Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,839
Zao la mfumo wetu mbovu wa elimu. Kila kitu ni kudesa. Wasomi wetu wanapokwenda huko makazini napo ni kudesa tu. Halafu tunashangaa kwa nini hakuna creativity na uthubutu.
Kwa wenzetu huko plagiarism ni kosa kubwa na linaweza kumfukuzisha mwanafunzi chuo, gazeti kupigwa faini kubwa na hata kufa kabisa. Mwanafunzi anasisitizwa sana kufikiri critically na kuwa huru. Hili ni tatizo la jamii nzima mkuu.
===> Hata wewe Bold safari nyingine toa acknowledgements au marejeo mafupi kuhusu sources za makala zako kwa sababu huwa hukai na kuzitunga kutoka kichwani mwako. Ndiyo maana siwashangai wadau wanaokuzodoa hapo juu. Unaonekana kama mwezi anayemwonea wivu mwizi mwenzake (samahani kwa ulinganifu huu!)
Kwa wenzetu huko plagiarism ni kosa kubwa na linaweza kumfukuzisha mwanafunzi chuo, gazeti kupigwa faini kubwa na hata kufa kabisa. Mwanafunzi anasisitizwa sana kufikiri critically na kuwa huru. Hili ni tatizo la jamii nzima mkuu.
===> Hata wewe Bold safari nyingine toa acknowledgements au marejeo mafupi kuhusu sources za makala zako kwa sababu huwa hukai na kuzitunga kutoka kichwani mwako. Ndiyo maana siwashangai wadau wanaokuzodoa hapo juu. Unaonekana kama mwezi anayemwonea wivu mwizi mwenzake (samahani kwa ulinganifu huu!)