secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,500
Nimekubali aisee! Halafu wamegundua wateja wao wakubwa ni walokole.Watu wapo mbele ya mda
Nimekubali aisee! Halafu wamegundua wateja wao wakubwa ni walokole.Watu wapo mbele ya mda
Dah! Nilipokuwa mtumikizi pale kanisani kwetu nilikuwa nagida sana divai. Misa inaendea mimi niko chakari Ile mbaya 😂Alter wine😀
Kwa kilevi Ni level za Bia Bingwa sio?Hii ni bia inanyweka Israel sana na ital alcoholic yake ni 7.4%View attachment 3630626
View: https://vm.tiktok.com/ZSXyRDjmQ/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Ndio mkuuKwa kilevi Ni level za Bia Bingwa sio?
Mambo ya dini, imani na uwepo wa Mungu yanahitaji tafakuri kubwa ya kirohoKwanini huyu Mungu Akamwacha Mtumishi wake ,muongoza njia wa kondoo zake wasipotee kundini...akaruhusu atesekeke na kudhalilika hivi?...
Lakini huyu jamaa (mungu) akamwacha mchungaji wa kondoo apotee hivi?.... Mungu hana macho?! Hamuoni?!, hasikii ?!
Stori za uwepo wa huyu jamaa(mungu) huwa zinanifikirisha sana! Na kuniacha na maswali magumu sana!
Kwanini huyu Mungu Akamwacha Mtumishi wake ,muongoza njia wa kondoo zake wasipotee kundini...akaruhusu atesekeke na kudhalilika hivi?...
Lakini huyu jamaa (mungu) akamwacha mchungaji wa kondoo apotee hivi?.... Mungu hana macho?! Hamuoni?!, hasikii ?!
Stori za uwepo wa huyu jamaa(mungu) huwa zinanifikirisha sana! Na kuniacha na maswali magumu sana!
Dah! Nilipokuwa mtumikizi pale kanisani kwetu nilikuwa nagida sana divai. Misa inaendea mimi niko chakari Ile mbaya 😂
Mkuu,hapo kwenye uwepo wa Mungu Sina shida napo,shida yangu ni haw akina mungu wa Ibrahim au akina Allah.Hawa ndio wnatafakarisha sanaMambo ya dini, imani na uwepo wa Mungu yanahitaji tafakuri kubwa ya kiroho
View: https://vm.tiktok.com/ZSXfKc5Ao/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Dah! 🥲
View: https://vm.tiktok.com/ZSX5ADSNF/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Kwanini huyu Mungu Akamwacha Mtumishi wake ,muongoza njia wa kondoo zake wasipotee kundini...akaruhusu atesekeke na kudhalilika hivi?...
Lakini huyu jamaa (mungu) akamwacha mchungaji wa kondoo apotee hivi?.... Mungu hana macho?! Hamuoni?!, hasikii ?!
Stori za uwepo wa huyu jamaa(mungu) huwa zinanifikirisha sana! Na kuniacha na maswali magumu sana!