chai, nilijua pengine somoe hajaamka
bado ila nilipoamka nilikuta amekwisha amka muda
huo alikuda anadeki ndani.
"Shikamoo dada,"aliniamkia huku akiinamana kama
mtu anaetaka kupiga magoti.
"Marahaba umeamkaje,"
"Salama dada sijui wewe na shemeji,"tuliongea
machache nikaenda jikoni kuandaa chai ya Mume
wangu kisha akatoka nilimtengea akanywa wakati
huo Somoe akiendelea na usafi John alipo maliza
kunywa chai nilimuweka shati lake vizuri kisha
nikamtoa mpaka nje kwenye gari nilimbusu na yeye
akanibusu kisha akaingia ndani ya gari yake
akaniaga na kuondoka.
Nilirejea ndani na kuelekea chumbani kwangu kulala
tena.
Kitendo cha kulala na kupita dakika kadhaa nilijihisi
sipo pale nikipolala ila nipo sehemu nyengine yenye
majani mengi ya mti yaliodondoka na kujikusanya
sehemu moja kisha mimi nikalala juu yake nilijihisi
kutokuwa na fahamu kwavile nilikuwa nimelala huku
yule msichana niliekuwa nikimuonaga ndotoni ndio
alikuwa pembeni yangu na wenzake wakiwa na visu
tena vikiwaka moto walifika mpka nilipokuwa kisha
alikuta peke yake yule msichna hapo akachoma kisu
tumboni kwangu sikuwa na nguvu za kuamka wala
kupiga kelele kuzuia kile mwili wangu ulikuwa kama
uliopooza pia cha kushangaza hata maumivu
sikuyasikia kisu kiliingumia tumboni kwangu na
mtoto walimtoa baada ya kumtoa walianza kuimba
nyimbo zao nyimbo ambazo nilizikumbuka vyema
za kule hekaruni tofauti ni kuwa sikuwahi kuzielewa
maana yake ila nilijua tu huwa zinaibwa kwa ajili ya
nini, zipo za kushegherekea na zipo za huzuni hasa
mmoja wetu akifa bila ya matakwa yetu kipindi kile.
Hizi walizoimba zilinikumbusha kuwa ni nyimbo za
sherehe, waliimba huku wakinizunguka nikiwa
nimelala pale pale chini, nyimbo zile waliimba huku
mtoto wangu wakimuweka juu juu baada ya kufanya
vile wakamuingiza ndani ya chungu ambacho
kilikuwa kimewekwa juu ya kichuguu niliweka, zoezi
hiki pia nililikunbuka kuna kipindi tulikuwa tukipata
vichanga tuna vitia ndani ya chungu ambacho kina
damu kisha tunavichinja na kuvila nyama, ni kweli
na wao walifanya vile vile nilishuhudia kwa macho
yangu pimaa mwanangu wakimtafuna pia wasivyo
na adabu walinioneshe nyama za viungo vyake hasa
mguu walinionyeshe niliumizwa na kitendo kile,
baada ya kumalza kula mwili wa mwanangu ndipo
walipokuja na kwangu walishika mguu wakitaka
waunyofoe kwenye mwili wangu kitendo hiki ndio
kilinifanya niogope zaidi nikistukaaa nikiwa nahema
juu juu.
"Umefikaje huku ndani," nilishangzwa na uwepo wa
Somoe chumbani kwangu, tena alikuwa amenishika
mguu.
"Nakuuuliza Somoe kipi unafanya chumbani
kwangu,?"
"Nisamehe dada, nilikuwa nakutafuta huko nje
nikakukosa ndio nikaingia ndani ila nilipofika nje ya
chumba chako nikakikuta kipo wazi ikanibidi niingie
nikuamshe dada"
"Unasemaje Somoe, unaingiaje chumbani kwangu
bila taarifa yoyote,"Nilimfokea somoe kitendo kile
hapo nikabadirika kabisa nikimwambia achukue
nguo zake arudi kwao ndoto ile ilinitesa sana akili
yangu na kustuka kumkuta somoe ndio niliumia
zaidi.
"Nisamehe dada, nisamehe sina kwa kwenda Dada
nilipotoka kuna shida nimefanya kuondoka walitaka
kuniodhesha dada nakuomba usinifukuze sitarudi
tena dada"aliongea huku akilia tena machozi
yakimserereka kwenye mashavu yake, kuona vile
huruma ilinikaa nilimuonea huruma Somoe, hapo
nikajiona nafanya dhambi,dhambi ya kumhisi mtu
vibaya ikiwa sio yeye wala hausiki na chochote.
"ondoka zako, kafanye kazi zako, toka chumbani
kwangu,"nilimfokea akaamka alipokuwa amepiga
magoti kisha akaondoka chumbani kwangu akilia
kwa kufina fina,baada ya Somoe kuondoka hapo
niliingia bafuni kuoga nilihisi uchovu mwili mzima
akili haikunipa niliioga maji nikiwa na mawazo
"Somoe ni nani?, Somoe ni nani,?"Sauti kubwa
iligonga kichwani kwangu ikitaja jina la Somoe,
nilipotoka bafuni nilitamani kumpigia simu Mume
wangu ila niliwaza nitamwambia kitu gani ikiwa
nilimficha hapo mwanzo asijue chochote kuhusu
mapito yangu.
Nilifunika tena kombe nikatoka nje ya chumba
changu kisha nikikaa mezani nikihisi tumbo langu
likihitaji chakula zaidi, nilichukua chupa ya chai
kisha kujiwekea chai hapo nikaanza kunywa, huku
mikate ikiwa mezani.
"Somoee somoe," nilimwita kwa sauti kubwa, nae
alikuja akiwa na wasi wasi alikuja akiwa mpole
zaidi huku uso wake ukibeba hisia zake, kutokana
na machozi yakiokuwa yakimtoka, pia mikono
akiiweka nyuma.
"Nisamehe dada,"ndio neno la kwanza alilosema
tena akipiga magoti.
"Amka yashaisha yale," nilimwambia akaamka pale
na kusimama hata uso wake aliuinamisha chini
asiniangalie machoni.
"Nenda chumbani kwangu kuna nguo pale chafu
nataka uzifue,"
"Sawa dada,"alisema kisha akaondoka, nikaendelea
kunywa chai, saa zilisogea mpaka pale giza
lilipomea usiku ndipo john wangu aliporudi
nilimkumbatia kisha nikairegeza tai yake,
nikamkaribisha ndani tukaongozana muda wote
niliuhisi upweke hivyo john alivyokuja ni kama faraja
kwangu, Muda wote Somoe alikuwa kwenye sofa
akituangalia tu mi na john alionekana kama mtu
anaetuwaza sana, sikumjali nikaingia na john
chumbani huku nimeshika mkoba wake tulipoingia
ndani, akaingia bafuni kuoga nikakaa nikimsubiri
mpka alipotoka tukaelekea mezani kwa ajili ya kula
chakula cha usiku.
"Somoe yuko wapi?" John aliuliza.
"Alikuwa amekaa pale anaangalia tivi,"
"Yeye amekwisha kula au,?"
"Hata sijui John, ila amekula kama angekuwa hakula
basi angekuja hapa!,"nilimjibu john kisha mada ile
tukaipotezea tukianza kuongea kuhusu kazi
zake,alizungumzia changamoto zake za siku hii
alizokutana nazo niliishia kumpa pole John wangu
mana niliamini anatafuta kwa ajili ya Maisha yetu na
watoto wetu.
Tulimaliza kula john alijinadi kuchoka hivyo niliacha
tu vyombo pale nikaingia ndani na john wangu kwa
ajili ya kulala hata mimi nilihisi uchovu hivyo
tulivyojilaza kitandanj tukapitiwa na usingizi, kifuani
kwa john nikilala huwa nahisi amani zaidi hivyo hata
nilipolala nilipitiwa na usingizi, nikiwa usingizini
nilistushwa na sauti ambazo nilizisikia, nje.
Nilipata ujasiri ambao sikujua ulipotoka kiasi
kwamba niliamka kitandani ila nilipoamka sauti zile
zilikata, niliingia chooni kwavile nilihisi kubanwa na
mkojo hivyo nikingia chooni nilipotoka chooni
nikiona mwanga chini ya mlango hapo nikajua ni
mwanga wa taa hivyo nikichofanya nikafungua
mlango wa chumbani bila woga na kukuta taa ikiwa
haijazimwa. "Inamana huyu Somoe hakuamka?"
Nilijiuliza bila majibu, hapo ikabidi nianze kupiga
hatua kuifata switch ya umeme ili nikazime taa,
kitendo cha kupiga hatua ili nikazime taa ndipo
likazuka jambo la ajabu, mlango wa chumba cha
Somoe ndio nilipokomea Sauti za ajabu zikisikika
ndani humo nikiogopa kupiga hatua, kwani kelele na
milio isioeleweka ilisikika ndani mwa Somoe.