Kama kweli wamekopi ile stori yako..wasiliana na mhariri wakulipe kabla ya hilo "toleo lijalo" hii ndo maana halisi ya HAKI MILIKI..
Mkuu Kiranga umeongea jambo muhimu sana! Nina nakala ya hilo gazeti hapa mkononi yani wamekopi kila kitu, neno kwa neno mpaka hilo jina la mkurugenzi wa CIA wameliandika kimakosa hivyo hivyo, mpaka sehemu nilizokosea spelling nao ni vivyo hivyo! Yani simply walivhokifanya ni kucopy hapa na kwenda kupaste kule kwao!Kawashtaki uchukue hela.
Tena unajua niliisoma ile habari nikaona una kitu kimoja umekosea, nikataka kusahihisha nikapotezea nikasema Kiranga tayari ana reputation ya kujifanya anajua kila kitu, kwa hiyo nisiiendeleze hii reputation, nikapotezea.
Jina la Mkurugenzi wa CIA uliliandika kama Pattena, wakati jina lake ni Leon Panetta.
Hawa mburula kwa jinsi ninavyowajua watakuwa hawajabadilisha kitu hata jina watakuwa wamelichukua hivyo hivyo.
Hilo jina kukosewa hivyo inakuwa kama signature yako kwamba story ilitokea hapa JF kwenye ID yako, mpaka ulivyokosea jina wamekosea hivyo hivyo.
Una kesi hapo unaweza kuwafungulia baraza la maadili ya uandishi.
Hawawezi kuokoteza habari bila hata kukuuliza.
Nakumbuka kumsahihisha hivyo pia!Kawashtaki uchukue hela.
Tena unajua niliisoma ile habari nikaona una kitu kimoja umekosea, nikataka kusahihisha nikapotezea nikasema Kiranga tayari ana reputation ya kujifanya anajua kila kitu, kwa hiyo nisiiendeleze hii reputation, nikapotezea.
Jina la Mkurugenzi wa CIA uliliandika kama Pattena, wakati jina lake ni Leon Panetta.
Hawa mburula kwa jinsi ninavyowajua watakuwa hawajabadilisha kitu hata jina watakuwa wamelichukua hivyo hivyo.
Hilo jina kukosewa hivyo inakuwa kama signature yako kwamba story ilitokea hapa JF kwenye ID yako, mpaka ulivyokosea jina wamekosea hivyo hivyo.
Una kesi hapo unaweza kuwafungulia baraza la maadili ya uandishi.
Hawawezi kuokoteza habari bila hata kukuuliza.
Yap! Nakumbuka sana Mkuu ile comment yako kunisahihisha kuhusu jina.. Wajamaa wamekopi vile vile na jina limeandikwa kimakosaNakumbuka kumsahihisha hivyo pia!
Juzi nilikuwa nasoma article moja inasema wachora ramani huwa wanaweka miji, milina na barabara za uongo katika ramani zao ili mtu akiiba ramani zao na kuzitumia bila idhini wajue, inakuwa kama alama ya kuonesha kwamba hii ni ramani yao.Mkuu Kiranga umeongea jambo muhimu sana! Nina nakala ya hilo gazeti hapa mkononi yani wamekopi kila kitu, neno kwa neno mpaka hilo jina la mkurugenzi wa CIA wameliandika kimakosa hivyo hivyo, mpaka sehemu nilizokosea spelling nao ni vivyo hivyo! Yani simply walivhokifanya ni kucopy hapa na kwenda kupaste kule kwao!
Ok kuna documentary ya Youtube hata mie ninayo sema tu yenyewe ni ya kiingereza ... Ila potezea tuNlikopi na kupesti kutoka wapi??
Ishu sio kupotezea au vipi! Sisemi kwamba mimi ni mtu wa kwanza duniani kuandika kuhusu kifo cha Osama but ninachokisema ni kwamba kila aliyeandika alifanya research yake ili kujua FACTS kisha akaandika makala yake, there are hundreds of articles and documentaries kuhusu kifo cha Osama but kila mtu ameandika story yake (but the basic facts never changes ila usimuliaji ni tofauti kila mtu na usimuliaji wake).!!Ok kuna documentary ya Youtube hata mie ninayo sema tu yenyewe ni ya kiingereza ... Ila potezea tu
Muulize kwanza kama anayo hiyo hakimiliki!Kama kweli wamekopi ile stori yako..wasiliana na mhariri wakulipe kabla ya hilo "toleo lijalo" hii ndo maana halisi ya HAKI MILIKI..
Usiwe na haraka ya kuchangia mada kama hujaelewa kinachoongelewa..!!Muulize kwanza kama anayo hiyo hakimiliki!
Naona wewe ndio una haraka kuliko mimi, maana mimi sijagusa hata chembe ulichoandika, bali nimefanya hivyo kwa mtu aliyekuwa anakushauri kushtaki!Usiwe na haraka ya kuchangia mada kama hujaelewa kinachoongelewa..!!
Siongelei haki miliki, ninachosema ni kuwa wamefanya 'Uharamia' na ukanjanja kupretend kuwa makala ni yao.. Hakuna shida wao kuchapa makala yangu kwenye Gazeti lao but walitakiwa watoe 'credit' huo ndio uungwana na kama hawataki hilo basi ni simple tu wangefanya research yao na kuandika makala na ni Facts ndizo zingefanana.. Lakini hiki walichokifanya kucopy na kupaste bila kutoa credit sio uungwana kabisa na inaonyesha hawana weledi wa kazi..
Kaka umefafanua vzr sana kiasi kwamba kwa mtu muelewa atakuwa amekuelewa, au siku nyingine katikati ya story weka majina ya kibantu ili uwakamate vzr like, mparata/chindikupwi sniper hahahaha hapa utawakata utamu manake watu itabidi tuulize/tuhoji huyo mparata/chindikupwi alikuwa na uraia gani? na tuwashitaki kwa kupotosha umma pia .....hahaha hahaha am not a person of sport sport.......no sister-inlaw-hood, we eat!Leo asubuhi nilipofika kwenye meza ninayo nunua magazeti siku zote jicho langu likanasa kwenye gazeti la KISIWA.
Kwenye ukurasa wa mbele habari iliyopewa uzito wa juu inasomeka; USIYOYAJUA KUHUSU KIFO CHA OSAMA BIN LADEN.
Nikawa curious kidogo, so nikanunua hilo gazeti nione kama 'yaliyomo yamo?'.. Kufungua ndani duuuuuuuuuuuuhhh gazeti la kisiwa sio 'watu wa mchezo mchezo' yani 'wamekopi na kupesti' 100% makala yangu ya 'GERANIMO E.K.I.A: Kutoka makao makuu ya CIA, Langley..'
Sio mbaya though binafsi nimefurahi kuwa makala zetu JamiiForum zimeshiba ndio maana JF imekuwa kimbilio la vyombo vya habari kupata news na makala kama hizi ila ninachowaomba gazeti la KISIWA na wengineo wakumbuke kutoa credit kwa JF kuwa ndio source ya makala yao na mwandishi The Bold.. Fanyeni hivyo wakuu nimeona pale mwishoni mmeandika 'itaendelea toleo lijalo' kwahiyo toleo lijayo toeni credit wakuu (najua mpo humu)..... na kingine nasubiria mnirushie 'ya vocha', LOL
Eeeh bora ukae kimya.hiyo stori yako niliisha isoma sehem ...sikumbuki gazet...na ilimuhusisha jamaa mmoja mzanzibar aliekua mpishi wa osama..kipind anahukumiwa kifungo cha maisha marekani