miana amor
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 966
- 1,495
Usicheke mkuu hatopost tutaonekana tuna furaha 😩😩😂🤣😂🤣🤣
Usicheke mkuu hatopost tutaonekana tuna furaha 😩😩😂🤣😂🤣🤣
Nakubali timu talibu mwenzanguHuu mpango kubwa lao lazima utimie
anaroho mbaya na lakini moyo mwepesiMzee komba kayataka mwenyew na roho mbaya yake
uhakikaNakubali timu talibu mwenzangu
Tupo tunapozapoteza muda hapa kusubili tembeleTeam Tarib na wale wa Idd mpo viziri sana
Nakubali sana,Tupo tunapozapoteza muda hapa kusubili tembele
Aweee
Ana malizia kula jamaniHajafika bado?
Kula gani hiyoAna malizia kula jamani
Kula gani hiyoAna malizia kula jamani
Hahahahah nimekumbuka iv ww c ndo ulikua timu songoro kwenye ile nyuma ya mlango wa adui😂😂😂Nakubali sana,
Jana alishinda na mwenge Maokoto yalichelewa ikabidi ausindikize akachukulie kituokinachofuataKula gani hiyo
Aliyekula kibano kwa DeusHahahahah nimekumbuka iv ww c ndo ulikua timu songoro kwenye ile nyuma ya mlango wa adui😂😂😂
ataleta saa sitaJana alishinda na mwenge Maokoto yalichelewa ikabidi ausindikize akachukulie kituokinachofuata
😂😂😂ndo uyo uyoAliyekula kibano kwa Deus
Yeah, aliniangusha Sanna yule jamaa ndio maana mpaka sasa ijapokuwa Kuna wahusika nakubali harakati zao (Tliib & Idd) ila siwezi washabikia, huwa wanashindwa kutumia akili kwenye mambo madogo mwisho wanapigwa. Kwa sasa nipo na Jamal.Hahahahah nimekumbuka iv ww c ndo ulikua timu songoro kwenye ile nyuma ya mlango wa adui😂😂😂