SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Habari za jioni wanakijiji cha Luhila

Nimesikitishwa sana na kitendo cha mama Hilda kwakweli ni kitendo cha aibu mno, lakin mzee njogopa ametuaibisha wanaume.

pongezi ziende kwa mzee Mabula ametuwakilisha vema

wenu mwenyekit
Mwenyekiti leo umekua adimu sana
 
Haaminiki kwa nani? wakat amemwambia mama yake Twalibu anavuta na mama yake kashuhudia mwenye mawenge ni mama Soraya anaamin kila anachoambiwa
Ndio nikasema muda mwingine haaminiki tena kwa mama sora katalib kakija kuchanganya maneno kanaaminika
 
Back
Top Bottom